Watanzania acheni roho mbaya

Watanzania acheni roho mbaya

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Yaani watanzania wana roho mbaya nyie. Mtu eti anamwomba mtu msaada basi hawezi kumpa mpaka amzungushe au adai penzi. Acheni hii tabia itawacost nyie. Nipo sure hizi roho za kwanini zitawacost.

Nimesema ukweli nasio uongo. Mwanaume mzuri wakila kitu na bado anaroho mbaya kutoa usaidizi ni ngumu. Unamkuta mtu anaroho mbaya kama nini.

Mwingine utakuta ni mwanadada mtanashati kiukweli ila hana la maana Roho mbaya ile ile, mpaka akuvutie utoe msaada. Jamani hii ni kali sana nani mbaya maana sio kila siku utakuwa juu. Hata wewe utahitaji msaada na hiyo siku na wao uliowatarajia akupi.

Watu mna roho mbaya kuweni wepesi wa kutoa misaada. Kwa maana hata nyie mkikwama hamtosaidia.
 
Umeongea kigeneral, please be specific kwa uliyo experience au uliyoona.
 
Hivi hebu tuwekane sawa, msaada ni nini?

Je, msaada huanza kwa mtu mwenye uhitaji kuomba au chanzo cha msaada ni pale mtu mwenye nia ya kutoa kutafuta mtu wa kumpa?

Maana kuna watu ni mabingwa wa kuomba omba, ilihali wao sio watoaji wa vile vilivyo ndani ya uwezo wao...
 
Kubwa naona watu wanaroho mbaya kutokana na wao kufanyiwa hyo yan hawakupata kirahisi au chuki moyoni labda alifanyiwa hyo na wengine ni hulka na choyo binafsi
 
Mi mbona mtz nina roho nzur nina macho ya mahaba te te te huyo mkaka vip mara hii amekuwa na roh mby
 
Na huo ndio mtego wakuwala nyinyi pisi kali mana mkiwa kwenye raha mnaonaga kama dunia yenu kila kitu mmekimaliza
 
Umeongea kigeneral ,please be specific kwa uliyo experience au uliyoona.
Unakuta kuna kazi mtu wakaribu anavunga .
Unajiuliza ni kwa nini??
Hiki kitu alifanya kuna huyu mtu ni swaiba kinoma noma.

Alijua kuna kazi kwa mshikaji wake nanifani yangu .
Tumeishi kisela kwa muda ila mshenzi huyu kwa fadhila zote alikaaa kimya.
Hajasema,lolote mpaka nimesanuka nikja interview eti hiyo siku asubuhi .
Akaja na manzi ndio kamwona anafaa hiyo kazi akatusalimia aliponiona eh Moyo ulimbip unaroho mbaya sana.

Akaanza kujishika shika mwisho yule bosy akamchana kumbe huyu ndio yule demu aliyekuwa msela wako halafu unamleta mwingine kwa kazi.??
Yue bwana akaona aibu.

Mtu yupo porini anafanya kazi saa za free au nilazima tu atapata muda wakupiga ila atakubali kuwa atafanya ila hafanyi. Mpaka mwishooo.

Mwingine ni mamichongo mengine akiwaza unaenda kuwa kama yeye chora chini hakusaidii.
 
Hivi hebu tuwekane sawa, msaada ni nini?

Je, msaada huanza kwa mtu mwenye uhitaji kuomba au chanzo cha msaada ni pale mtu mwenye nia ya kutoa kutafuta mtu wa kumpa?

Maana kuna watu ni mabingwa wa kuomba omba, ilihali wao sio watoaji wa vipe vilivyo ndani ya uwezo wao...
Ukikwama ukahitaji kushikwa mkono .
Huo ndio msaada
 
We mwenyewe usikute hapo umekopa nipige tafu au songesha ila unavyowazungusha Sasa hao voda mpk wanaamua kukuandikia meseji kwa kisukuma "ndoho tabu"..🤣
Kua acha utoto
 
Yaani watanzania wanaroho mbaya nyie .
Mtu eti anamwomba mtu msaada basi hawezi kumpa mpaka amzungushe au adai penzi

Acheni hii tabia itawacost nyie.
Nipo sure hizi roho za kwanini zitawacost .

Nimesema ukweli nasio uongoo.
Mwanaume mzuri wakila kitu na bado anaroho mbaya kutoa usaidizi .
ngumu.
Unamkuta mtu anaroho mbaya kama nini

Mwingine utakuta ni mwanadada mtanashati kiukweli ila hana la maana
Roho mbaya ile ile mpaka akuvutie utoe msaada .
Jamani hii ni kali sana naniambaya maana sio kila siku utakuwa juu.
Hata wewe utahitaji msaada na hiyo siku nawao uliowatarajia akupii.

Watu mnaroho mbaya kuweni wepesi wakutoa misadaa.
Kwamaana hata nyie mkikwama hamtosaidia .
Katoto Kazuri wewe ni Mrundi eeeh tuache na utanzania wetu
 
Back
Top Bottom