Swala la meli zao halihusiki hapa, wamekamatwa na unga wanastahili kuhukumiwa kwa sheria za iran.
Big up sana iran.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Acha wanyongwe tu ili iwe fundisho kwa wengine
hapa nakuunga mkono,ila wale wa madogomadogo waachweweme sababisha kila kija ukienda kuomba visa una zaniwa unajihusisha na uga matokeo yake ni mashariti kuwa magumu..acha wafunge tena kwa walio kamatwa na uga wanyongwe kabisa..
haha sasa unadhani kuna atakaepona kati ya hao? iran huko wanazungumza kipersian mtu uende kutafuta nini zaidi ya madawa yasiyo na lugha...Hao wanaoshikiliwa kwa kujihusisha na madawa ya kulevya wasiwachiwe, wapigwe kitanzi tu. Hawafai hata kidogo.