Watanzania hawawezi kuandika

Hiki ndio kinachowaaribu; grammar is 5% on academic.

Issues za msingi ni structure na research evidence; ambazo hakuna.

Watanzania tunadhani unaweza jiandikia mambo tu kutoka kichwani kwako.
Mkuu acha kujifichia kwenye vingereza. Wewe hujui kuandika. Asubuhi hii tukiwaita watu wasiojua kuandika Wewe pia usiache kuja
 
Uwezi❌️
Huwezi✅️
 

"Awawezi" ndiyo lugha gani? We mwenyewe angalia kama unajua kuandika😂
 
Believe kama nataka kujifanya mjuaji ningekuja kukurekebisha makosa yako ya uhasibu kwenye mada yako Aziz Ki

Zile sio hesabu za kihasibu kwenye football contracts; Iła saa zingine mtu unaona bora uache mambo ye jukwaa ambalo sio mchangiaji.
Tumia huu muda kujifunza kuandika, acha ligi ya kuandika wakati hujui kuandika. Wakati mwingine kabla ya kupost nipe kwanza kazi yako niipitie
 
Kanuni za uandishi bora,kwa kuzingatia Sarufi sanifu ya lugha ya Kiswahili ni changamoto.Wengine wanafanya makosa ya kisarufi,kwa sababu mbalimbali mosi ni kuathilika na lugha mama nk.

Hivyo basi pale unapo taka kuwa mhariri ni bora nawe pia uwe mjuzi au mahiri wa lugha,ili usifanye makosa yaleyale ambayo umeyabaini katika Kazi za wengine.
 
Siwezi kupoteza muda wangu kumjibu kila mtu.

Cha msingi ni kwamba watanzania awawezi kuandika kwa kusoma topić za stories of change.

Uwezi kuamka tu na kuandika report za upuuzi uliopo kichwani kwako, not bothering theoretical viewpoints. Such writing is just nonsense.

Wenye kununa wanune, wenye kutaka kunielewa wakasome sababu za malalamiko yangu baada ya kupitia nyuzi kadhaa kwenye jukwaa (stories of change) watu wengi mule awawezi kuandika.

To hell with your, As and H’s kama ndio kigezo cha uwezo kuandika mradi duku duku langu nimelitoa; mniseme mnavyotaka I don’t care.

👋

Talk to my hand
 
Uwezi ndio vitu gani
 
Weka mpira kwenye kwapa utoke uwanjani,hili game limeshakushinda tayari.
 
Kumbe na yeye ni walewale
 
Kwisha habari yako

Siku nyingine anzisha topic unazozimudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…