Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kipindi hapa ilikuwa kila Makonda akitema ujinga wanatangaza, mpaka hii wiki iliyopita wamesema ujinga mpya wa Makonda.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu umetisha.. eti wanechoka?
Wachawi intenational, mpka wakuu wa mkoa wanatoa tamko watu warogwe eti wakapige kura..
Ldc ldc ldc
Yani kila mtu anwaza uchawi tu pande zile za south[emoji1787][emoji1787]
View attachment 1246588View attachment 1246589
Kuna kipindi hapa ilikuwa kila Makonda akitema ujinga wanatangaza, mpaka hii wiki iliyopita wamesema ujinga mpya wa Makonda.
Lakini naona wanashindwa kufuatilia, ujinga mwingi sana kuliko muda walio nao.
Ww unatokea mombasa?Kweli kabisa...hta wameamua kubaki na hamsini zao kw sasa
Wachawi intenational, mpka wakuu wa mkoa wanatoa tamko watu warogwe eti wakapige kura..
Ldc ldc ldc
Yani kila mtu anwaza uchawi tu pande zile za south[emoji1787][emoji1787]
View attachment 1246588View attachment 1246589
Afrika hatuwezi fikia Japan wanaotengeneza Shikansen trains (high speed trains) au Ujerumani na Uchina wanaotengeneza Maglev trains . Sisi tuna uji kwenye vichwa vyetu.