SawaPitia Tiktok yake mkuu
Ni mtu mkubwa mno
Kwakua anafanya content za sports kwenye nchi ambayo watu wake wanapenda content za mizagamuo usishangae hata hao followers wake wengi sio wa hapaWakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.
Huyu baba amewakosea nini?
Kwa nini sio wabongo? Kwa sisi hatupeni mpira?Contents zake zote anacheza mpira, mara adondoke nk. Hafu followers wengi sio Wabongo huyu.
Ana maroboti uyo. Nusu ya followers. Kuna huyu na jamaa mwingine anavaa kimasai hivi.Kwa nini sio wabongo? Kwa sisi hatupeni mpira?
Maroboti ndio nini ?Ana maroboti uyo. Nusu ya followers. Kuna huyu na jamaa mwingine anavaa kimasai hivi.
Weka ushahidi wa kujulikana na Ronaldo na MessiJamaa followers wake wengi ni watu wa mbele , jamaa yupo vyema Sana Hadi Ronaldo ma Messi wanamjua dogo katoboa , hao akina Leonardo ni waganga njaa tuu