fundi25 JF-Expert Member Joined Apr 16, 2013 Posts 10,378 Reaction score 11,537 Aug 30, 2020 #41 Chakaza said: Yaani MTU yeyote wa Kagera kumpa kura huyu MTU atakuwa bonge LA mjinga. Sio kwa kauli zile! Click to expand... 100% hayupo wa kumpa kura mkuu kwanza yeye mwenyewe unahisi Ataenda kweli huko lazima nafsi yake ijutie maneno yake!
Chakaza said: Yaani MTU yeyote wa Kagera kumpa kura huyu MTU atakuwa bonge LA mjinga. Sio kwa kauli zile! Click to expand... 100% hayupo wa kumpa kura mkuu kwanza yeye mwenyewe unahisi Ataenda kweli huko lazima nafsi yake ijutie maneno yake!
fundi25 JF-Expert Member Joined Apr 16, 2013 Posts 10,378 Reaction score 11,537 Aug 30, 2020 #42 Fiziolojia said: Tatizo la watanzania wengi lipo kwenye memory center (sehemu ya ubongo inayohusika kutunza kumbukumbu) na si vinginevyo. Click to expand... Technology imekuja kuwasaidia mkuu ndio maaana anayetaka uwongozi wa malaika anatamani azime mitandao ya kijamii! Fikiria leo tungekuwa tuna tunategemea TBC CCM ingekuwaje!! Tusingekuwa kumbushana haya
Fiziolojia said: Tatizo la watanzania wengi lipo kwenye memory center (sehemu ya ubongo inayohusika kutunza kumbukumbu) na si vinginevyo. Click to expand... Technology imekuja kuwasaidia mkuu ndio maaana anayetaka uwongozi wa malaika anatamani azime mitandao ya kijamii! Fikiria leo tungekuwa tuna tunategemea TBC CCM ingekuwaje!! Tusingekuwa kumbushana haya
tweenty4seven JF-Expert Member Joined Sep 21, 2013 Posts 15,863 Reaction score 19,626 Aug 30, 2020 #43 jingalao said: Lwakatare alikusanya sh. ngapi? Click to expand... Dada nakuona ulivyo mrembo,uvccm inafaidi sana
jingalao said: Lwakatare alikusanya sh. ngapi? Click to expand... Dada nakuona ulivyo mrembo,uvccm inafaidi sana
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Aug 31, 2020 #44 wa stendi said: Na uwanja kule kwao Click to expand... Kabisa
sawee225 JF-Expert Member Joined Jun 14, 2017 Posts 3,224 Reaction score 12,109 Aug 31, 2020 #45 Karibu Sana said: Huu Ni urojo wa Cha Domo na Wala hazita wasaidia kuwapa kura hamna sera zaidi ya kuwa vibaraka wa mabeberu, Viva magufuli Viva CCM Click to expand... poor you...umeshindwa kujibu hoja apo unakimbilia kusifia tu...kama alieandika hayo ni uongo mbona ujapinga... Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Karibu Sana said: Huu Ni urojo wa Cha Domo na Wala hazita wasaidia kuwapa kura hamna sera zaidi ya kuwa vibaraka wa mabeberu, Viva magufuli Viva CCM Click to expand... poor you...umeshindwa kujibu hoja apo unakimbilia kusifia tu...kama alieandika hayo ni uongo mbona ujapinga... Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app