StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Ubunifu wa kipekee👏👏👏👏Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.
Huyu baba amewakosea nini?
Ronaldo anamjua sema Messi ndio sina uhakika kuna clip yake mbona Ronaldo alipost kitambo kidogoWeka ushahidi wa kujulikana na Ronaldo na Messi
Mimi na dada yakoMaroboti ndio nini ?
Huyu content zake hazilipwi!!Kiufupi hao uliiwataja ni standup comedians, huyu hana hili wala lile yeye ni videos.
Ila kwa followers ana fake hadi likes. Sema mzuri sana mwamba kuangalia tu videos zake. Anasame content always. Hajulikani sana maana alifake followers from the very start. Yaani hayupo kama anavyojionyesha. Maana kwa ukubwa anaojionyesha mtandaoni. Ilipaswa awe ufaransa huko, italy au ana mabodyguard maana hela zake zisingekua kawaida.
Followers wake sio wale wakupata kule kwenye live wakisema taptaptap mara follow follow +Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.
Huyu baba amewakosea nini?
Kuna akaunt zinakuaga sio za binadamu halisi,,,bali ni bots na hizi zimeongezeka sana baada ya kuja AIMaroboti ndio nini ?
Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.
Huyu baba amewakosea nini?
Unayumba JombiMimi na dada yako
Halafu zinajirudiarudiaContent zake sio rafiki kibongobongo.
Tusaidie; unafanyaje hadi ku fake followers? Yaani uwe na followers 12M halafu fake, how do u do?Kiufupi hao uliiwataja ni standup comedians, huyu hana hili wala lile yeye ni videos.
Ila kwa followers ana fake hadi likes. Sema mzuri sana mwamba kuangalia tu videos zake. Anasame content always. Hajulikani sana maana alifake followers from the very start. Yaani hayupo kama anavyojionyesha. Maana kwa ukubwa anaojionyesha mtandaoni. Ilipaswa awe ufaransa huko, italy au ana mabodyguard maana hela zake zisingekua kawaida.
Mimi piaMi nliona clips zake Facebook, nlijua sio mtanzania hadi juzi Kuna dogo kanambia ni Mtz
TIktok sijawah kuutumia huo mtandao...lkn anaonekana kabase kuchekesha watoto wadogo wa primary.Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia kina Leonardo, Ndaro na hao wakina Nanga.
Huyu baba amewakosea nini?