Watanzania huyu mchekeshaji Zero Brainer anayeoongoza kwa followers wengi Tiktok amewakosea nini? Kwanini hamumzingatii?

Watanzania huyu mchekeshaji Zero Brainer anayeoongoza kwa followers wengi Tiktok amewakosea nini? Kwanini hamumzingatii?

Wakuu,

Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.

Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond


Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.

Huyu baba amewakosea nini?

Ubunifu wa kipekee👏👏👏👏
 
Kiufupi hao uliiwataja ni standup comedians, huyu hana hili wala lile yeye ni videos.
Ila kwa followers ana fake hadi likes. Sema mzuri sana mwamba kuangalia tu videos zake. Anasame content always. Hajulikani sana maana alifake followers from the very start. Yaani hayupo kama anavyojionyesha. Maana kwa ukubwa anaojionyesha mtandaoni. Ilipaswa awe ufaransa huko, italy au ana mabodyguard maana hela zake zisingekua kawaida.
 
Kiufupi hao uliiwataja ni standup comedians, huyu hana hili wala lile yeye ni videos.
Ila kwa followers ana fake hadi likes. Sema mzuri sana mwamba kuangalia tu videos zake. Anasame content always. Hajulikani sana maana alifake followers from the very start. Yaani hayupo kama anavyojionyesha. Maana kwa ukubwa anaojionyesha mtandaoni. Ilipaswa awe ufaransa huko, italy au ana mabodyguard maana hela zake zisingekua kawaida.
Huyu content zake hazilipwi!!
 
Wakuu,

Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.

Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond


Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.

Huyu baba amewakosea nini?

Followers wake sio wale wakupata kule kwenye live wakisema taptaptap mara follow follow +
 
Wakuu,

Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.

Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond


Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.

Huyu baba amewakosea nini?


Poa tumekusikia. Tutakuzingatia mtu wetu.
 
Ni suala la muda, atatoka tu
Mwambie asiende kuomba msaada kwa yule tapeli mkuu wa Arusha
 
Wabongo uchawi sana jamaa kafocus na followers wa mambele
 
Content zake ni za kibubu bubu.

Hatumii mdomo watu wamsikilize
 
Kiufupi hao uliiwataja ni standup comedians, huyu hana hili wala lile yeye ni videos.
Ila kwa followers ana fake hadi likes. Sema mzuri sana mwamba kuangalia tu videos zake. Anasame content always. Hajulikani sana maana alifake followers from the very start. Yaani hayupo kama anavyojionyesha. Maana kwa ukubwa anaojionyesha mtandaoni. Ilipaswa awe ufaransa huko, italy au ana mabodyguard maana hela zake zisingekua kawaida.
Tusaidie; unafanyaje hadi ku fake followers? Yaani uwe na followers 12M halafu fake, how do u do?
 
Wakuu,

Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.

Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond


Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.

Huyu baba amewakosea nini?

TIktok sijawah kuutumia huo mtandao...lkn anaonekana kabase kuchekesha watoto wadogo wa primary.
 
Back
Top Bottom