Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.

Takwimu zako zinaonyesha watanzania 33.5% ndio wanaimani na Mungu au ndio wanamwabudu Mungu,wengine wote mizimu na miungu
uislam + dini za jadi + dini nyingine = 66.5 waabudu miungu. Hii ni hatari.
 
Takwimu zako zinaonyesha watanzania 33.5% ndio wanaimani na Mungu au ndio wanamwabudu Mungu,wengine wote mizimu na miungu
uislam + dini za jadi + dini nyingine = 66.5 waabudu miungu. Hii ni hatari.

Hayo umeyatoa wapi katika uzi huu?
 
We kibaraka hizo takwimu umezitoa wapi wakati inaonesha wazi mainland karibia 100% ni wakirsto wewe acha uongo inamaansha hata kawaida 2 huoniii.
 
Watu wapuuzi sana eti kuwa na fikra za kitumwa eti wanamuabudu mungu. Dini ni sehemu tu ya tamaduni hivyo hata afrika tanzania tunazo tamaduni zetu. Iweje tamaduni za kiafrika uziite uchawi? Kuamini dini za kiarabu na kizungu au nje ya imani ya mwenye asili ya africa ni utumwa wa fikra. Kama kuamini imani za kiafrika ni uchawi okey basi mimi ni mchawi namba moja na siamini bibilia wa qurani zaidi ya kufanya matambiko ya kila mwaka na mambo yangu yananyoka.
 
Leo umeleta uzi kama umetoka kunywa pombe. Mafumboooo meeengi, hao unaosema wachawi si kweli na wao wanaamini Mungu wao sema hawakutaka kupitia kwenye imani hizo za kikoloni (Ukristo na Uislamu)
 
Mkuu,bora kuwa mchawi kuliko kuabudi hizi dini za kuletewa na wazungu na warabu,wametuetea dini halafu wanatudharau

Omba m/mungu(Allah) akuongoze kabla haujafa vinginevyo utaenda pabaya
 
Tena dini za kitanzania zinatoa majibu papo hapo muda mfupi baada ya sara mfano nilifukuzwa job nikaenda kwa babu tarime akafanya tambiko fasta nikarudishwa job, dogo alipararaiz fasta nilipofika tarime babu akafanya manuva akapona tena sasa yuko huko darful analinda amani. Sasa hao wanaomuamini mungu wa waarabu na wazungu wapo wapi mbona wanaikimbia afrika ya kati.
 
Huu upumbavu kabisa unaleta hadith za kusadikika kwa watu wenye fikra pevu....!!. kama huyo mungu wenu mzungu au mwarabu anafanya kazi kweli kwanini dunia inapata majanga mara kimbunga mara mafuriko?. huo ukristo na uislam ni dini za uongo tupu wala sitaki kuzisikia kwanza ni wezi wanachukua sadaka za wenye dhiki wanavimbisha mtumbo yao ila kwa babu taarime majibu papo hapo.
 
Watu wapuuzi sana eti kuwa na fikra za kitumwa eti wanamuabudu mungu. Dini ni sehemu tu ya tamaduni hivyo hata afrika tanzania tunazo tamaduni zetu. Iweje tamaduni za kiafrika uziite uchawi? Kuamini dini za kiarabu na kizungu au nje ya imani ya mwenye asili ya africa ni utumwa wa fikra. Kama kuamini imani za kiafrika ni uchawi okey basi mimi ni mchawi namba moja na siamini bibilia wa qurani zaidi ya kufanya matambiko ya kila mwaka na mambo yangu yananyoka.

Una akili sana wewe... Hakika siamini kwenye hizi dini zote mbili(ukristo na uislam) na waliozileta hawakuwa na nia njema dhidi ya jamii yetu ya kiafrika. Kama historia inavyojieleza walieneza dini yao ili kurahisisha nia ovu ya kupora rasilimali zetu na kufanya biashara zisizo na usawa. Waafrika tumeacha tamaduni zetu kwa kufuata tamaduni za kiarabu na kizungu. Nazichukia sana.
 
Tena dini za kitanzania zinatoa majibu papo hapo muda mfupi baada ya sara mfano nilifukuzwa job nikaenda kwa babu tarime akafanya tambiko fasta nikarudishwa job, dogo alipararaiz fasta nilipofika tarime babu akafanya manuva akapona tena sasa yuko huko darful analinda amani. Sasa hao wanaomuamini mungu wa waarabu na wazungu wapo wapi mbona wanaikimbia afrika ya kati.

Hahaaaa daaah nimecheka sana, nimevutiwa sana maalim
 
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.



Point of correction waislaam TZ ni zaidi ya asilimia 60
 
Hakuna sababu ya kubisha mkuu yericko,rekebisha maelezo yako ktk utafiti wako wenye utata
 
asilimia zipi hizo 34.3

we ndo hujui kiswahili,ujanja mwingi mbele giza,unapokuwa na maana pana zaidi uwe unaleta ikiwa inaeleweka siyo unafanya iwe na maana pana kwa fikra zako binafsi akilini.

Kweli mkuu inamaana pana kichwani kwake!
 
Back
Top Bottom