MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Yericko Nyerere Ukishavuta Bangi zako usijione kuwa wewe ni bonge la mtafiti. Huu ulioandika hapa ni utumbo mtupu. Hakuna ushahidi wa kusapoti ujinga wako!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Ukitaka kumtawala binadamu maisha yake yote,mtawale kifikra yaani dhibiti fikra zake uone.
Hao imported gods wenu Ni wapuuzi tu!
Omba m/mungu(Allah) akuongoze kabla haujafa vinginevyo utaenda pabaya
mungu yupi? mungu kwa kuja kwa mashua?!!....yaani isingekuwa mwanadamu kugundua mashua basi huyo mungu hakuwa na mpango wa kuja afrika? yaani mungu aliamua kujionesha kwa wayahudi na waarabu tu kwa nini asishukie loliondo?....hivi unafahamu toka mamilioni ya miaka kumekuwa na maelfu ya jamii zikiamini maelfu ya miungu na kila moja kudai mungu wao ndiyo wa kwelli? nini kinamfanya mwafrika kusombwa na upepo wa mbumbumbu wa kiyahudi na kiarabu? ONDOA AKILI YAKO KWENYE KIFUNGO KWANZA KISHA WAZA UKIWA HURU.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Hii ni sensa iliyofanyika kwa mara ya mwisho mwaka 1967 baada ya ile ya mwaka 1957 kipindi cha ukoloni ikionyesha waislamu walikuwa asilimia 57% kama sijasahau. Miaka kumi mbele Nyerere akaja na takwimu hizo hapo juu zinazoonyesha watanzania zaidi ya millioni 36 wameacha uislamu wakaenda ukristoni na kwenye dini za jadi. Ambapo millioni kama nne wamehamia kwenye ukristo na waliobakia walienda kwenye upangani Ajabu kubwa ya mwl Nyerere. Duh!? Miaka iliyofuatia akufuta kipengele cha dini ili sasa kupitisha agenda zake za kuwadhulumu waislamu vizuri bila watu wengine kugundua. MUNGU AKULIPE UNACHOSTAHILI.
Somalia 100% ni waislamu je na kule wanadhurumiwa na nani?
Anyway angalau umetambuwa kuna Mungu na Allah ni tofauti hawa.
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)
Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Yericko Nyerere Ukishavuta Bangi zako usijione kuwa wewe ni bonge la mtafiti. Huu ulioandika hapa ni utumbo mtupu. Hakuna ushahidi wa kusapoti ujinga wako!