Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Nani Mfalme Kobra mwenyewe au unamzungumzia nani?Mimi nilisha wahi kummaliza ulikuwa unakutana naye juu kwenye mti wa muenbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani Mfalme Kobra mwenyewe au unamzungumzia nani?Mimi nilisha wahi kummaliza ulikuwa unakutana naye juu kwenye mti wa muenbe
Mimi nilisha wahi kummaliza ulikuwa unakutana naye juu kwenye mti wa muenbe ila alikuwa mfupi kidogo
Cobra Ndiyo unampiga mawe tu zamani 1968 Kijijini tulikuwa tunaishi nao, zamani Kijijini kukutana na joka ilikuwa ni kawaida tuNani Mfalme Kobra mwenyewe au unamzungumzia nani?
Wewe unao wangapi hao cobra mkuu?Kiongozi ni muonesha njia.Tena njia njema si njia tu.KILIMO CHA NYOKA
Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
Hili sasa ndio Suluhisho.
Kilimo cha Nyoka
Fikiria uwe na Cobra 10.
Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa.
60 mara kumi ni 600.
600 x 12= 7200
Kwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200
Cobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku.
Sasa inakua ni 7200x 10= 72000
Gram moja ya sumu ni
Tsh. 1,800/-
72,000 x1,880/- = 135,360,000
Hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi)
135,360,000x10 =1,353,600,000.
Hivyo kwa mwaka mmoja kwa Cobra tuu unakua na bilioni 1.4
Hapo toa Ghrama ya Panya wa kuliwa na cobra plus usafi ambayo ni kama Milioni 100.
Maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha Pumba
Mwaka mmoja faida yako ni Bilioni 1.3 kwa Mtaji wa Cobra kumi tuu.
Fuga Cobra utakuja kunishukuru. Nimeikuta Sehemu nikasema niwashirikishe.
Ingawa mtaona ngumu lakini ni Mradi wa kutengeneza Fedha.
Kazi kwenu.
View attachment 3022728
1968 Cobra Kijiji gani HICHO tusogelee hio fursa mnapiga mawe Cobra wakati ni fursa na mtaji kabisa huo?Cobra Ndiyo unampiga mawe tu zamani 1968 Kijijini tulikuwa tunaishi nao, zamani Kijijini kukutana na joka ilikuwa ni kawaida tu
1968 zamani sana kwasasa siyo pori Tena nyoka hakuna tena zama hizo, (enzi hizo), kwenye chakula tulikuwa hatutumii mafuta ya kula1968 Cobra Kijiji gani HICHO tusogelee hio fursa mnapiga mawe Cobra wakati ni fursa na mtaji kabisa huo?
Kwenye chakula mlikua mnatumia mafuta ya nini?1968 zamani sana kwasasa siyo pori Tena nyoka hakuna tena zama hizo, (enzi hizo), kwenye chakula tulikuwa hatutumii mafuta ya kula
Kwa nadra sana tulikuwa tunatumia mafuta ya nyama ya ng'ombe ambayo yalikuwa yananing'inizwa chini ya dali chini yake jiko la mafiga matatu mafuta hayo yaliyo kaushwa Kwa moshi wa Kuni unakata kipande kidogo unatumbukiza kwenye mboga za majani unakamulia na nyanya vinatokota pamoja unakula na ugali yaani raha tupu, kweli maisha ni safari ndefu hadi naweza tema ngeli? duu ila swali lako limenikumbusha tulivyo ishi zamani, no stressKwenye chakula mlikua mnatumia mafuta ya nini?
Unazungumzia yale mafuta mafuta ya nyama ya Ng'ombe na je vipi hamkuwahi kutumia mafuta ya kitimoto au teknolojia hio ilikua bado?Kwa nadra sana tulikuwa tunatumia mafuta ya nyama ya ng'ombe ambayo yalikuwa yamening'inizwa juu ya Dali chini yake jiko la mafiga matatu mafuta hayo yaliyo kaushwa Kwa moshi wa Kuni unakataa kipande kidogo unatumbukiza kwenye mboga za majani anakamulia na nyanya vinatokota pamoja unakula na ugali yaani raha tupu, kweli maisha ni safari ndefu hadi naweza tema ngeli? duu ila swali lako limenikumbusha tulivyo ishi zamani no stress
Familia yetu ilikuwa haili kiti motoUnazungumzia yale mafuta mafuta ya nyama ya Ng'ombe na je vipi hamkuwahi kutumia mafuta ya kitimoto au teknolojia hio ilikua bado?
Kwahio hayo maisha we ndio uliyapenda?,mbona Kama hayakuwa mazurKwa nadra sana tulikuwa tunatumia mafuta ya nyama ya ng'ombe ambayo yalikuwa yananing'inizwa chini ya dali chini yake jiko la mafiga matatu mafuta hayo yaliyo kaushwa Kwa moshi wa Kuni unakata kipande kidogo unatumbukiza kwenye mboga za majani unakamulia na nyanya vinatokota pamoja unakula na ugali yaani raha tupu, kweli maisha ni safari ndefu hadi naweza tema ngeli? duu ila swali lako limenikumbusha tulivyo ishi zamani, no stress
Kwa wakati ule yalikuwa mazuri kuoga tulikuwa tunaoga mtoni Tena wengine bila sabuni kulikuwa na miti maalumu Tena karibu na mto japo nadhani nguo nyeupe zilikuwa hazitakati na kufua pia halafu unatembea peku ndala unavaa unapotaka kwenda kulala unaosha miguu hapo nje unavaa ndala, kuhusu mtoni, ukifika hapo mtoni unapiga hodi au nguo zako unaziacha juu mtu akiziona anajua kuna watu/mtu, no complicationKwahio hayo maisha we ndio uliyapenda?,mbona Kama hayakuwa mazur
🤔 Mkoa gani huo,mlikuwa wastarabu ivyo?Kwa wakati ule yalikuwa mazuri kuoga tulikuwa tunaoga mtoni Tena wengine bila sabuni kulikuwa na miti maalumu Tena karibu na mto japo nadhani nguo nyeupe zilikuwa hazitakati na kufua pia halafu unatembea peku ndala unavaa unapotaka kwenda kulala unaosha miguu hapo nje unavaa ndala, kuhusu mtoni, ukifika hapo mtoni unapiga hodi au nguo zako unaziacha juu mtu akiziona anajua kuna watu/mtu, no complication
Wilaya ya Rungwe mkoa wa mbeya, mto mbaka na mto masebe🤔 Mkoa gani huo,mlikuwa wastarabu ivyo?
Chatu ila kulingana na picha imebidi niweke hivyo maana kifutu n mdg mdg hana uwezo wa kumeza ila chatu ana meza na mkia wake umegawanyika mara mbil hv kama ana vidole viwil mkianChatu ndo kifutu?
Pumbafu kafuge mwenyewe.Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
mchongo ni kilimo cha Nyoka
KILIMO CHA NYOKA
Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
Hili sasa ndio Suluhisho.
Kilimo cha Nyoka
Fikiria uwe na Cobra 10.
Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa.
60 mara kumi ni 600.
600 x 12= 7200
Kwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200
Cobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku.
Sasa inakua ni 7200x 10= 72000
Gram moja ya sumu ni
Tsh. 1,800/-
72,000 x1,880/- = 135,360,000
Hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi)
135,360,000x10 =1,353,600,000.
Hivyo kwa mwaka mmoja kwa Cobra tuu unakua na bilioni 1.4
Hapo toa Ghrama ya Panya wa kuliwa na cobra plus usafi ambayo ni kama Milioni 100.
Maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha Pumba
Mwaka mmoja faida yako ni Bilioni 1.3 kwa Mtaji wa Cobra kumi tuu.
Fuga Cobra utakuja kunishukuru. Nimeikuta Sehemu nikasema niwashirikishe.
Ingawa mtaona ngumu lakini ni Mradi wa kutengeneza Fedha.
Kazi kwenu.
1. Hatuna ujuzi wa kutosha 2. Mitaji yetu midogo mno unajua midogo 3. Kila jamii inamitazamo yake 4.. Mimi nina uwezo wa kuita nyoka yeyote na kutibu mtu aliyegongwa na nyoka