Watanzania 2 wakamatwa na kilo 15.6 za Heroin nchini India

Hawa wanao enda kutibiwa uko India wafuatiliwe kwa umakini mkubwa maana watu wana
Mamlaka zilitakiwa ziwape huo unga wabwie hadi uishe kisha waache waondoke zao kwenda Israel.

Viatu vyao sasa ni wazi bila uchunguzi wa awali vinaonesha ni watanzania kweli na watanzania tunajuana kupitia viatu.
Hahahahahahaha kwa wewe kuweza?
 
Inakuaje heroin inatoka south inaenda India wakati heroin yenyewe inatoka Asia?? logistic za madawa zinachanganya sana
Maabara kubwa za unga hivi sasa zipo america ya kusinini mkuu ila Asia ni vituo vidogo vya kusafirisha tu.
 
Ni mtandao unaotumia akili ya Hali ya juu sana ili wasijulikane yaanzia wapi
.
Na Ni Biashara ya pili yenye ukwasi mkubwa baada ya ile ya Usafirishaji wa binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine Pakistan na India ni majirani lakini na heroine inatoka Pakistan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…