Watanzania hawajahuzunika na Kipigo cha DRC, Kwanini?

Watanzania hawajahuzunika na Kipigo cha DRC, Kwanini?

Waliokuwa wanafurahi Club zao kutoa wachezaji wengi wanaocheza timu ya Taifa nadhani hao ndio wanaopaswa kuhuzunika.
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Una siasa za kipumbavu sana. Kama watu hawajafurahishwa si ina maana wamehuzunishwa? Taifa Stars sio timu ya CHADEMA wala CCM. Hata nyie mkiingia madarakani mwaka 2315 mtaendelea na Taifa Stars. DRC kisoka wako mbali. Hiyo nchi ina vipaji vingi mno vya michezo kwa hiyo kuifunga stars sio maajabu. Unafahamu kwa Claude Makelele alienda Ufaransa akiwa mkubwa kabisa kutokea DRC?
 
Nmefurahia sana matokeo, mana tungeanza kupigiwa kelele za mama anaupiga mwingi
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Vyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.
 
Una siasa za kipumbavu sana. Kama watu hawajafurahishwa si ina maana wamehuzunishwa? Taifa Stars sio timu ya CHADEMA wala CCM. Hata nyie mkiingia madarakani mwaka 2315 mtaendelea na Taifa Stars. DRC kisoka wako mbali. Hiyo nchi ina vipaji vingi mno vya michezo kwa hiyo kuifunga stars sio maajabu. Unafahamu kwa Claude Makelele alienda Ufaransa akiwa mkubwa kabisa kutokea DRC?
Sijaelewa kama unalia, unaweweseka au unahuzunika.

Hivi ni sahihi kumhoji Katibu Mkuu wa Wizara ya michezo badala ya kocha?
 
Tumefungwa sababu ya uwezo wa DR Congo, mengine ni taarabu tu.

Hakuna huzuni yoyote maana tulitarajia kipigo na tumekipata, hapa sasa fainali yetu ni Guinea na Ethiopia ndondo wenzetu.
 
Tumefungwa sababu ya uwezo wa DR Congo, mengine ni taarabu tu.

Hakuna huzuni yoyote maana tulitarajia kipigo na tumekipata, hapa sasa fainali yetu ni Guinea na Ethiopia ndondo wenzetu.
Tuna Sudan Playoffs tarehe 11/11/2024 wakatusagie kunguni.. Leo Ghana kala 2 mtungi swaaaafy. .
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
f790e9a9-9601-432f-a1ef-bdadffa0e3cc.jpeg
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Watz wameshajikatia tamaa kwa mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom