Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Chatu ndo kifutu?Kwanza hao kwwnye picha sio cobra ni vifutu(chatu) unamjua cobra wewe?
vifutu sio chatu,,ni puff adder kwa kidhungu huita.Kwanza hao kwwnye picha sio cobra ni vifutu(chatu) unamjua cobra wewe?
Kifutu ni puff adder.Kwanza hao kwwnye picha sio cobra ni vifutu(chatu) unamjua cobra wewe?
Watu wa dar bwana ujuaji mwingiiiiii kumbe ziroKwanza hao kwwnye picha sio cobra ni vifutu(chatu) unamjua cobra wewe?
Cobra 1 hatoi gram 10 Kwa siku.KILIMO CHA NYOKA
Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
Hili sasa ndio Suluhisho.
Kilimo cha Nyoka
Fikiria uwe na Cobra 10.
Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa.
60 mara kumi ni 600.
600 x 12= 7200
Kwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200
Cobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku.
Sasa inakua ni 7200x 10= 72000
Gram moja ya sumu ni
Tsh. 1,800/-
72,000 x1,880/- = 135,360,000
Hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi)
135,360,000x10 =1,353,600,000.
Hivyo kwa mwaka mmoja kwa Cobra tuu unakua na bilioni 1.4
Hapo toa Ghrama ya Panya wa kuliwa na cobra plus usafi ambayo ni kama Milioni 100.
Maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha Pumba
Mwaka mmoja faida yako ni Bilioni 1.3 kwa Mtaji wa Cobra kumi tuu.
Fuga Cobra utakuja kunishukuru. Nimeikuta Sehemu nikasema niwashirikishe.
Ingawa mtaona ngumu lakini ni Mradi wa kutengeneza Fedha.
Kazi kwenu.
View attachment 3022728
Kilimo cha kwenye makaratasi safi sana. Kwanza ni lazima uwe na antidote ya hiyo sumu ya Cobra vinginevyo kifo kitakuwa ni deile.
Kilimo cha mende hasa yale makubwa yanayoruka kinalipa zaidi maana ni US $56 kwa nusu kilo. Na ukiweza kuyasafirisha mwenyewe kwenda China aisee utapiga hela mpaka ushangae.
Cobra 1 hatoi gram 10 Kwa siku.
Thamani ya hiyo Venom sio T sh 1,800
Je soko unalijua? Hiyo sumu ni kwaajili ya niniNimefugishwa majoka na mwekezaji, yanakua na kuzaliana na sijui namna ya kuyaangamiza
mkuu pia angalia usije ukawa ulikuwa unavunja sheria za nchi.je una kibali cha kufuga hao nyoka.so kwa usalama wako jisalimishe haraka kwa afisa maliasili (afisa wanyama pori) aliyeko karibu yako nadhani hapo halimashauri ya wilaya ya bagamoyo ili kuweka mambo sawa halafu atakushauri kwa...www.jamiiforums.com
Cobra wamejishikilia wasidondoke.....Cobra gani hao wananidhamu yaani wanajua kwamba watadondoka?
Miezi 10 wapi na kule 7200 IPO ndani ya Miezi 12 Mzee hesabu hizi za kwenye Makaratasi tu unakosea ukipewa Cobra Muda huu si utakua tayari ushachezea MenoKwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200
Cobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku.
Sasa inakua ni 7200x 10= 72000
Gram moja ya sumu ni
Tsh. 1,800/-
72,000 x1,880/- = 135,360,000
Hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi)
135,360,000x10 =1,353,600,000.
Hivyo kwa mwaka mmoja kwa Cobra tuu unakua na bilioni 1.4
Mimi nilisha wahi kummaliza ulikuwa unakutana naye juu kwenye mti wa muenbe ila alikuwa mfupi kidogoKakita viumbe naogopa namba moja ni nyoka, na nina shukuru mpaka sasa sijawahi kutana wala kuona mubashara nyoka kubwa (kama kwenye picha hapo) zaidi ya kuona kwenye picha ama televisheni. Nimeona mubashara vi nyoka vidogo vidogo tu, hebu fikiria unakutana na joka kama hilo! View attachment 3022772
Lawama zote kwa taasisi, una swali ulizaCcm mmetuharibia Nchi sana wasomi saiv wanaambiwa Wafuge Nyoka!
Ajirini vijana dadeek