Watanzania acheni roho mbaya na wivu hakuna mwenye dhambi za kudumu kuliko wengine na asiyesameheka. Mnyeti ana haki mbele ya Mamlaka ya Uteuzi

Watanzania acheni roho mbaya na wivu hakuna mwenye dhambi za kudumu kuliko wengine na asiyesameheka. Mnyeti ana haki mbele ya Mamlaka ya Uteuzi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam TZ na Dunia,

Ndugu Alexander Mnyeti aachwe afanye kazi uwaziri ni haki yake.

Nchi hii imejaa mazuzu wanaodhani mtu fulani akiwakosea wao basi hafai Kwa wengine na jamii nzima. Alexander Mnyeti ana sifa kama za Watanzania wengine wote ambao ni watenda mema na mabaya kila siku yanayoonekana na yasioonekana.

Watu aina ya Tundu Lissu na wengine wenye akili ndogo ndani ya chadema wana akili mtindio.

Hakuna adui wa wote duniani wakati mshuzi Lissu akimpinga Magufuli sio wote walimpinga Magufuli na hata sasa wasiopendezwa na Rais Hassan pia haizuii wengine kuendelea na raha zao wakifurahia utawala wa Hassan.

Hakuna mkosaji wa milele na hakuna asiyesameheka milele.

Watanzania acheni wivu.

Shukrani 🙏🙏🙏

Wadiz
 
Samia anatengeneza njia ya kumrudisha mtu wake kundini sio mwingine bali ni ZERO BRAIN BASHITE!! Kama amemrudisha Mnyeti kitu gani kitamzuia kumrudisha ZERO BRAIN BASHITE?
 
Samia anatengeneza njia ya kumrudisha mtu wake kundini sio mwingine bali ni ZERO BRAIN BASHITE!! Kama amemrudisha Mnyeti kitu gani kitamzuia kumrudisha ZERO BRAIN BASHITE?
Wewe utaumia tu Mnyeti na Makonda wanakuzidi kila kitu! Tena Makonda haifiki 2024 atakuwa ameshateuliwa!
 
Samia anatengeneza njia ya kumrudisha mtu wake kundini sio mwingine bali ni ZERO BRAIN BASHITE!! Kama amemrudisha Mnyeti kitu gani kitamzuia kumrudisha BASHITE?
Sasa makonda sio mtu hana haki acheni wivu hakuna mwenye makosa ya milele wala asiyesameheka milele, wakati ukimchukia makonda wapo wengi wanaompenda makonda. Iwe mvua iwe jua awaye yeyote ana haki nyakati zote na popote pale kwa namna inyofaa masharti na vigezo kuzingatiwa
 
Samia anatengeneza njia ya kumrudisha mtu wake kundini sio mwingine bali ni ZERO BRAIN BASHITE!! Kama amemrudisha Mnyeti kitu gani kitamzuia kumrudisha ZERO BRAIN BASHITE?
Samia anatengeneza njia ya kumrudisha mtu wake kundini sio mwingine bali ni ZERO BRAIN BASHITE!! Kama amemrudisha Mnyeti kitu gani kitamzuia kumrudisha ZERO BRAIN BASHITE?
naomba kufahamishwa makosa ya mnyeti tafadhali
 
Sasa makonda sio mtu hana haki acheni wivu hakuna mwenye makosa ya milele wala asiyesameheka milele, wakati ukimchukia makonda wapo wengi wanaompenda makonda. Iwe mvua iwe jua awaye yeyote ana haki nyakati zote na popote pale kwa namna inyofaa masharti na vigezo kuzingatiwa
Tena hao wasiompenda Makonda wanaweza kuwa ndo watu waovu kuliko hata Makonda!
 
Hivi james mnyeti yuko wapi? Aliwahi kuwa DED wa malinyi mwaka 2018-2019 akatumbuliwa.

Bonge la mwalimu yule binadamu kipindi hicho pale dakawa chuo cha ualimu
 
Hivi james mnyeti yuko wapi? Aliwahi kuwa DED wa malinyi mwaka 2018-2019 akatumbuliwa.

Bonge la mwalimu yule binadamu kipindi hicho pale dakawa chuo cha ualimu
We human have got an evolving potential, our potential have never been optimized yet macho yatamuona tena
 
Sasa makonda sio mtu hana haki acheni wivu hakuna mwenye makosa ya milele wala asiyesameheka milele, wakati ukimchukia makonda wapo wengi wanaompenda makonda. Iwe mvua iwe jua awaye yeyote ana haki nyakati zote na popote pale kwa namna inyofaa masharti na vigezo kuzingatiwa
Makonda anatakiwa abanwe aseme nani walimpiga risasi Tundu Lissu na Wapi aliko BEN SAANANE kama yuko hai!! Kama hayuko hai abanwe aoneshe kaburi lake!

Makonda ndio alikuwa kiongozi wa wale waliokuwa hawajulikani na ndio maana mara baada ya kumteka msanii ROMA MKATOLIKI akaja mbele ya hadhara baada ya kelele za watu na kutangaza lini ROMA angeachiwa na Kweli ROMA akaachiwa!
 
Haya ndio mambo yanayoturudisha africa nyuma muharifu mwizi muuaji eti asamehewe kwa makosa yake , sisi tunaita dhambi wenzetu apa angekua anachezea mvua. Dini imetulemaza sana africa
 
Makonda anatakiwa abanwe aseme nani walimpiga risasi Tundu Lissu na Wapi aliko BEN SAANANE kama yuko hai!! Kama hayuko hai abanwe aoneshe kaburi lake!!
Kambane wewe na nyumbu wako! Kama Lisu anaushahidi kwa nini haendi mahamakani kumshitaki? Majitu kama nyinyi ni majinga kabisa!
 
Makonda anatakiwa abanwe aseme nani walimpiga risasi Tundu Lissu na Wapi aliko BEN SAANANE kama yuko hai!! Kama hayuko hai abanwe aoneshe kaburi lake!!
Mnajisumbuwa sana, waulizeni tec.

Wanafahamu kila kitu.

Mlishawahi kuwasikia wakiiongelea dhambi hiyo hata siku moja?

Msinisemeshe mengi.
 
Haya ndio mambo yanayoturudisha africa nyuma muharifu mwizi muuaji eti asamehewe kwa makosa yake , sisi tunaita dhambi wenzetu apa angekua anachezea mvua. Dini imetulemaza sana africa
Wewe hapo unausafi kumzidi Makonda na Mnyeti? Sasa Mnyeti naibu Waziri na Mbunge nenda kajinyonge!
 
Makonda anatakiwa abanwe aseme nani walimpiga risasi Tundu Lissu na Wapi aliko BEN SAANANE kama yuko hai!! Kama hayuko hai abanwe aoneshe kaburi lake!!
Acheni uhuni tumieni drones mkawaone hao marehemu wenu na ilipo damu ya huyo Chiba wenu, Kwa akili zenu mbovu makonda ana uwezo gani wa kumdhuru Lissu. Anzeni na Uchunguzi wa Chacha Wangwe
 
Mnajisimbuwa sana, waulizeni tec.

Wanafahamu kila kitu.

Mlishawahi kuwasikia wakiiongelea dhambi hiyo hata siku moja?

Msinisemeshe mengi.
Waambie kipenzi hawa mbweha hawana ubongo
 
Back
Top Bottom