Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Tazama viatu vyao utajua kabisa kuwa ni Watanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania tunajuana kupitia viatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tazama viatu vyao utajua kabisa kuwa ni Watanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watanzania tunajuana kupitia viatu.
Jamani msifanye vitu kama, wanakuwa na mbwa wa kunusa madawa. Nimeshaona mbwa anamfwata mtu nyuma kwenye suruali. Kumbe alikuwa ameziweka kwenye njia ya haja kubwa. MABEGI ndege ikifika mabegi/ masanduku yanawekwa chini, mbwa anaruhusiwa kunusa sanduku mmoja mmoja. Ni tumboni tuu unaweza bahatisha, tumboni hutakiwi kula chochote, na kawaida wanakuripoti usipokula.( flight attendance)Wasafirishaji wawili Wa Madawa Ya Kulevya Bi.Deborah Eliah na Bwn. Felix Obadia wamekamatwa Kwenye Uwanja Wa Ndege Wa Chennai Wakisafirisha Kg.15.6 za Madawa Ya Kulevya Aina ya Heroin.
.
Watanzania Hao Wawili Wamekamatwa Uwanja wa Ndege Walipowasili Wakitokea Johannesburg Kupitia Doha.
.
Imesekana Deborah alikuwa anasafiri Kwenda India Kwa Matibabu Akiwa na Bwn. Felix Obadia Huko Bengaluru.View attachment 2167895View attachment 2167900
Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀 😀 😀Vizama viatu vyao utajua kabisa kuwa ni Watanzania
Acha kabisa ni kama msuba unalimwa meru unasafirishwa hadi Dar, pwani na Moro halafu mzigo unarudi tena huko ulipotoka. Aisee hao ni mapunda tu hawajui chochote walipewa mzigo tu waubebe.Inakuaje heroin inatoka south inaenda India wakati heroin yenyewe inatoka Asia?? logistic za madawa zinachanganya sana
Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe may 7
Baada ya kusoma ile comment yako ikabidi nirudi tena juu kutazama picha halafu nikajikuta nacheka kwa loud speaker.Vizama viatu vyao utajua kabisa kuwa ni Watanzania
Ni mtandao unaotumia akili ya Hali ya juu sana ili wasijulikane yaanzia wapiInakuaje heroin inatoka south inaenda India wakati heroin yenyewe inatoka Asia?? logistic za madawa zinachanganya sana
Inawezekana mzigo wametokea nao S.A maana imeandikwa wametokea S.A kupitia Doha.Ina maana Mamlaka ya Kiwanja Cha Ndege Cha Dar Hakiwatambua Hawa Watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
So Hapa Waliland kwamba wanaenda India Kutibiwa Ila Kupitia SA, Wakachukua Mzigo Pale Jobegi Then Wakahepa India.Inawezekana mzigo wametokea nao S.A maana imeandikwa wametokea S.A kupitia Doha.
Hakuna pesa inayopatika kirahisi mkuu. Sema tu aina ya biashara waliyoamua kufainya ndiyo ngumu zaidi.Ya kujitakia hayo..shauri zao