brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Vanessa mdee ni msanii pekee wa kike wa Tanzania anaefanya vizuri Africa kwa ujumla, ukichukua wasanii 5 wakike bora africa kwa sasa huwezi muacha vanessa mdee hata nominations mbalimbali za tuzo kubwa africa zimethibitisha hilo.
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda hasa hapa nyumbani pamoja na uwekezaji wake mkubwa kwenye music wake na kutoa hits kali zinazotamba africa amekuwa hafanyi shows (matamasha) ambazo kiasi kikubwa ndo humuingizia msanii kipato, tunajua mfumo wa kuuza album tanzania haulipi.
Sasa nimekuwa najiuliza kwanini vanessa mdee hafanyi shows kubwa, je Tatizo ni waandaaji? Au mfumo wa mziki wa Tanzania?
Siku moja nilimsikia Vanessa mdee akisema “Kubwa zaidi ni masuala ya bookings msanii wa kike kupewa kile anachostahili, mwanaume atalipwa zaidi siku zote japo msichana ana hit song anaweza kuvuta wale wale atakaovuta
akinakaka,” Vanessa aliiambia 255 ya XXL kupitia
Clouds FM.
Siku kadhaa zilizopita nimeona vanessa akitangaza shows zake nikasikitika sana baada ya kuona mabongo yake
Hivi vanessa mdee kwa ukubwa wake ni wakufanya shows kwenye kumbi ndogo za nights clubs hapa nyumbani? Ukubwa wa vanessa mdee hana tofauti na ukubwa wa diamond platnumz ambeye kimsingi ameshaacha kufanya shows za clubs hapa Nyumbani.
Vassena mdee sasa hivi anapaswa kufanya shows kubwa kwenye viwanja vikubwa kama mlimani city, uwanja wa leaders, na viwanja vya mipira huko mikoani tena shows za kusimama mwenyewe bila kundi la wasanii.
Ni wakati sasa kutambua thamani ya huyu mdada hasa waandaaji wa matamasha.
Shows za clubs, birthday sasa ziwe mwisho.
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda hasa hapa nyumbani pamoja na uwekezaji wake mkubwa kwenye music wake na kutoa hits kali zinazotamba africa amekuwa hafanyi shows (matamasha) ambazo kiasi kikubwa ndo humuingizia msanii kipato, tunajua mfumo wa kuuza album tanzania haulipi.
Sasa nimekuwa najiuliza kwanini vanessa mdee hafanyi shows kubwa, je Tatizo ni waandaaji? Au mfumo wa mziki wa Tanzania?
Siku moja nilimsikia Vanessa mdee akisema “Kubwa zaidi ni masuala ya bookings msanii wa kike kupewa kile anachostahili, mwanaume atalipwa zaidi siku zote japo msichana ana hit song anaweza kuvuta wale wale atakaovuta
akinakaka,” Vanessa aliiambia 255 ya XXL kupitia
Clouds FM.
Siku kadhaa zilizopita nimeona vanessa akitangaza shows zake nikasikitika sana baada ya kuona mabongo yake
Hivi vanessa mdee kwa ukubwa wake ni wakufanya shows kwenye kumbi ndogo za nights clubs hapa nyumbani? Ukubwa wa vanessa mdee hana tofauti na ukubwa wa diamond platnumz ambeye kimsingi ameshaacha kufanya shows za clubs hapa Nyumbani.
Vassena mdee sasa hivi anapaswa kufanya shows kubwa kwenye viwanja vikubwa kama mlimani city, uwanja wa leaders, na viwanja vya mipira huko mikoani tena shows za kusimama mwenyewe bila kundi la wasanii.
Ni wakati sasa kutambua thamani ya huyu mdada hasa waandaaji wa matamasha.
Shows za clubs, birthday sasa ziwe mwisho.