Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?Ya kujitakia hayo..shauri zao
Wasafirishaji wawili Wa Madawa Ya Kulevya Bi.Deborah Eliah na Bwn. Felix Obadia wamekamatwa Kwenye Uwanja Wa Ndege Wa Chennai Wakisafirisha Kg.15.6 za Madawa Ya Kulevya Aina ya Heroin.
.
Watanzania Hao Wawili Wamekamatwa Uwanja wa Ndege Walipowasili Wakitokea Johannesburg Kupitia Doha.
.
Imesekana Deborah alikuwa anasafiri Kwenda India Kwa Matibabu Akiwa na Bwn. Felix Obadia Huko Bengaluru.View attachment 2167895View attachment 2167900
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamlaka haihusiki, wangekuwa wanaviashiria vya uchadema/ugaidi ingewatambua.Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania tunajuana kupitia viatu.Mamlaka zilitakiwa ziwape huo unga wabwie hadi uishe kisha waache waondoke zao kwenda Israel.
Viatu vyao sasa ni wazi bila uchunguzi wa awali vinaonesha ni watanzania kweli na watanzania tunajuana kupitia viatu.
Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama Ni punda wa mtu mzito unadhani Hawa wa dar Wana mmlaka ya kuwazuia..!!hapanaIna maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah hii Kali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania tunajuana kupitia viatu.
Life hili mi nipate suicide mission ata moja tu
Wajomba wamerudi Kwa Kasi Kubwa. Kamishina Wa Madawa ya Kulevya Ni Bwn. Kusaya, na Kabla ya Hapo Alkuwa KM Wizara ya Kilimo, Sasa Sjui anafail Wapi Huyu BwanaSasa Kama Ni punda wa mtu mzito unadhani Hawa wa dar Wana mmlaka ya kuwazuia..!!hapana
Na tutashuhudia mengi mbona..muda ni kila kitu.Wajomba wamerudi Kwa Kasi Kubwa. Kamishina Wa Madawa ya Kulevya Ni Bwn. Kusaya, na Kabla ya Hapo Alkuwa KM Wizara ya Kilimo, Sasa Sjui anafail Wapi Huyu Bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kuhoji hili je mamlaka iko na watu wao pale Airport?Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app