Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
nyie mnakula jaruo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, kwn we wa wapi
Arusha/ moshi.Ndio, kwn we wa wapi
Hehehe mtafutane huko, usishangae jamaa hukatiza Mambasani kwenye mishe zake, ila sijui kwanini Watz ukiwatajia umetokea Mombasa wanaingiwa na kiwewe fulani hivi, sijajua nini mliwafanya huko...hehehe!! 1academ hebu tuambie kwanini Watanzania huwa hawana hamu na county 001, nilikua nawaskia wakiambizana wenyewe kwa wenyewe kwamba "usiniletee mambo ya Kimombasa Mombasa", ila pale ukielekea Gongo la Mboto, Dar kuna sehemu inaitwa Mombasa nilikua napenda kwenda kula mishkaki nikisubiri pipa liwe tayari JNIA.
Walipandikiziwa vijistori tu na babu zao..
Si ajabu kuna baadhi yao walikuja mombasa na kujitwika katika hyo sekta, huenda walipata tabu sana..ndio manake mpka leo wakiskia mombasa huogopa...
Hku ukileta usenge una suzwa jomba...km miaka miwili iliyopita kuna jamaa kafukuliwa bombolulu na wakamrekodi..kitu kilivuja hatari...kisa ana chepuka na mke wa mtu, mwnywe alipo mdaka kamkodishia watu wamkomeshe...
So hku ukijifanya kidada au kupenda wake za watu utakomeshwa..jamaa wanakwambia ushoga peleka lamu hko
Kuna video kama hiyo niliwahi kuiona, jamaa alifumaniwa akabanwa na mateja fulani, walimtafuna tigo live kwenye video duh mke wa mtu sumu, sasa Watz wanavyopenda kunyang'anyana wake, wakija na tabia za kihivyo huko inakula kwao.
hahaa vp mkuu...lazma wapaogope sn mombasani, jamaa wanadhulumika an apo kimapenzi mazee!! njemba zikishajua ww ni mtz basiii...alf kumbe wapajua mombasa apoo karibu na jnia, nnamiliki nymba apo bomba mbili mbele ya mombasa, nliinunua 2017 frm a frnd... 😀Hehehe mtafutane huko, usishangae jamaa hukatiza Mambasani kwenye mishe zake, ila sijui kwanini Watz ukiwatajia umetokea Mombasa wanaingiwa na kiwewe fulani hivi, sijajua nini mliwafanya huko...hehehe!! 1academ hebu tuambie kwanini Watanzania huwa hawana hamu na county 001, nilikua nawaskia wakiambizana wenyewe kwa wenyewe kwamba "usiniletee mambo ya Kimombasa Mombasa", ila pale ukielekea Gongo la Mboto, Dar kuna sehemu inaitwa Mombasa nilikua napenda kwenda kula mishkaki nikisubiri pipa liwe tayari JNIA.