Niliwahi kutumwa miche ya sabuni nipeleke kijijini kwa wazazi wa mshkaji mmoja. Nilichofanya niliiacha geto kwangu nikaenda mpaka bush nikanunua kwenye kiosk nikawapelekea.
Niliporudi wazazi wa mshkaji wakanituma debe la maharage, nikayaacha home kwetu nikaja mpaka dar nikamwitisha mshkaji kufika geto kwangu akamaindi kuona miche ya sabuni aliyonituma imelala geto, nikampeleka sokoni nikanunua debe la maharage nikamtwisha na kumwambia ni zawadi ya wazazi wake baada ya kuwapa miche ya sabuni uliyowatumia. AKAEREWA
Sijui na nyinyi MMENIEREWA? Sitaki ujinga kabisa