Watanzania inabidi tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza halafu vyama baadae

Watanzania inabidi tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza halafu vyama baadae

Th3the

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
1,327
Reaction score
1,779
Wakuu

Ipo siku sisi kama watanzania tutaruhusu nchi yetu iingie katika kipindi kigumu zaidi Cha kiutawala ambapo tutajikuta tumeruhusu kutawaliwa na mtu asie mtanzania halisi bila sisi kujijua kwa sababu tunaonekana hatuna uzalendo kabisa.

Imefikia wakati watu Wanapenda vyama kuliko kuipenda nchi yao, yaani ni Bora nchi iharibike kuliko vyama vyao kupotea.

Vyombo vya ulinzi na usalama vimegeukia kulinda watawala na kuwapa mamlaka makubwa pasipo kujali Wala kukumbuka jukumu la kuu la kulinda nchi na maslahi ya nchi.

Mihimili yote ya nchi( bunge na mahakama)imehodhiwa na kunajisiwa wa kikundi kidogo Cha watu wasio wazalendo, wasio angalia maslahi ya kizazi Cha sasa na kizazi kijacho Cha watanzania.

Matukio yanayoendelea sasa yanatisha sana na kufikirisha sana, democrasia inachezewa bila woga, utekaji Kila kukicha huku watu wakifungwa midomo wasipaze sauti zao.

Je kama watawala ambao ni watanzania wenzetu wanatufanyia hivi, je siku akiingia mtu asie mtanganyika itakuwaje? Au sisi kama watanzania kama hatuwezi kudhibiti watanzania wenzetu tuliowapata dhamana ya kiutawala, je huo utabiri ukitimia tutaweza kumdhibiti raia asiye mtanzania kututawala, kuiba Mali zetu?

Wito wangu kwa watanzania:
-inabidi tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza halafu vyama baadae.

-Vyombo vya ulinzi na usalama vielewe majukumu yake na wajibu wake wake, viache kubeba wanasiasa Wanao pita.

- Mihimili yote itambue wajibu wake na mipaka yake ili kutokurusu muingiliano wa majukumu.
 
Wakuu

Ipo siku sisi kama watanzania tutaruhusu nchi yetu iingie katika kipindi kigumu zaidi Cha kiutawala ambapo tutajikuta tumeruhusu kutawaliwa na mtu asie mtanzania halisi bila sisi kujijua kwa sababu tunaonekana hatuna uzalendo kabisa.

Imefikia wakati watu Wanapenda vyama kuliko kuipenda nchi yao, yaani ni Bora nchi iharibike kuliko vyama vyao kupotea.

Vyombo vya ulinzi na usalama vimegeukia kulinda watawala na kuwapa mamlaka makubwa pasipo kujali Wala kukumbuka jukumu la kuu la kulinda nchi na maslahi ya nchi.

Mihimili yote ya nchi( bunge na mahakama)imehodhiwa na kunajisiwa wa kikundi kidogo Cha watu wasio wazalendo, wasio angalia maslahi ya kizazi Cha sasa na kizazi kijacho Cha watanzania.

Matukio yanayoendelea sasa yanatisha sana na kufikirisha sana, democrasia inachezewa bila woga, utekaji Kila kukicha huku watu wakifungwa midomo wasipaze sauti zao.

Je kama watawala ambao ni watanzania wenzetu wanatufanyia hivi, je siku akiingia mtu asie mtanganyika itakuwaje? Au sisi kama watanzania kama hatuwezi kudhibiti watanzania wenzetu tuliowapata dhamana ya kiutawala, je huo utabiri ukitimia tutaweza kumdhibiti raia asiye mtanzania kututawala, kuiba Mali zetu?

Wito wangu kwa watanzania:
-inabidi tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza halafu vyama baadae.

-Vyombo vya ulinzi na usalama vielewe majukumu yake na wajibu wake wake, viache kubeba wanasiasa Wanao pita.

- Mihimili yote itambue wajibu wake na mipaka yake ili kutokurusu muingiliano wa majukumu.
Kwenye hicho chama hawez hata siku moja kupata nafas ya uongoz mtu ambae hana asili ya Tanzania, seuze kuteuliwa kugombea nafas ya uraisi. Chama kipo makini sana katika suala hilo, kwa hilo tu sifa na wapewe.
Ko kuhus mtawala yyt atae simamishw kugombea nafaa ya urais Ondoa hofu, hawezi akawa hana asili ya Tanzania.
 
Yani CCM wanakula nchi wewe kazi yako ni kuipenda tu?
Wanakula nchi huku tukiwa tumewaruhusu, inabidi CCM itoke kwa njia yoyote ile naana si salama kwa nchi
 
Kwenye hicho chama hawez hata siku moja kupata nafas ya uongoz mtu ambae hana asili ya Tanzania, seuze kuteuliwa kugombea nafas ya uraisi. Chama kipo makini sana katika suala hilo, kwa hilo tu sifa na wapewe.
Ko kuhus mtawala yyt atae simamishw kugombea nafaa ya urais Ondoa hofu, hawezi akawa hana asili ya Tanzania.
Wanatumia vigezo gani kujua kuwa huyu ni mtanzania au sio mtanzania.
Maana kwa mujibu wa waziri simbachawene aliwahi kunukuliwa akisema kuwa kitambulisho Cha nida pekee hakitoshi kukutambulisha kuwa wewe ni mtanzania.

Nipe vigezo vinavyotumika kufanya vetting na kujihakikishia kuwa huyu ni mtanzania.
 
Mbona Samia siyo Mtanzania na ni rais? Yule ni Mzanzibari taifa huru.
 
Wakuu

Ipo siku sisi kama watanzania tutaruhusu nchi yetu iingie katika kipindi kigumu zaidi Cha kiutawala ambapo tutajikuta tumeruhusu kutawaliwa na mtu asie mtanzania halisi bila sisi kujijua kwa sababu tunaonekana hatuna uzalendo kabisa.

Imefikia wakati watu Wanapenda vyama kuliko kuipenda nchi yao, yaani ni Bora nchi iharibike kuliko vyama vyao kupotea.

Vyombo vya ulinzi na usalama vimegeukia kulinda watawala na kuwapa mamlaka makubwa pasipo kujali Wala kukumbuka jukumu la kuu la kulinda nchi na maslahi ya nchi.

Mihimili yote ya nchi( bunge na mahakama)imehodhiwa na kunajisiwa wa kikundi kidogo Cha watu wasio wazalendo, wasio angalia maslahi ya kizazi Cha sasa na kizazi kijacho Cha watanzania.

Matukio yanayoendelea sasa yanatisha sana na kufikirisha sana, democrasia inachezewa bila woga, utekaji Kila kukicha huku watu wakifungwa midomo wasipaze sauti zao.

Je kama watawala ambao ni watanzania wenzetu wanatufanyia hivi, je siku akiingia mtu asie mtanganyika itakuwaje? Au sisi kama watanzania kama hatuwezi kudhibiti watanzania wenzetu tuliowapata dhamana ya kiutawala, je huo utabiri ukitimia tutaweza kumdhibiti raia asiye mtanzania kututawala, kuiba Mali zetu?

Wito wangu kwa watanzania:
-inabidi tuwe wazalendo tuipende nchi yetu kwanza halafu vyama baadae.

-Vyombo vya ulinzi na usalama vielewe majukumu yake na wajibu wake wake, viache kubeba wanasiasa Wanao pita.

- Mihimili yote itambue wajibu wake na mipaka yake ili kutokurusu muingiliano wa majukumu.
Tanzania tunaongozwa kwa tabia ya unyumbu wa kisiasa ,(kujizima data)

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana, kuahirisha kufikiri kwa nafsi, kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo

Tatizo hili linatokana na jamii yetu ya bora liende ambayo imeamua kukubali kuto zichakata fikra chanya na hasi toka kwa.wanasiasa na baadhi ya wasomi wetu walioamua pia kuahirisha kufikiri kizalendo

Pia jamii kushindwa kubuni mbinu zitakazo kabiliana na changamoto zilizopo na zitakazo kuja, kwa masilahi ya kizazi kilichopo na kijacho
 
Back
Top Bottom