Watanzania acheni roho mbaya na wivu hakuna mwenye dhambi za kudumu kuliko wengine na asiyesameheka. Mnyeti ana haki mbele ya Mamlaka ya Uteuzi

Acheni uhuni tumieni drones mkawaone hao marehemu wenu na ilipo damu ya huyo Chiba wenu, Kwa akili zenu mbovu makonda ana uwezo gani wa kumdhuru Lissu. Anzeni na Uchunguzi wa Chacha Wangwe
Acha kututoa kwenye reli ; uliona power ya Makonda alipotaka kumdhibiti VUVUZERA NAPE kwa kumtuma mtu wake mwenye silaha amzuie asifanye press conference baada ya Magu kumtema uwaziri?

Kiongozi gani wa serikali enzi ya Magufuli aliwahi kuvamia kituo cha Televisin akiongozana na maaskari kama sio ZERO BRAIN BASHITE!

Nyie mlifanikiwa kuwaona maiti wenu kule KIBITI kwa kutumia drones?
 
Acha kututoa kwenye reli ; uliona power ya Makonda alipotaka kumdhibiti VUVUZERA NAPE kwa kumtuma mtu wake mwenye silaha amzuie asifanye press conference baada ya Magu kumtema uwaziri?
Wewe kama unahasira na Makonda unajisumbua tu! Mwenzako anakuzidi kila kitu!
 
Wewe kama unahasira na Makonda unajisumbua tu! Mwenzako anakuzidi kila kitu!

Acha kukufuru wewe Makonda amekuzidi wewe mimi hawezi kunizidi hata chembe!! Amenizidi pengine makalio tu!
 
Mnajisimbuwa sana, waulizeni tec.

Wanafahamu kila kitu.

Mlishawahi kuwasikia wakiiongelea dhambi hiyo hata siku moja?

Msinisemeshe mengi.

Huna lolote ungekuwa na kitu unafahamu Kwa jinsi niavyokujua ungeisha bwabwaja humu!
 
Hawa akina makonda kama alikudhulumu ni muda sahihi wa kulipa kisasi kabla hajalamba teuzi
 
Kwn hakuna kazi nyingine za kufanya mpaka mteuliwe.fanyeni kazi nyingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…