Watanzania hawawezi kuandika

Watanzania hawawezi kuandika

SIO awawezi ni hawawezi
Sio ❌
Siyo✔️

SIO awatambui ni hawatambui
Sio ❌
Siyo ✔️
SIO uwezi ni huwezi
Sio ❌
Siyo ✔️
SIO ata ni hata
Sio ❌
Siyo ✔️
SIO hovyo ni ovyo
Sio ❌
Siyo ✔️
SIO tuzo ni tunzo
Sio ❌
Siyo ✔️
Mie sio mzaha mzaha mjue
Sio ❌
Siye/si✔️
SIO awawezi ni hawawezi
Sio ❌
Siyo ✔️
Hiki ndio kinachowaaribu
Hiki ndio ❌
Hiki ndicho ✔️
 
AI,AI........AI!
It https://jamii.app/JFUserGuide everthing!
Stop primitivity!
Leap frog and adapt to new technology.
We have paradigm shift to AI.
Everthing you discuss
Above is primitive.
JF bado mnajadili vitu kiprimitive.
Jana nilikuwa naangalia makala yaKhan akihojiwa na mwandishi.
Mada ilikuwa inasema how AI wiWILL change education system( mfumo wa elimu wote utabadirika soon).
Tunatoka kwenye mtu tunaenda kwenye machine. Vitu vya kizamani kama mtu kujua kuandika makala havitakiwi kujadiliwa sasa bali mwaka jana.
Mada yako haina nafasi katika industrusl 4.o ambayo tayari imeisha anza kufanya kazi.
WOTE MNAOJADILI MDA YA MTU KUANDIKA MMEPITWA NA WAKATI, MPO OUT DATED.
Pamoja na elimu yote inayotolewa na wadau wa teknolijia bado mnatuletea mada za kizamani.
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba hawatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila hata kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Hili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi hawawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic wanazoandika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Heee
Kabisa.....harafu na halafu na alafu.....🙂
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba hawatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila hata kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Hili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi hawawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic wanazoandika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
Nimepata kamsemo...." Academic justification "🙂
 
Mkuu,hoja imeeleweka ila kwanza hatutaki lugha ya kiswahili ipotee,ndio maana tumeanza kwa kurekebisha uandishi wake kwanza.
Nakubaliana na hitimisho lako. Una shabaha njema.

Nitoe rai! Mnaoshiriki 'stories of change',Machapisho yenu ni 'pendekezo la mradi', jitahidini kuzingatia usahihi wa kimantiki. Hivyo ni vyema mzingatie uandishi wa kitaalamu.
Mko sawa! Tukubali kukusoana! Ni kweli dhima ya maandiko ya "stories of change" yamekaa kimuundo wa mradi.....tafadhari unaweza kutuwekea japo kimfano cha muundo!
Mdau anadai watu wasiandike toka "vichwani"....je wazo bunifu unaweza nakili toka andiko/tafiti nyingine( hiyo anayo ita literature riview?
Ubunifu ni wazo jipya ndani ya wazo la zamani! Hii inamaana kwa kile cha zamani mwandishi anapaswa aangalie
1-Changamoto
2- mapungufu na
3- Aje na mapendekezo yake ya maboresho( ambayo ndiyo yanaitwa a mtoa mada vitu toka vichwani!!!
 
Sio ❌
Siyo ✔️


Sio ❌
Siyo ✔️

Sio ❌
Siyo ✔️

Sio ❌
Siyo ✔️

Sio ❌
Siyo ✔️

Sio ❌
Siyo ✔️

Sio ❌
Siye ✔️

Sio ❌
Siyo ✔️

Hiki ndio ❌
Hiki ndicho ✔️
Pyeeeee kamfundishe BEBERU ntakuwekea TUKI hapa macho yakutoke Neno baada ya Neno usifikiri naokoteza km wewe yote ni sasa inategemea limetumika Wapi na Vipi

SIO na NDIO | NO & YES

Sitaki kukuaibisha km mwenzio

Nimekuheshimu sana unanikosoa au unajikosoa?
 
tuzo - award, reward (something purposely earned)

tunzo - provision, gift (something voluntary given to express one's gratefulnes)
Ni tunzo sio tuzo

Serengeti Music Awards
Kili Music Awards

Walikua wanatoa tunzo sio tuzo

Story of change winners wa JF walipewa tunzo sio tuzo
 
Ni tunzo sio tuzo

Serengeti Music Awards
Kili Music Awards

Walikua wanatoa tunzo sio tuzo

Story of change winners wa JF walipewa tunzo sio tuzo
Wanapewa tuzo pamoja na tunzo

tuzo n nrecognition na tunzo ni award
 
Ni tunzo sio tuzo

Serengeti Music Awards
Kili Music Awards

Walikua wanatoa tunzo sio tuzo

Story of change winners wa JF walipewa tunzo sio tuzo
Tunzo, hidaya, tuzo, zawadi, tunu, dafina, hodha (offer), hadia, nk ni maneno yanayoeleleana kimaana, ila zinatofautiana.
 
Moja kwa moja kwenye hoja yangu

Kipimo cha elimu ni uwezo wa kuwasilisha hoja kwa kuzingatia mtiririko wa wa ushahidi unaokubalika kwenye jumuiya ya wasomi duniani na kwa mpangilio sahihi.

Maana yake nini uwezi jiandikia tu upuuzi ambao uwezi uthibitisha nje ya uelewa wa dunia kuhusu hilo jambo (vinginevyo inabidi uandike paper iwe peer reviewed ili dunia iwe na uelewa mpya).

Shida ya wasomi wetu sio kwamba hawatambui hizo kanuni za uandishi (not just academically, ila hata kwenye magazeti) waandishi wetu hawana uwezo wa kufuata academic structure kwenye kujenga hoja, kuonyesha uelewa wao on the topic (that they have done research) na mwisho ni grammar (kwa Kiswahili hii ni shida ya kuweka H na A ni minor) that’s the job of the chief editor.

Hili lalamiko ni kutokana na kupitia jukwaa la stories of change’ mule ndani kwa sababu kuna academic assessment watu wengi hawawezi kuandika, hawaoni sababu ya ku-research topic wanazoandika. Waandishi wanadhani wapo entitled na opinion without academic justification; kwa kifupi ni kwamba ukisoma topic za mule the whole seems pathetic.

More than. 90% of the topic presented dont even meet even level 2 (writing skills). You can’t just things from on top of your head.
We mwenyewe ndio wale wale. Polisi kumwibia mwizi
 
Back
Top Bottom