Watanzania hatuna uzalendo wa kiwango hiki, bali naamini watu wana masilahi binafsi huko Ngorongoro na ipo siku ukweli utajulikana

Watanzania hatuna uzalendo wa kiwango hiki, bali naamini watu wana masilahi binafsi huko Ngorongoro na ipo siku ukweli utajulikana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Uzoefu unaonyesha ukiona watanzania, hasa wanasiasa, wanaungana na wanahabari juu ya jambo fulani huku nguvu kubwa ikitumika kufanikisha jambo hilo , basi ujue teyari kuna watu wana masilahi binafsi na jambo husika, na teyari kuna bahasha zinatembea na wala si uzalendo wa wahusika unaowasukuma (Watanzania,hasa wa chama tawala, hawana huo uzalendo hata kidogo).

Ipo siku Watanzania mtaujua ukweli pale itapokuja kuundwa tume huru kuchunguza yaliyofanyika au vinginevyo hata kama itakuwa ni katika awamu zijazo.

Mfano mzuri miongoni mwa mingi iliyopo ni ile ya gesi huko Mtwara na nguvu kubwa iliyotumika wakati ule na leo tunaambiwa gesi si yetu bali ni ya mabeberu (as Magufuli once said).

Niambieni ni lini CCM wamewahi kuwa na uchungu na maliasili za nchi yetu kwa kiwango hiki tena katika zama hizi?Nitakuwa wa mwisho kuwaamini.

Time will tell.
 
Kabisa, ni vivyo hivyo na maguvu yanayotumika kung'ang'ania uenyekiti wa chama.......si kwamba ni uzalendo kwa watanzania bali ni maslahi tu. Amini nakwambia!!
 
l
Uzoefu unaonyesha ukiona watanzania hasa wanasiasa, wanaungana na wanhabari juu ya jambo fulani huku nguvu kubwa ikitumika kufanikisha jambo hilo , basi ujue teyari kuna watu wana masilahi binafsi na jambo husika, na teyari kuna bahasha zinatembea na wala si uzalendo wa wahusika unaowasukuma (Watanzania,h asa wa chama tawala, hawana huo uzalendo hata kidogo).

Ipo siku watanzania mtaujua ukweli pale itapokuja kuundwa tume huru kuchunguza yaliyofanyika au vinginevyo hata kama itakuwa ni katika awamu zijazo.

Mfano mzuri miongoni mwa mingi iliyopo ni ile ya gesi huko Mtwara na nguvu kubwa iliyotumika wakati ule na leo tunaambiwa gesi si yetu bali ni ya mabeberu (as Magufuli once said).

Time will tell.
Kama kuitetea sehemu inayoliingizia mapato makubwa Taifa letu yanayotuhudumia sote isiangamie kwa wanyama kutoweka na kukimbilia kenya jambo litakaloifanya nchi yetu kupoteza Biashara ya utalii ni maslahi binafsi acha na mimi leo nijulikane nina maslahi binafsi
 
Uzoefu unaonyesha ukiona watanzania hasa wanasiasa, wanaungana na wanhabari juu ya jambo fulani huku nguvu kubwa ikitumika kufanikisha jambo hilo , basi ujue teyari kuna watu wana masilahi binafsi na jambo husika, na teyari kuna bahasha zinatembea na wala si uzalendo wa wahusika unaowasukuma (Watanzania,hasa wa chama tawala, hawana huo uzalendo hata kidogo).

Ipo siku Watanzania mtaujua ukweli pale itapokuja kuundwa tume huru kuchunguza yaliyofanyika au vinginevyo hata kama itakuwa ni katika awamu zijazo.

Mfano mzuri miongoni mwa mingi iliyopo ni ile ya gesi huko Mtwara na nguvu kubwa iliyotumika wakati ule na leo tunaambiwa gesi si yetu bali ni ya mabeberu (as Magufuli once said).

Niambieni ni lini CCM wamewahi kuwa na uchungu na maliasili za nchi yetu kwa kiwango hiki tena katika zama hizi?Nitakuwa wa mwisho kuwaamini.

Time will tell.
Huu ndiyo ukweli
 
l

Kama kuitetea sehemu inayoliingizia mapato makubwa Taifa letu yanayotuhudumia sote isiangamie kwa wanyama kutoweka na kukimbilia kenya jambo litakaloifanya nchi yetu kupoteza Biashara ya utalii ni maslahi binafsi acha na mimi leo nijulikane nina maslahi binafsi
Wewe tuna kujua sana
 
l

Kama kuitetea sehemu inayoliingizia mapato makubwa Taifa letu yanayotuhudumia sote isiangamie kwa wanyama kutoweka na kukimbilia kenya jambo litakaloifanya nchi yetu kupoteza Biashara ya utalii ni maslahi binafsi acha na mimi leo nijulikane nina maslahi binafsi
Mbona hatukuwahi kuona kelele za kiasi hiki wakati vifaru na tembo wanamalizwa kwa miongo kadhaa.
 
Uzoefu unaonyesha ukiona watanzania, hasa wanasiasa, wanaungana na wanahabari juu ya jambo fulani huku nguvu kubwa ikitumika kufanikisha jambo hilo , basi ujue teyari kuna watu wana masilahi binafsi na jambo husika, na teyari kuna bahasha zinatembea na wala si uzalendo wa wahusika unaowasukuma (Watanzania,hasa wa chama tawala, hawana huo uzalendo hata kidogo).

Ipo siku Watanzania mtaujua ukweli pale itapokuja kuundwa tume huru kuchunguza yaliyofanyika au vinginevyo hata kama itakuwa ni katika awamu zijazo.

Mfano mzuri miongoni mwa mingi iliyopo ni ile ya gesi huko Mtwara na nguvu kubwa iliyotumika wakati ule na leo tunaambiwa gesi si yetu bali ni ya mabeberu (as Magufuli once said).

Niambieni ni lini CCM wamewahi kuwa na uchungu na maliasili za nchi yetu kwa kiwango hiki tena katika zama hizi?Nitakuwa wa mwisho kuwaamini.

Time will tell.
Umegonga penyewe, ngoja chawa wamiminike kuja hapa kutoa povu.....
 
Uzoefu unaonyesha ukiona watanzania, hasa wanasiasa, wanaungana na wanahabari juu ya jambo fulani huku nguvu kubwa ikitumika kufanikisha jambo hilo , basi ujue teyari kuna watu wana masilahi binafsi na jambo husika, na teyari kuna bahasha zinatembea na wala si uzalendo wa wahusika unaowasukuma (Watanzania,hasa wa chama tawala, hawana huo uzalendo hata kidogo).

Ipo siku Watanzania mtaujua ukweli pale itapokuja kuundwa tume huru kuchunguza yaliyofanyika au vinginevyo hata kama itakuwa ni katika awamu zijazo.

Mfano mzuri miongoni mwa mingi iliyopo ni ile ya gesi huko Mtwara na nguvu kubwa iliyotumika wakati ule na leo tunaambiwa gesi si yetu bali ni ya mabeberu (as Magufuli once said).

Niambieni ni lini CCM wamewahi kuwa na uchungu na maliasili za nchi yetu kwa kiwango hiki tena katika zama hizi?Nitakuwa wa mwisho kuwaamini.

Time will tell.
Inawezekana kuna lililo nyuma ya pazia..ingawa kwenye issue sensitive kama hii, sidhani kama kuna mjinga atakayeamua kujilipua kiasi hicho. Maana atapata tabu sana.
Ngorongoro ituzwe...miaka kadri inavyokwenda ndio inazidi kuwa lulu..itakuja kulipa mnoo. Tusifanye makosa tuliyofanya nyuma. Hawa wanyama wanaweza kupotea wote kama shughuli za kibinadamu zitakuwa nyingi katika maeneo yao
 
Kuna hotel nzuri sana na ni moja ya Sehemu ghali sana duniani kwa utalii
Ipo South Africa jina ni Royal Malewane ndani ya Kruger National park

Hii Hotel kulala kwa siku moja ni Tsh 48,000,000 ndio 48m kwa raha ya usiku mmoja

Usingizi ni ule ule ila watu wazito wanalipa
Unaoga swimming pool huku Tembo wanakunywa maji hapo hapo amazing [emoji6]

Sasa naona na hawa washamba naona wamepewa cha juu na kutamanishwa kuwa watafungua Hotel ya uhakika
Je tunaweza mambo ya wenzetu?
Au tamaa za hela tu

IMG_4373.jpg

IMG_4370.jpg

IMG_4372.jpg
 
Kuna hotel nzuri sana na ni moja ya Sehemu ghali sana duniani kwa utalii
Ipo South Africa jina ni Royal Malewane ndani ya Kruger National park

Hii Hotel kulala kwa siku moja ni Tsh 48,000,000 ndio 48m kwa raha ya usiku mmoja

Usingizi ni ule ule ila watu wazito wanalipa
Unaoga swimming pool huku Tembo wanakunywa maji hapo hapo amazing [emoji6]

Sasa naona na hawa washamba naona wamepewa cha juu na kutamanishwa kuwa watafungua Hotel ya uhakika
Je tunaweza mambo ya wenzetu?
Au tamaa za hela tu

View attachment 2119232
View attachment 2119233
View attachment 2119234
Mkuu ulichoandika ni mtazamo wako tu ila Mimi naona unapiga ramli chonganishi! Hakuna mpango wa kujenga hotel Ngorongoro ila shughuli za kibinadamu zimezidi uwezo wa eneo husika...
 
Mkuu ulichoandika ni mtazamo wako tu ila Mimi naona unapiga ramli chonganishi! Hakuna mpango wa kujenga hotel Ngorongoro ila shughuli za kibinadamu zimezidi uwezo wa eneo husika...

Basi kama ni hivyo nimefuta kauli
Ila PM alipokuwa bungeni ilikuwa aongee moja kwa moja kama unavyosema badala ya kuzungukazunguka
 
Back
Top Bottom