Watanzania acheni roho mbaya

Watanzania acheni roho mbaya

Unakuta kuna kazi mtu wakaribu anavunga .
Unajiuliza ni kwa nini??
Hiki kitu alifanya kuna huyu mtu ni swaiba kinoma noma.

Alijua kuna kazi kwa mshikaji wake nanifani yangu .
Tumeishi kisela kwa muda ila mshenzi huyu kwa fadhila zote alikaaa kimya.
Hajasema,lolote mpaka nimesanuka nikja interview eti hiyo siku asubuhi .
Akaja na manzi ndio kamwona anafaa hiyo kazi akatusalimia aliponiona eh Moyo ulimbip unaroho mbaya sana.

Akaanza kujishika shika mwisho yule bosy akamchana kumbe huyu ndio yule demu aliyekuwa msela wako halafu unamleta mwingine kwa kazi.??
Yue bwana akaona aibu.

Mtu yupo porini anafanya kazi saa za free au nilazima tu atapata muda wakupiga ila atakubali kuwa atafanya ila hafanyi. Mpaka mwishooo.

Mwingine ni mamichongo mengine akiwaza unaenda kuwa kama yeye chora chini hakusaidii.

Aisee inasikitisha kwa watu wa karibu kubaniana MICHONGO.
 
NA nyie acheni u omba omba ulaya hizo mambo hakuna. Credit cards ndo shoga ako.
 
Vipi yule mkaka aliyekuwa akikuminyia macho ulipo enda kumsaidia mama kazi yake,mlifikia wapi?
 
Unakuta kuna kazi mtu wakaribu anavunga .
Unajiuliza ni kwa nini??
Hiki kitu alifanya kuna huyu mtu ni swaiba kinoma noma.

Alijua kuna kazi kwa mshikaji wake nanifani yangu .
Tumeishi kisela kwa muda ila mshenzi huyu kwa fadhila zote alikaaa kimya.
Hajasema,lolote mpaka nimesanuka nikja interview eti hiyo siku asubuhi .
Akaja na manzi ndio kamwona anafaa hiyo kazi akatusalimia aliponiona eh Moyo ulimbip unaroho mbaya sana.

Akaanza kujishika shika mwisho yule bosy akamchana kumbe huyu ndio yule demu aliyekuwa msela wako halafu unamleta mwingine kwa kazi.??
Yue bwana akaona aibu.

Mtu yupo porini anafanya kazi saa za free au nilazima tu atapata muda wakupiga ila atakubali kuwa atafanya ila hafanyi. Mpaka mwishooo.

Mwingine ni mamichongo mengine akiwaza unaenda kuwa kama yeye chora chini hakusaidii.
Nikikusomaga kwa kina naona kabisa kiswahili kinasumbua kiaina.

Mtu anaefanya kazi porini usimlaumu
Labda uilaumu roho yake lkn mazingira ya anakofanyia kazi
 
Yaani watanzania wanaroho mbaya nyie .
Mtu eti anamwomba mtu msaada basi hawezi kumpa mpaka amzungushe au adai penzi

Acheni hii tabia itawacost nyie.
Nipo sure hizi roho za kwanini zitawacost .

Nimesema ukweli nasio uongoo.
Mwanaume mzuri wakila kitu na bado anaroho mbaya kutoa usaidizi .
ngumu.
Unamkuta mtu anaroho mbaya kama nini

Mwingine utakuta ni mwanadada mtanashati kiukweli ila hana la maana
Roho mbaya ile ile mpaka akuvutie utoe msaada .
Jamani hii ni kali sana naniambaya maana sio kila siku utakuwa juu.
Hata wewe utahitaji msaada na hiyo siku nawao uliowatarajia akupii.

Watu mnaroho mbaya kuweni wepesi wakutoa misadaa.
Kwamaana hata nyie mkikwama hamtosaidia .
Yote hii ni kwa sababu watu hawaaminiani, wanataka kukomoana.
 
Yaani watanzania wanaroho mbaya nyie .
Mtu eti anamwomba mtu msaada basi hawezi kumpa mpaka amzungushe au adai penzi

Acheni hii tabia itawacost nyie.
Nipo sure hizi roho za kwanini zitawacost .

Nimesema ukweli nasio uongoo.
Mwanaume mzuri wakila kitu na bado anaroho mbaya kutoa usaidizi .
ngumu.
Unamkuta mtu anaroho mbaya kama nini

Mwingine utakuta ni mwanadada mtanashati kiukweli ila hana la maana
Roho mbaya ile ile mpaka akuvutie utoe msaada .
Jamani hii ni kali sana naniambaya maana sio kila siku utakuwa juu.
Hata wewe utahitaji msaada na hiyo siku nawao uliowatarajia akupii.

Watu mnaroho mbaya kuweni wepesi wakutoa misadaa.
Kwamaana hata nyie mkikwama hamtosaidia .
Ujue hata kulazimisha mtu akusaidie wakati yeye hataki nayo ni roho mbaya?
 
Back
Top Bottom