Watanzania hawachukii ufisadi na ukiona wanapiga kelele ujue ni wivu tu kwa mtu fulani, ukitaka kujua hilo mtafute mpiga kelele mmoja mpe nafasi uone maajabu!
Mtanzania na wizi ni mtu na Nduguye hawatengani, watz ndivyo tulivyo. Ni wezi hakuna mzalendo hata sisi tunaopiga kelele tunahitaji tu nafasi tupige. Tukipata nafasi hutatusikia tena!
CCM imetengeneza hilo kuwa kama mfumo wa nchi yaani "Piga kelele kama hujapata ukipata Nyamaza".
Mtanzania na wizi ni mtu na Nduguye hawatengani, watz ndivyo tulivyo. Ni wezi hakuna mzalendo hata sisi tunaopiga kelele tunahitaji tu nafasi tupige. Tukipata nafasi hutatusikia tena!
CCM imetengeneza hilo kuwa kama mfumo wa nchi yaani "Piga kelele kama hujapata ukipata Nyamaza".