Watanzania hatujasahau na hatutasahau yaliyotokea katika tetemeko la Kagera

Watanzania hatujasahau na hatutasahau yaliyotokea katika tetemeko la Kagera

Yaani MTU yeyote wa Kagera kumpa kura huyu MTU atakuwa bonge LA mjinga. Sio kwa kauli zile!
100% hayupo wa kumpa kura mkuu kwanza yeye mwenyewe unahisi Ataenda kweli huko lazima nafsi yake ijutie maneno yake!
 
Tatizo la watanzania wengi lipo kwenye memory center (sehemu ya ubongo inayohusika kutunza kumbukumbu) na si vinginevyo.
Technology imekuja kuwasaidia mkuu ndio maaana anayetaka uwongozi wa malaika anatamani azime mitandao ya kijamii!
Fikiria leo tungekuwa tuna tunategemea TBC CCM ingekuwaje!! Tusingekuwa kumbushana haya
 
Lwakatare alikusanya sh. ngapi?
Dada nakuona ulivyo mrembo,uvccm inafaidi sana
IMG_20200830_170926.jpeg
 
Back
Top Bottom