Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Dk 22, Ethiopia 0-3 Guinea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ni nchi yangu na najivunia kuwa Mtanzania. Sijui wewe unajivunia kuwa wa nchi gani? Ahahahahaha!!!Hongera DRC kwa kuwanyoosha watekaji FC
Safi sanaDk 22, Ethiopia 0-3 Guinea
Ningelikuwa na maamuzi ya mwisho nchi hii UNGELIPOTEA katika dunia hii, because treason should be treated as such!Bora CHADEMA wapumbavu kuliko CCM matahira. Na Leo mmenyooshwa na Waziri Mkuu wenu akiwepo. Bravo DRC
Hahah ndege si kodi zetu?Naipendaga club yangu kuliko timu ya taifa.
Anaetoaga ndege labda ndo kahuzununika
Huna uwezo huo na huenda ukapotea weweNingelikuwa na maamuzi ya mwisho nchi hii UNGELIPOTEA katika dunia hii, because treason should be treated as such!
Kwahiyo kushabikia congo ñi treason we vipiNingelikuwa na maamuzi ya mwisho nchi hii UNGELIPOTEA katika dunia hii, because treason should be treated as such!
Inategemea na uelewa wako. Kwenye nchi zengine mpaka sasa hivi ungelikuwa ushasahaulika! By the way, unamkumbuka Escobar?Kwahiyo kushabikia congo ñi treason we vipi
Ahahahahaha! Ahahahahaha! You're just a bug in this country! Ahahahahaha!!!Huna uwezo huo na huenda ukapotea wewe
Kuna siku itakula 10Timu inatumiwa kisiasa
Labda weweBaada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Ila kocha mle hamna muzeye na Julio juu. Hawa wamepata mafanikio wapi mpaka kupewa timu ya taifa?Kila kitu kimekaa kimchongo mchongo kwenye hiyo timu, kuanzia kocha wachezaji mpaka wasimamizi wao!! WANATUMIA JINA LA TAIFA LAKINI NI PANGO LA WALANGUZI!!!
Aiseeee!!Ila kocha mle hamna muzeye na Julio juu. Hawa wamepata mafanikio wapi mpaka kupewa timu ya taifa?
Na hawa ndio wanaotuharibiaNilipoona waziri kaenda kambini nikajua tu gundu tayari 😃
Hiyo siyo timu ya Taifa tena bali ni mali binafsi ya mwenyekiti wa CCM sasa ikifungwa atajua yeye mweyewe.Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024