Watanzania, hususani wa Dar, tuache ulimbukeni wa kuagiza watu mizigo isiyo na tija watu wanaposafiri

Ha ha ha umetisha..ila mandondo ya kijijin na mjin mengine hapo tofauti
 
Nichukulie Machungwa Tanga Angalia Wasikupe Mabovu[emoji45][emoji45][emoji45][emoji45]
 

Acha ujinga wewe, Maisha yangu yote tangu nikiwa mtoto hadi leo over 30s sijawahi kushuhudia njaa wala kula milo miwili au mmoja. Tunavuna mwaka mzima, tena varieties za vitu. Zao pekee ambalo halistawi kwetu ni mpunga tuu kwa sababu ya hali ya hewa ya baridi na milimani... Mengineyo mazagazaga yote yamejaa tele, mahindi, maharage, karanga, viazi mviringo, vitamu, ngano, mihogo, ndizi aina zote, miwa, matunda aina zote, njegere na mengineyo, utajumlisha mwenyewe. Mifugo ndo usiseme imejaa. Sana sana kila mwaka lazima nishuhudie kuona watu wakija from other places kuja kuhemea kwetu. Acha dharau kama kitu hujui bora uulize. Asilimia 50 ya viazi vitamu kwetu ni chakula cha nguruwe na siyo binadamu.
 

Hujanielewa bado. Hakuna sehemu nimesema mimi mchoyo na wala sipeleki zawadi. Mimi ndiye ninayeamua nipeleke nini kwa muktadha wa sehemu ninayoenda. Kama kwetu hatulimi mpunga, nachofanya napiga safari yangu nikifika home kabla sijafika nyumbani kabisa nanunua mchele mjini napeleka home hapo ni kama 20 km. Watashukuru kwa sababu nimepeleka kitu ambacho kk mazingira yao hawana, na hata pale niliponunua kimeletwa from other place.

My point ni kwamba utabebaje mzigo mzito mwendo mrefu wakati hicho unachobeba kipo huko uendako? tumia akili
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuh wee jamaa ni noma sana ulisimplify
 
MI ndio maana nikiwa natoka mbeya naenda mkoani sitoi taarifa, maana utajuta. unaweza kuhisi genge linatembea
 
Leta mapera tule wacha porojo,bob..[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hata wa mikoani pia hua mnaagiza
 
Nilikuelewa vizuri tu nisome tena hàkuna sehemu nimesema wewe mchoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…