Watanzania hawajahuzunika na Kipigo cha DRC, Kwanini?

Watanzania hawajahuzunika na Kipigo cha DRC, Kwanini?

Bora CHADEMA wapumbavu kuliko CCM matahira. Na Leo mmenyooshwa na Waziri Mkuu wenu akiwepo. Bravo DRC
Ningelikuwa na maamuzi ya mwisho nchi hii UNGELIPOTEA katika dunia hii, because treason should be treated as such!
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Labda wewe
Tumehuzunika sana tulitegemea kupata angalau sare
 
Ila mpira siku hizi umebadilika sana hv Ghana ndo wakufungwa na sudani goli mbili. Ivory cost wakuingaishwa na Sera lione?
 
Kila kitu kimekaa kimchongo mchongo kwenye hiyo timu, kuanzia kocha wachezaji mpaka wasimamizi wao!! WANATUMIA JINA LA TAIFA LAKINI NI PANGO LA WALANGUZI!!!
Ila kocha mle hamna muzeye na Julio juu. Hawa wamepata mafanikio wapi mpaka kupewa timu ya taifa?
 
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.

Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.

Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?

Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Hiyo siyo timu ya Taifa tena bali ni mali binafsi ya mwenyekiti wa CCM sasa ikifungwa atajua yeye mweyewe.
 
Back
Top Bottom