Watanzania hatujasahau na hatutasahau yaliyotokea katika tetemeko la Kagera

Watanzania hatujasahau na hatutasahau yaliyotokea katika tetemeko la Kagera

Wewe utahangaika sana lakini jua lissu hauziki na Magufuli ndio rais wetu kwa 2020 to 2025.
 
Jiseemee weweeee, usitujumulishe na sisi wanabukoba tunao kaaaa hapa hamgembe bukoba mjini. Sisi tunasema magufuli anatosha na kura zote ni zakeeee, kwahiyo uchonganishiii, na propaganda ondoa hapaa
Ha ha ha haa...eti Hamgembe bukoba mjini!! Hiyo ni ya kwenu. Bukoba mjini kuna HAMUGEMBE.


Oli kifela kyankaasi iwee??

Unashabikia ujinga?? Umeelewa kilichoongelewa au unashabikia kisa kofia tu? Hivi unadhani tuliobomolewa nyumba zetu tukalala kwenye turubai wiki tunakuonaje wewe?? Na msaada tukapewa bado ukazimwa??

Hivi unajua kwamba kuna raia tangu kwenye tetemeko mpaka leo bado uchumi wao haujakaa sawa? Bk hatusahau hili..!!!
 
1. Rais uhuru kenyata alichangia wahanga million 200.

2. Serikali ya korea iliwachangia wahanga million 108.

3. Serikali ya uingereza iliwachangia wahanga billion 6

4. Askofu mkuu wa EAGT dkt brown mwakipesile alichangia million 10.

5. Mh Freeman Mbowe million 5.

6. Waziri mkuu wa india NARENDRA MODI na serikali yake walichangia million 545.

7. Mchungaji king james wa kanisa la P.AG. kahororo kyamaizi bukoba alichangia million 3.

8. United States of America ilichangia billion 6.

9. Jasem al - najeola barozi wa Kuwait alichangia dora za marekani elfu 33.

10. Rais yoweli Kaguta museveni wa Uganda alichangia million 430 kupitia serikali yake.

11. Said salimu bakhalesa alichangia million 100.

12. Reginald mengi alichangia million 110.

13. Baraza la wawakilishi zanzibar lilichangia milioni 30.

14. Caspian omid kalambech alichangia million 190.

15. Kiongozi wa madhehebu ya bohora alichangia dora za marekani elfu 33.

16. Umoja wa vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema BAVICHA walichangia million 7.

17. Barozi kagasheki milioni 5.

18. Uvccm mwanza milioni 3.

19 .Mch. Dr geturuda rwakatale million 10.

Kwa mujibu wa ripoti ya maafa iliyo tolewa na mkuu wa mkoa wa kagera Mh Kijuu wakati ule nikwamba nyumba zaidi ya 1200 ziliadhilika na tetemeko hilo.
Ukilinganisha na kiasi hicho cha fedha kilicho changwa na wadau mbalibali niwazi kila Mhathirika angeweza kujengewa nyumba nzuri na ya kisasa tena yenye vigae kwa kila muhanga na umeme juu.

Kwa mujibu wa Rais Magufuli aliwajibu wanakagera mwafa serikali haina fedha za kuwajengea nyumba na hakuna serikali yoyote duniani iliyowai kuwajengea wahanga wa matetemeko nyumba!
Magufuli alienda mbali zaidi nakusema fedha zilozo changwa zitajenga miundominu ya serikali iliyo alibiwa na tetemeko hilo.

Sasa watanzania tunahoji mbona miundombinu iliyo karabatiwa mbona haiendani na kiasi cha fedha lizizo changwa Fedha zingine zimepelekwa wapi?

WATANZANIA TUMETUNZA MAFILE KWA KUMBUKUMBU NZURI ZA KUSAIDIA KWA AMBAO HAWAKUREKODI KUMBUKUMBU.

kwa wale tulioweka Kumbukumbu naomba tukumbane kwa kuongeza mengine na kuonyesha jinsi gani hatutaki kudanganywa wala kuunga hoja zisizo na Mantiki.

TUUNGANE NA KUKEMEA UNYANYASAJI UNAOENDELEA KULIGAWA TAIFA LETU BILA KUANGALIA ITIKADI ZETU BALI TUWEKE MBELE MSTAKABARI WA MAENDELEO KWA WANANCHI WA TANZANIA NA UTANZANIA WETU. (Tusibaguane kwa Matatizo tuliyonayo #SisiniWamoja Tanzania Moja kwa Umoja WETU.)
Tarehe 28 October,mkoa wa kagera fanyieni yenu. TL anatufaaa
 
Usiseme watanzania ,sema chadema hatusahau ,sasa mimi mtu wa kinampanda halikunihusu
 
1.
Sasa watanzania tunahoji mbona miundombinu iliyo karabatiwa mbona haiendani na kiasi cha fedha lizizo changwa Fedha zingine zimepelekwa wapi?

WATANZANIA TUMETUNZA MAFILE KWA KUMBUKUMBU NZURI ZA KUSAIDIA KWA AMBAO HAWAKUREKODI KUMBUKUMBU.

kwa wale tulioweka Kumbukumbu naomba tukumbane kwa kuongeza mengine na kuonyesha jinsi gani hatutaki kudanganywa wala kuunga hoja zisizo na Mantiki.

Uliyoandika ni UPUUZI mtupu.

Tumechoka na lawama, shutuma, dhihaki, kejeli, nk kutoka kwa viongozi, wanachama, na wafuasi wa Chama kinachoomba ridhaa ya WaTz kuongoza nchi hii.

Hatutaki kusikia majidai, majigambo na mbwembwe za majukwaani ya viongozi wanaoomba ridhaa ya WaTz kuongoza nchi hii.

Tunaomba kusikia Sera/Mikakati mbadala ya maendeleo na jinsi ya kufanikisha.

Tunataka kusikia, kutoka kwa hao wagombea, nini wameifanyia Tz hadi leo ili tuamini kuwa wanao uwezo na nia thabiti za kutimiza ahadi zao hizo.
 
Najaribu tu kuwaza kwa sauti "mtu aliyepiga pesa za rambirambi hafai kupewa 2nd chance hata kama akitubu maana ni muuaji na asiye na chembe ya utu ndani yake"
Pole sana kwa vijana wa UDOM
 
Ha ha ha haa...eti Hamgembe bukoba mjini!! Hiyo ni ya kwenu. Bukoba mjini kuna HAMUGEMBE.


Oli kifela kyankaasi iwee??

Unashabikia ujinga?? Umeelewa kilichoongelewa au unashabikia kisa kofia tu? Hivi unadhani tuliobomolewa nyumba zetu tukalala kwenye turubai wiki tunakuonaje wewe?? Na msaada tukapewa bado ukazimwa??

Hivi unajua kwamba kuna raia tangu kwenye tetemeko mpaka leo bado uchumi wao haujakaa sawa? Bk hatusahau hili..!!!
Ulikua na kibanda chamakuti ya miti ya mihumula kakapasuka kidogoo halafu ukakikamalizia kukidondoshaa, baada yakusikia misada imetolewa iliwakujengeee nyumba ya kisasa yenyebati za mzauz.
Mhaya gani we we unayelilia lilia musada ya rambirambiiii? Kalime mibuni huko mtukura na kashozi utapata helaaaa.
Haaaaa haaaaaa. Ngoja nikuache.
 
Hakika Magufuli hafai kupewa kipindi kingine.
Mueleze mleta mada kuwa kuna baadhi ya ndugu zetu watanzania wa huko Kagera, kwa makusi, waliamua kupamua nyufa za majengo yao ama kubomoa kuta kabisa wakitarajia wakati wakufanyiwa tathimini nao watalipwa ela za kujikimu na kukarabati nyumba zao. Taarifa zipo. Hivyo, wakati mleta mada anajivinjari na uzi wake huu, asisahau kukema uchoyo, ubinafsi, na mengine yaliyopitiliza kama hayo kwa baadhi ya ndugu zetu popote walipo!
 
1. Rais uhuru kenyata alichangia wahanga million 200.

2. Serikali ya korea iliwachangia wahanga million 108.

3. Serikali ya uingereza iliwachangia wahanga billion 6

4. Askofu mkuu wa EAGT dkt brown mwakipesile alichangia million 10.

5. Mh Freeman Mbowe million 5.

6. Waziri mkuu wa india NARENDRA MODI na serikali yake walichangia million 545.

7. Mchungaji king james wa kanisa la P.AG. kahororo kyamaizi bukoba alichangia million 3.

8. United States of America ilichangia billion 6.

9. Jasem al - najeola barozi wa Kuwait alichangia dora za marekani elfu 33.

10. Rais yoweli Kaguta museveni wa Uganda alichangia million 430 kupitia serikali yake.

11. Said salimu bakhalesa alichangia million 100.

12. Reginald mengi alichangia million 110.

13. Baraza la wawakilishi zanzibar lilichangia milioni 30.

14. Caspian omid kalambech alichangia million 190.

15. Kiongozi wa madhehebu ya bohora alichangia dora za marekani elfu 33.

16. Umoja wa vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema BAVICHA walichangia million 7.

17. Barozi kagasheki milioni 5.

18. Uvccm mwanza milioni 3.

19 .Mch. Dr geturuda rwakatale million 10.

Kwa mujibu wa ripoti ya maafa iliyo tolewa na mkuu wa mkoa wa kagera Mh Kijuu wakati ule nikwamba nyumba zaidi ya 1200 ziliadhilika na tetemeko hilo.
Ukilinganisha na kiasi hicho cha fedha kilicho changwa na wadau mbalibali niwazi kila Mhathirika angeweza kujengewa nyumba nzuri na ya kisasa tena yenye vigae kwa kila muhanga na umeme juu.

Kwa mujibu wa Rais Magufuli aliwajibu wanakagera mwafa serikali haina fedha za kuwajengea nyumba na hakuna serikali yoyote duniani iliyowai kuwajengea wahanga wa matetemeko nyumba!
Magufuli alienda mbali zaidi nakusema fedha zilozo changwa zitajenga miundominu ya serikali iliyo alibiwa na tetemeko hilo.

Sasa watanzania tunahoji mbona miundombinu iliyo karabatiwa mbona haiendani na kiasi cha fedha lizizo changwa Fedha zingine zimepelekwa wapi?

WATANZANIA TUMETUNZA MAFILE KWA KUMBUKUMBU NZURI ZA KUSAIDIA KWA AMBAO HAWAKUREKODI KUMBUKUMBU.

kwa wale tulioweka Kumbukumbu naomba tukumbane kwa kuongeza mengine na kuonyesha jinsi gani hatutaki kudanganywa wala kuunga hoja zisizo na Mantiki.

TUUNGANE NA KUKEMEA UNYANYASAJI UNAOENDELEA KULIGAWA TAIFA LETU BILA KUANGALIA ITIKADI ZETU BALI TUWEKE MBELE MSTAKABARI WA MAENDELEO KWA WANANCHI WA TANZANIA NA UTANZANIA WETU. (Tusibaguane kwa Matatizo tuliyonayo #SisiniWamoja Tanzania Moja kwa Umoja WETU.)
........"kwani ni mimi niliyeleta tetemeko?"....alisikika akisema rais Magufuli. Huu ndio wakati wa kumwadhibu wana Bukoba tusifanye makosa.
 
Tatizo la watanzania wengi lipo kwenye memory center (sehemu ya ubongo inayohusika kutunza kumbukumbu) na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom