Watanzania hawana adabu kumsema Rais!

Watanzania hawana adabu kumsema Rais!

kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Ha ha ha ha ha Mpumbavu mwingine kapandikizwa hapa na watetezi wa mafisadi na si ajabu mwenyewe pia ni fisadi. Adabu wewe umeifahamu tangu lini? Unaweza kutupa definition ya adabu kama unavyoifahamu wewe?

Au adabu kwako wewe ni kukaa kimya wakati mafisadi akina Mkapa, Manji, Rostam, Chenge, Subhash Patel, Jeetu, Karamagi, Idrissa, Yona na wengineo chungu nzima wakiendelea kupira urajiri wa Watanzania kwa mabilino wakati asilimia kubwa ya Watanzania wakiishi kwa maisha ya ufukara wa kutisha? Au unataka tukae kimya kuhusu utendaji dhaifu wa Kikwete ambaye aliingia madarakani kwa kutumia mabilioni ya mafisadi ndiyo utaona tuna adabu?

Kwa hiyo kwa akili yako finyu hata Viongozi wa dini zetu mbili kubwa wanaosema kwamba nchi inaenda mrama, na viongozi wa zamani kama Warioba, SAS, Butiku na wengineo wengi wanaosema mwelekeo wa nchi hauridhishi nao hawana adabu! ila mwenye adabu ni wewe tu mtetezi wa mafisadi mwenye adabu ya woga unaogopa hata kuhoji chochote kile kinachohusiana na uongozi mbovu wa Kikwete!

Waungwana, hivi ndiyo viroja tutakavyoviona kuelekea 2010. Wewe mwenye adabu kaa na adabu yako na siye tusiokuwa na adabu tuache tufanye vitu vyetu.
 
Sasa wewe MkamaP ulikuwa na sababu gani hasa ya kuanzisha pen name mpya ulikueleza upupu wako? Falsey a.k.a MkamaP YOU ARE A PURE MENTAL CASE. Kukuonyesha WTZ wana adabu kwa post hii ulistahili matusi ya nguoni lakini kwa sababu watu wanajiheshimu wamekuonya na kukushauri tu. Huyo Makamba wako adabu ikowapi kuwaita wazee wenzie wehu? Huyo Rais wako mchovu adabu iko wapi kudai watu wanaomkosoa wana chuki na wivu. Kapimwe akili yako kama Rais wako alivyojua ana matatizo ya akili akaamua kupimwa.

Mmmmmh! Heri mimi sijasema!
 
kaka/dada samahani mie ni mtanzania mwenyeji wa iringa kihesa semtema kribu na chuo kikuu tumaini, mkazi wa maeneo hayo natoka familia ya wastani kwa kipato wenye uwezo wa juu kufikiri na wenye uwezo wa kuthubutu kufanya mambo yasiyo tarajiwa. siogopi yajayo nachukia yaliyopita mabaya kwangu siku ni leo na bora kwa kuijadili kesho jana imekwenda, majungu si mtaji ndo tabia yangu nachukizwwa na wadandia hoja, kwetu wakubwa wanaheshimiwa na msingi wa dini yangu hauniruhusu kumsema mkuu wa watu wangu, ni msingi huo unanituma kuwaheshimu watumuishi wa Mungu Mfalme ni mtumishi wa Mungu na upanga na haubebi bure ni haja yangu kumheshimu atanikirimia na ni adhabu kwangu nikimletea jeuri.
tusihoji uraia tuangalie ukweli wa mantiki.

Matamshi yako yana dhibitisha kuwa kweli una ubongo tena mkubwa lakini akili huna" Ubongo ni ubongo tu hata vichaa wana ubongo,siyo vichaa tu hata wanyama wana ubongo pia" hivyo basi Falesy wewe unaubongo mkubwa lakini natilia mashaka kama una akili timamu maana pumba kama hizi zinaandikwa na mtu mwenye ubongo tu lakini akili hana.samahani JF nimeona kichefuchefu ndo maana nimetumia lugha hii kali kwa huyu mheshimiwa asiye na akili bali ana ubongo kubwa.
 
Sasa wewe MkamaP ulikuwa na sababu gani hasa ya kuanzisha pen name mpya ulikueleza upupu wako? Falsey a.k.a MkamaP YOU ARE A PURE MENTAL CASE. Kukuonyesha WTZ wana adabu kwa post hii ulistahili matusi ya nguoni lakini kwa sababu watu wanajiheshimu wamekuonya na kukushauri tu. Huyo Makamba wako adabu ikowapi kuwaita wazee wenzie wehu? Huyo Rais wako mchovu adabu iko wapi kudai watu wanaomkosoa wana chuki na wivu. Kapimwe akili yako kama Rais wako alivyojua ana matatizo ya akili akaamua kupimwa.

Hata kama siye Mkamap basi ni birds of a feather...akili zao sawasawa. Rais tutaendelea kumsema akiboronga ili ifike wakati akubali huo mfupa hauwezi. Raisi ameajiriwa na wananchi na sisi kama mabosi wake tutamwajibisha na kumwadabisha kwa kila kosa analolifanya. Sasa kwa kuwa makosa ni mengi na hajirekebishi yeye ndio anatukosea adabu - kwa mtovu wa adabu ni mawe tu. Raisi wetu yuko uchi na hapa JF tunamwambia hajavaa nguo huku Mkamap alias Falsey wakimsifia kwa utanashati - kweli dunia mdundo, wehu wengi !
 
Na wewe Mwanakijiji acha kuwapa THANKS wendawazimu hawa. Watajiona wameandika la maana.
 
mkubwa anastahili kupigiwa makofi akifanya jambo la maana, na akikosea anatakiwa apigwe makofi pia, so he is getting his right share, please give out your contact, labda unaweza kuokoa hii nchi, mimi kama mtanzania ninaelipa kodi nisiyojua maana yake amd getting nervous


Mh!
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Ni kweli bado tuna watanzania kama huyu mtu?. Tunakazi kubwa ya kuwaelisha mambumbumbu kama hawa.
 
Mkuu Falesy, vipi na hawa chini nao wana matatizo ya binafsi na chuki na Rais wetu, au ni sisi tu JF?


http://www.nation.co.ke/

Tanzania: Hail, Chief Kikwete, Not George Bush

Abdu Simba
15 February 2008
opinion
For a country set to play host to a three-day visit by a US President George Bush, Tanzania does not seem to be in the least bit excited about the arrival of "the leader of the Free World". There is only one President that the wananchi are talking about in animated tones - their own President Jakaya Kikwete.


Barely three months ago, a Tanzanian opinion poll revealed that Kikwete's approval rating had plummeted to an all time low of 44 per cent. Furthermore, a significant proportion of citizens expressed general disillusionment with the 4th phase Chama Cha Mapinduzi (CCM) government, complaining that the poor implementation of government policies by shoddy leaders had failed to improve living standards, as promised following the party's landslide electoral victory of 2005.



For a head of state who greatly values his Man of the People image and was voted into office by over 80 per cent of the electorate, the poll findings must have come as a shock to Kikwete, a blunt confirmation that his battle cry of Kazi Mpya, Ari Mpya, Nguvu Mpya'(New Sense of industry, New Motivation, Renewed Energies) had the echo of insincere rhetoric.

 
FMES,
Thanks. Hiyo quote nitaiweka kwenye maktaba yangu.
 
kwanza napenda niwashukru japo si kwa furaha wanablog hii kwani mnaonekana wenye mtazamo wa kutaka kuleta mapinduzi lakini shabaha ndiyo mbovu.
pili nimpe pole rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakay M. Kikwete kwa juhudi zake z akila siku katika kulipeleka taifa hili kule tunatakiwa japo ni wale tu wenye lensi kamili katika macho yao na ambao kichwani kuna ubongo wanaweza kulion hili.
tatu nimpe pole mzee wangu rafiki Yusufu makamba kwa kuwa sasa amekuwa kama jalala la hata watoto wadogo kumsema watakavyo. nadhani tungetumia uhuru huu kuelez aumma athari za sera kam agenda 50-50 na uzazi wa mpngo ingekuwa bora.
tatu nawapa pole wana blog hii walioigeuza kambi ya kupigia soga za siasa za chadema na kuwa msumari wa moto kwa ccm kwa hapo tumepoteza mwelekeo.
leo nakuja na hoja amabyo nitaitambulisha tu kisha nitaiacha hewani. hivi ni wapi na ni nchi gani ambayo watu wake wana uhuru wa kumsemea lolote mtawala wa nchi. najua ni uhuru lakini uhuru usio na mipaka ni vurugu. leo hii kila mmoja anaamua tu kusema mara hosea, mara mwanyika, mara oooooh fisadi fulani kama tunaishi nchi ya KICHAA iliyo katika tamthilya ya MFALME JUHA. hakuna cha wasomi wala wakulima wote tu tumepoteza maana ya blog hii.
wana blog hii wengi hawana uhakika wa yale wanayoyasema na ndiyo maana wameficha majina yao. nadhani ingekuwa ni vema kama tungejuana kwa majina kamili na kule tunaishi au kufanya kazi badala ya haya mwanakijiji, mpenda nchi na mengine kama hayo.
hakuna haja ya kuwa na watoa maoni ambao wameficha nyuso zao, ni watu wasio na ujasiri, ni sawa na shule ya msingi ambako darasani kuna kijana mkorofi lakini pia ni mbabe na msumbufu darasani, ikifika mwalimu wa zamu anauliza ni nani mkorofi kila mmoja huinama na kutaja jina la yule mkorofi ilimradi tu jina litajike, si una ujasiri wa kutaja? simama watu wakuone sema ni JUMA mkorofi naye akuone ajue hhakika huyu ni shujaa kanitaja.
huu sasa ni ujinga hatuwezi kuendelea kusema Rais hajafanya lolote kwa vile Lipumba kasema, ikiwa kikwete hafai kugombea 2010 basi akigombea msimpe kura msiwe vibaraka wa wale wanaowatumikisha pasipo kujua.
blog hii iliaanza nyakati za uchaguzi na miongoni mwa memebrs wa humu 90% walitoka kule na ni wengi waliompigania kikwete achagulike kutoka kura za maoni, mimi falesy nilkuwa kinyume na kikwete lakini leo hii ni rais wa jamhuri ya muungano, biblia inasema usiwasemee vibaya wakuu wa watu wako. Kikwete ni mkuu wa watu wangu watanzania hata siku moja siwezi kumsemea vibaya. MNA LAANA NYIE MNAOMSEMA VIBAYA RAIS KILA KUKICHA NA LAANA YENU HAITAPONA HATA VIZAZI VYENU VITATU NA VINNE. tafadhali sana najua mna jazba na RAIS lakini isiwe kila kukicha mnatafuta kumgombanisha na wananchi kama hawafai basi subirini 2010 msimchague.
na hao kina lipumba na slaa wanona hafai basi wasubiri 2010 wagombee washinde hapa jamani ni jukwaa la mawazo huru ya kujenga taifa hili si jukwaa la kujadili maamuzi ya Rais yapi afanye, yapi alitakiwa afanye na nani na nani wawajibishwe kama mnataka kasomeeni sheria na mfungue mahakama zenu na muanzishe majeshi yenu ya polisi muwakamate hao mnaotaka wakamatwe. pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Wewe ni mpumbavu mara 10000000000000000 na ulicho andika hapa ni ujinga mtupu.
 
ukipenda sana kukosoa angalia siku ukikosolewa, siyo kufikiria tu kuwa na timu upande mmoja. kama mambo ndo haya JF kimeo
 
ukipenda sana kukosoa angalia siku ukikosolewa, siyo kufikiria tu kuwa na timu upande mmoja. kama mambo ndo haya JF kimeo


JF sio kimeo ila wenye mawazo ambayo ni upupu na hoja dhaifu ambazo hazina mashiko ndiyo VIMEO.
 
Nashangaa mnavyojibizana na MWEHU.
anyway ndo mambo ya JF haya. tunasonga mbele kumkoma nyani giladi
 
Falesy Hukutumwa kukusanya taarifa kwani nani asiyekujua wewe ni Usalama? tena unajifanya eti Mjita kumbe Mjaluo wa Kenya ndo maana wewe huoni Uozo wa Viongozi wa JK na yeye kuwa barafu lazima watu watasema mfuate mmoja mmoja umfunge mdomo
 
WEWE Falesy Hukutumwa kukusanya taarifa kwani nani asiyekujua wewe ni Usalama? tena unajifanya eti Mjita kumbe Mjaluo wa Kenya ndo maana wewe huoni Uozo wa Viongozi wa JK na yeye kuwa barafu lazima watu watasema mfuate mmoja mmoja umfunge mdomo
 
Enzi za kufa na tai shingoni wakati mambo yanaenda mrama zimekwisha long ago! Hatuchagui Raisi ili tumuogope ati tutamvunjia heshima wakati tunahisi mambo hayako sawasawa.Hiyo sio heshima ni unafiki. Na kwa hilo hata kama utaamua kutusilence tunaochangia JF kwa mbinu yoyote ile, haitakuwa ndiyo dawa ya ku silence Tanzania nzima kwasababu ya kulalamika mambo yasiyo na tija kwao.
Walishindwa USSR and other corrupt regimes, nina uhakika hata hapa hatutaweza.Dawa ni kubadilika na kuanza kuitumikia nchi yetu kama nchi yetu. I hate egotists kwasababu huwa wanatabia ya kutaka wapate wao tu wengine tuwe watazamaji.
Na kwa kukusaidia, just note that sio wote ni wanachama wa vyama vya siasa hapa bongo.Ila katika kazi ninazofanya siasa mbovu zimekuwa mzigo usiobebeka kwangu na hivyo ni lazima niseme yale ninayoona hayaendi sawa. Leo JF tumekosa heshima kwa Raisi, jana walikuwa mwalimu nyerere foundation na kesho atakuwa nani?
 
ukipenda sana kukosoa angalia siku ukikosolewa, siyo kufikiria tu kuwa na timu upande mmoja. kama mambo ndo haya JF kimeo
Kama JF ni kimeo, na wewe mwenye kuleta hii hoja je?
 
Raisi sio mali ya raisi, ni mali ya wenye raisi. Ukitaka kuwa kiongozi wa umma unapaswa kujua kwamba wewe sio mali yako tena, unageuka mali ya umma, watakuchambua kama karanga na ni lazima uwe mpole, uwe transparent. mambo ya pembenipembeni ndio basi tena, huna uhuru ila mambo machache tu, chumbani kwako (sio nyumba ndogo) na self contained yake ndio hatukuwekei darubini. Kwingineko kote wewe ulie tu. Kama hutaki kubanwa kaa pembeni.

Leka
 
na yeye hana adabu anaposema 70% ya watanzania tunafuata upepo..hana adabu kabisa
 
Back
Top Bottom