Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una siasa za kipumbavu sana. Kama watu hawajafurahishwa si ina maana wamehuzunishwa? Taifa Stars sio timu ya CHADEMA wala CCM. Hata nyie mkiingia madarakani mwaka 2315 mtaendelea na Taifa Stars. DRC kisoka wako mbali. Hiyo nchi ina vipaji vingi mno vya michezo kwa hiyo kuifunga stars sio maajabu. Unafahamu kwa Claude Makelele alienda Ufaransa akiwa mkubwa kabisa kutokea DRC?Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Vyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Ogopa sana mpumbavu anayejiamini kama CCM....Vyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.
Sijaelewa kama unalia, unaweweseka au unahuzunika.Una siasa za kipumbavu sana. Kama watu hawajafurahishwa si ina maana wamehuzunishwa? Taifa Stars sio timu ya CHADEMA wala CCM. Hata nyie mkiingia madarakani mwaka 2315 mtaendelea na Taifa Stars. DRC kisoka wako mbali. Hiyo nchi ina vipaji vingi mno vya michezo kwa hiyo kuifunga stars sio maajabu. Unafahamu kwa Claude Makelele alienda Ufaransa akiwa mkubwa kabisa kutokea DRC?
HayaVyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.
Acha siasa za kifala, halafu ninyi wanasiasa achaneni na timu yetu ya Taifa pumbavu ninyi
Vyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.
Daaaah!Hongera DRC kwa kuwanyoosha watekaji FC
Tuna Sudan Playoffs tarehe 11/11/2024 wakatusagie kunguni.. Leo Ghana kala 2 mtungi swaaaafy. .Tumefungwa sababu ya uwezo wa DR Congo, mengine ni taarabu tu.
Hakuna huzuni yoyote maana tulitarajia kipigo na tumekipata, hapa sasa fainali yetu ni Guinea na Ethiopia ndondo wenzetu.
Vyama vya upinzani Tanzania ni vya kipumbavu sana hasa Chadema.
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
😆😆😆😆Bora CHADEMA wapumbavu kuliko CCM matahira. Na Leo mmenyooshwa na Waziri Mkuu wenu akiwepo. Bravo DRC
Watz wameshajikatia tamaa kwa mambo mengi sana.Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Vilabu wanavyotoka havina uwezo wa kufanya jambo la maana zaidi ya kutumika tu kwenye......ile sio timu ni kikundi cha wacheza ngoma!
Na mdharau sana mwerevu anayejiamimi sana akiwa nyuma ya keyboard kama Mwana Chadema! Ahahahahaha!!Ogopa sana mpumbavu anayejiamini kama CCM....