Watanzania acheni kushabikia siasa kama mnavyoshabikia mpira wa miguu

Watanzania acheni kushabikia siasa kama mnavyoshabikia mpira wa miguu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Tatizo kubwa sana hili kwa watanzania kushabikia siasa kama vile wanashabikia mpira wa miguu.

Jambo hili limefanya siasa za Tanzania kuwa ushabiki usio na manufaa kwa Watanzania.

Hii ina madhara makubwa sana kwa uhai wa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom