Watanzania Joshua na Clemence walitekwa na Hamas au waliuawa na Hamas Oktoba 7?

Watanzania Joshua na Clemence walitekwa na Hamas au waliuawa na Hamas Oktoba 7?

Hamas waliongiq kuua. Hawakuingia na list ya majina na uraia wa watakaowaua maana hiyo nafasi hawakuwa nayo.
Hamas waliua wakatekodi na kushare hizo clips wanakopenda.

Kumbuka jeshi la IDF lilishtukizwa, hivyo hadi hiyo jumamosi mida ya saa 7 walikuwa hajaanza kurespond. Na bado hamas walikuwa wako scattered km 4o kutoka mpakani. Hivyo ni vigumu kupata taarifa zote kana kwamba zoezi lilikuwa ni straight. Hapo naamini bado wakireview footage za yale matukio kila soku mwaka mzima watakuwa wanapata mambo mapya. Huwezi kulaumu kwa nini wasingesema siku hiyohiyo.

No hayo tu.
 
walimuua huyu kijana kwa ukatili mkubwa sana hata baada ya kujieleza kwamba yeye sio muisrael, ni mtanzania mwanafunzi tu.
 
Hamas waliongiq kuua. Hawakuingia na list ya majina na uraia wa watakaowaua maana hiyo nafasi hawakuwa nayo.
Hamas waliua wakatekodi na kushare hizo clips wanakopenda.

Kumbuka jeshi la IDF lilishtukizwa, hivyo hadi hiyo jumamosi mida ya saa 7 walikuwa hajaanza kurespond. Na bado hamas walikuwa wako scattered km 4o kutoka mpakani. Hivyo ni vigumu kupata taarifa zote kana kwamba zoezi lilikuwa ni straight. Hapo naamini bado wakireview footage za yale matukio kila soku mwaka mzima watakuwa wanapata mambo mapya. Huwezi kulaumu kwa nini wasingesema siku hiyohiyo.

No hayo tu.
Taarifa ya mwanzo serikali kupitia taarifa ya Israel walisema wametekwa na Hamas hii ni taarifa ya oktoba.

Taarifa iliyofuata wizara ikasema Mtanzania mmoja joshua kauawa hii taarifa walipewa kwa ushirikiano na serikali ya Israel ila hatukujulishwa kauawa lini au wapi ? Hii ilitoka mwezi Novemba

Taarifa funga kazi ilitoka mwezi Desemba hii ya sasa ya kijana Clemence serikali kwa mashirikiano na Israel taarifa yao inasema aliuawa oktoba 07.

Kumbuka serikali ya Israel ilisema itashirikiana na wizara kuhakikisha mateka wa Kitanzania wanapatikana.

Hii miili inapatikana wapi sasa ?
 
Anza na comment no 11. Inafahamika kote duniani kuwa matumizi ya picha A aina hii hazifai kwa Public Consumption. Nani aliyezisambaza na kwa madhumuni gani?

Pili, nani alipiga picha hizi na wakati gani? Hamas walivamia Oct 7 alfajiri wakiwa na Camera na kupiga pucha hizi ili wapate nini?

Tatu, nani anaweza kusimama na kuthibitisha kuwa hizi picja ni za huyo kijana katika zama hizi ukuaji wa teknolojia (fikiri kuhusu AI).

Nne, kama ameuawa Oct 7, vipi taarifa na picha hizi zitolewe sasa wakati idadi ya mataifa yanauoiunga mkono Israel ikiongezeka kutokana na ukatili inaofanya kwa wanawake na watoto wa Gaza?

Tano, wakati tukiendelea kusambaza picha hizi, tunawafikiria ndugu na jamaa wa huyo anayedaiwa kuuawa?

Sita, kwanini familia na serikali wamekaa kimya bila kuongea chochote kuhusu taarifa hizi zinazosambaa?
Nafikiri tunawajibu wa kufikiri zaidi kuliko kutoa hukumu.
 
1. Inabidi tuwekwe sawa Watanzania wote vijana wetu walitekwa oktoba 07 au waliuawa oktoba 07
Siku ya tarehe 7 Oktoba ndipo Hamas walivamia Israel. Watu wote ambao hawakuonekana walikuwa designated hawajulikani walipo, huwezi sema wameuwawa wakati hujapata miili yao au huna evidence ya claim ya wao kuuwawa, huwezi sema wametekwa na Hamas haina claim ya kuwa nao.

Baadae ndio ukatokea ushahidi kuwa waliuwawa siku hiyo tarehe 7. Btw kutekwa na kuuwawa inawezekana kufanyika siku moja, au wapi uliambiwa kutekwa inabidi izidi 24 hrs?
2. Kama walitekwa oktoba 07 miili yao imepatikana wapi na imepatwa na nani ?
Kilichoonyeshwa kwenye video ya Joshua Mollel ni mauaji. Upatikanaji wa mwili wake na nani kaupata sijui.
3. Kama waliuawa oktoba saba kwa nini taarifa za mauaji yao hajikujumuhishwa na taarifa rasmi za wale wote waliouawa oktoba 07 ?
Kwa sababu waliouwawa Oktoba 7 wote hawajatajwa kumalizika. Hata jana Israel ilitoa update ya vifo vya tarehe 7 na idadi kuongezeka. Ikumbukwe lile halikuwa basi la abiria kwamba unafika unahesabu idadi ya vifo na majeruhi. Wale walikuwa watu wako kwenye shughuli zao wengine kwenye festival, wengine mashambani, wengine barabarani wanaendesha, wengine kazini, wengine majumbani wakavamiwa.

Kufanya compilation ya list sio kazi ya siku moja. Kuna waliotekwa na waliouwawa, huwezi wajua exactly kwa wakati mmoja. Mfano mtu katoka kwenda kwa girlfriend wake bila kuaga na akauwawa njiani mkoa mwingine, na gari lake limechomwa moto njiani. Huyu naye utataka taarifa yake siku ileile?
4. Kwa nini taarifa za vifo vya hawa Watanzania wawili zimekuja kimafungu mafungu moja mwezi Novemba nyengine mwezi Desemba ?
Kwa sababu mazingira ya vifo vyao na kuthibitisha vifo hayakufanana, hata wakati wanakufa hawakuwa wote. Na vilevile hili ni tukio la large scale limekumba tuseme mikoa kadhaa ya Israel.

Swali: Kwanini taarifa ya vifo vya mafuriko ya Hanang imekuja kwa mafungu mafungu?

Hata mpaka sasa bado kuna watu hawajulikani walipo, hawa hawaitwi mateka wala waliokufa. Mpaka pale ushahidi wa video ukitokea kwa Hamas kama Joshua Mollel ilivyokuwa (Hamas wanazo video nyingi za mauaji na utekaji na humo utambuzi hufanyika wakizituma), au mabaki ya marehemu yapatikane.

Kingine kinachotofautisha muda ni sera ya Israel. Israel hawatangazi kifo na jina la mtu kama familia yake haijapokea taarifa rasmi, hawana mambo ya kuongea public mwanafamilia akaona taarifa kwenye TV kama mtu baki. Vilevile hawatoi jina endapo familia itakataa jina lako litajwe.
5. Kwa nini wizara ilikili haifahamu mahali walipo hawa Watanzania wawili halafu baadae inakuja kutujulisha mmoja kauawa Oktoba 07 mwengine taarifa yake mpaka leo imekuwa kimya ?
Ulitaka wizara ifahamu walipo kwani ndio iliwateka?

Joshua Mollel aliuwawa tarehe 7 Oktoba, kama hutaki sema aliuwawa lini na utoe ushahidi. Kuna teknolojia ya kutambua video imekuwa recorded lini saa ngapi na location gani hata kama umefanya sharing mara ngapi. Hili ni suala la kijasusi na kiteknolojia zaidi. Ila hata bila ujasusi, wataalamu wanaweza track video iliyokuwa shared na kutuma mara nyingi mpaka kujua nani alirekodi.
Hapa bongo mara kadhaa jumbe za WhatsApp zenye mlengo wa kuchukiza kisiasa wanazitrack mpaka kumpata aliyerekodi na kumfungulia kesi inayotaja alirekodi tarehe gani sembuse uko ambapo teknolojia ni kubwa zaidi yetu?

Video ya Joshua Mollel ni ya tarehe 7 Oktoba. Kuhusu Mtega, haijaonekana clip ya Hamas kumhusu. Wapo wengi waliouwawa na kutekwa bila kurekodiwa.
6. Serikali imefanya uchunguzi wowote wa kitabibu kuhusu vifo vya hawa Watanzania wawili ? Na uthibitisho wake ulikuwa upi ?
Unajua mazingira ya kusababisha kufanyika kwa uchunguzi wa kitabibu au hata babu yako akifa kwa minyoo utataka serikali ifanye forensic investigation.

Ukienda bar ukachoma mtu kisu akafariki huku mwenzako anakurekodi. Ikionyeshwa video utataka uchunguzi kama huyo uliyemuua amegongwa na gari?
 
Siku ya tarehe 7 Oktoba ndipo Hamas walivamia Israel. Watu wote ambao hawakuonekana walikuwa designated hawajulikani walipo, huwezi sema wameuwawa wakati hujapata miili yao au huna evidence ya claim ya wao kuuwawa, huwezi sema wametekwa na Hamas haina claim ya kuwa nao.

Baadae ndio ukatokea ushahidi kuwa waliuwawa siku hiyo tarehe 7. Btw kutekwa na kuuwawa inawezekana kufanyika siku moja, au wapi uliambiwa kutekwa inabidi izidi 24 hrs?

Kilichoonyeshwa kwenye video ya Joshua Mollel ni mauaji. Upatikanaji wa mwili wake na nani kaupata sijui.

Kwa sababu waliouwawa Oktoba 7 wote hawajatajwa kumalizika. Hata jana Israel ilitoa update ya vifo vya tarehe 7 na idadi kuongezeka. Ikumbukwe lile halikuwa basi la abiria kwamba unafika unahesabu idadi ya vifo na majeruhi. Wale walikuwa watu wako kwenye shughuli zao wengine kwenye festival, wengine mashambani, wengine barabarani wanaendesha, wengine kazini, wengine majumbani wakavamiwa.

Kufanya compilation ya list sio kazi ya siku moja. Kuna waliotekwa na waliouwawa, huwezi wajua exactly kwa wakati mmoja. Mfano mtu katoka kwenda kwa girlfriend wake bila kuaga na akauwawa njiani mkoa mwingine, na gari lake limechomwa moto njiani. Huyu naye utataka taarifa yake siku ileile?

Kwa sababu mazingira ya vifo vyao na kuthibitisha vifo hayakufanana, hata wakati wanakufa hawakuwa wote. Na vilevile hili ni tukio la large scale limekumba tuseme mikoa kadhaa ya Israel.

Swali: Kwanini taarifa ya vifo vya mafuriko ya Hanang imekuja kwa mafungu mafungu?

Hata mpaka sasa bado kuna watu hawajulikani walipo, hawa hawaitwi mateka wala waliokufa. Mpaka pale ushahidi wa video ukitokea kwa Hamas kama Joshua Mollel ilivyokuwa (Hamas wanazo video nyingi za mauaji na utekaji na humo utambuzi hufanyika wakizituma), au mabaki ya marehemu yapatikane.

Kingine kinachotofautisha muda ni sera ya Israel. Israel hawatangazi kifo na jina la mtu kama familia yake haijapokea taarifa rasmi, hawana mambo ya kuongea public mwanafamilia akaona taarifa kwenye TV kama mtu baki. Vilevile hawatoi jina endapo familia itakataa jina lako litajwe.

Ulitaka wizara ifahamu walipo kwani ndio iliwateka?

Joshua Mollel aliuwawa tarehe 7 Oktoba, kama hutaki sema aliuwawa lini na utoe ushahidi. Kuna teknolojia ya kutambua video imekuwa recorded lini saa ngapi na location gani hata kama umefanya sharing mara ngapi. Hili ni suala la kijasusi na kiteknolojia zaidi. Ila hata bila ujasusi, wataalamu wanaweza track video iliyokuwa shared na kutuma mara nyingi mpaka kujua nani alirekodi.
Hapa bongo mara kadhaa jumbe za WhatsApp zenye mlengo wa kuchukiza kisiasa wanazitrack mpaka kumpata aliyerekodi na kumfungulia kesi inayotaja alirekodi tarehe gani sembuse uko ambapo teknolojia ni kubwa zaidi yetu?

Video ya Joshua Mollel ni ya tarehe 7 Oktoba. Kuhusu Mtega, haijaonekana clip ya Hamas kumhusu. Wapo wengi waliouwawa na kutekwa bila kurekodiwa.

Unajua mazingira ya kusababisha kufanyika kwa uchunguzi wa kitabibu au hata babu yako akifa kwa minyoo utataka serikali ifanye forensic investigation.

Ukienda bar ukachoma mtu kisu akafariki huku mwenzako anakurekodi. Ikionyeshwa video utataka uchunguzi kama huyo uliyemuua amegongwa na gari?
Twende kwa ufupi.

Taarifa ya mwanzo ya BBC Swahili niliyo ambatanisha umeisoma ?
 
Siku ya tarehe 7 Oktoba ndipo Hamas walivamia Israel. Watu wote ambao hawakuonekana walikuwa designated hawajulikani walipo, huwezi sema wameuwawa wakati hujapata miili yao au huna evidence ya claim ya wao kuuwawa, huwezi sema wametekwa na Hamas haina claim ya kuwa nao.

Baadae ndio ukatokea ushahidi kuwa waliuwawa siku hiyo tarehe 7. Btw kutekwa na kuuwawa inawezekana kufanyika siku moja, au wapi uliambiwa kutekwa inabidi izidi 24 hrs?

Kilichoonyeshwa kwenye video ya Joshua Mollel ni mauaji. Upatikanaji wa mwili wake na nani kaupata sijui.

Kwa sababu waliouwawa Oktoba 7 wote hawajatajwa kumalizika. Hata jana Israel ilitoa update ya vifo vya tarehe 7 na idadi kuongezeka. Ikumbukwe lile halikuwa basi la abiria kwamba unafika unahesabu idadi ya vifo na majeruhi. Wale walikuwa watu wako kwenye shughuli zao wengine kwenye festival, wengine mashambani, wengine barabarani wanaendesha, wengine kazini, wengine majumbani wakavamiwa.

Kufanya compilation ya list sio kazi ya siku moja. Kuna waliotekwa na waliouwawa, huwezi wajua exactly kwa wakati mmoja. Mfano mtu katoka kwenda kwa girlfriend wake bila kuaga na akauwawa njiani mkoa mwingine, na gari lake limechomwa moto njiani. Huyu naye utataka taarifa yake siku ileile?

Kwa sababu mazingira ya vifo vyao na kuthibitisha vifo hayakufanana, hata wakati wanakufa hawakuwa wote. Na vilevile hili ni tukio la large scale limekumba tuseme mikoa kadhaa ya Israel.

Swali: Kwanini taarifa ya vifo vya mafuriko ya Hanang imekuja kwa mafungu mafungu?

Hata mpaka sasa bado kuna watu hawajulikani walipo, hawa hawaitwi mateka wala waliokufa. Mpaka pale ushahidi wa video ukitokea kwa Hamas kama Joshua Mollel ilivyokuwa (Hamas wanazo video nyingi za mauaji na utekaji na humo utambuzi hufanyika wakizituma), au mabaki ya marehemu yapatikane.

Kingine kinachotofautisha muda ni sera ya Israel. Israel hawatangazi kifo na jina la mtu kama familia yake haijapokea taarifa rasmi, hawana mambo ya kuongea public mwanafamilia akaona taarifa kwenye TV kama mtu baki. Vilevile hawatoi jina endapo familia itakataa jina lako litajwe.

Ulitaka wizara ifahamu walipo kwani ndio iliwateka?

Joshua Mollel aliuwawa tarehe 7 Oktoba, kama hutaki sema aliuwawa lini na utoe ushahidi. Kuna teknolojia ya kutambua video imekuwa recorded lini saa ngapi na location gani hata kama umefanya sharing mara ngapi. Hili ni suala la kijasusi na kiteknolojia zaidi. Ila hata bila ujasusi, wataalamu wanaweza track video iliyokuwa shared na kutuma mara nyingi mpaka kujua nani alirekodi.
Hapa bongo mara kadhaa jumbe za WhatsApp zenye mlengo wa kuchukiza kisiasa wanazitrack mpaka kumpata aliyerekodi na kumfungulia kesi inayotaja alirekodi tarehe gani sembuse uko ambapo teknolojia ni kubwa zaidi yetu?

Video ya Joshua Mollel ni ya tarehe 7 Oktoba. Kuhusu Mtega, haijaonekana clip ya Hamas kumhusu. Wapo wengi waliouwawa na kutekwa bila kurekodiwa.

Unajua mazingira ya kusababisha kufanyika kwa uchunguzi wa kitabibu au hata babu yako akifa kwa minyoo utataka serikali ifanye forensic investigation.

Ukienda bar ukachoma mtu kisu akafariki huku mwenzako anakurekodi. Ikionyeshwa video utataka uchunguzi kama huyo uliyemuua amegongwa na gari?
Hivyo serikali haina jukumu lolote lile la kujiridhisha kwa yale waliotendewa watu wake ili ipate uhakika wa taarifa ?
 
Unajua maana ya haya maneno "wanaoaminika kushikiliwa" yaliyotumika na BBC.

Unajua tofauti ya kushikiliwa na kuaminika kushikiliwa?
Unaweza kunijulisha vizuri wewe unae fahamu. Nipo tayari

Kumbuka taarifa ya Israel kutoka BBC Swahili ilizidi kusema "Walitekwa nyara na magaidi wa Hamas na wanazuiliwa mateka huko Gaza," ujumbe huo ulisema. "Tafadhali ungana nasi kuwaombea warudi salama na mara moja."
 
Unajirisha na nini wakati unawaona Waarabu wamekwishataja Allahu akbar na kumuaa kafiri? Tena kwenye video?
Kwamba Waarabu, Allahu Akbar, Kafiri haya maneno yana kamilisha kila kitu ?
 
Unaweza kunijulisha vizuri wewe unae fahamu. Nipo tayari

Kumbuka taarifa ya Israel kutoka BBC Swahili ilizidi kusema "Walitekwa nyara na magaidi wa Hamas na wanazuiliwa mateka huko Gaza," ujumbe huo ulisema. "Tafadhali ungana nasi kuwaombea warudi salama na mara moja."
Huo ni mwendelezo wa pale wamesema "wanaoaminika kushikiliwa". Hujui maana ya haya maneno?

Kama waliaminika kushikiliwa na sio walithibitika kushikiliwa, kuwaombea anyhow sio jambo la ajabu.
 
Huo ni mwendelezo wa pale wamesema "wanaoaminika kushikiliwa". Hujui maana ya haya maneno?

Kama waliaminika kushikiliwa na sio walithibitika kushikiliwa, kuwaombea anyhow sio jambo la ajabu.
Au sio ?! mmmhhh
 
Shehe Ponda huwa anatetea watu wake pekee yaani yule ni mdini sn
sio tu mdini, ni gaidi, magaidi yooote yaliyopo Tanzania kwasasa hata hayo yaliyomo humu kwenye jf yanayofurahi kifo cha mtanzania, yametengenezwa na shehe ponda, huwa wanamwita yeye ni amir wao. yale ya kibiti, yale ya Tanga, mtwara na kila mahali yote yametengenezwa na Ponda.
 
sio tu mdini, ni gaidi, magaidi yooote yaliyopo Tanzania kwasasa hata hayo yaliyomo humu kwenye jf yanayofurahi kifo cha mtanzania, yametengenezwa na shehe ponda, huwa wanamwita yeye ni amir wao. yale ya kibiti, yale ya Tanga, mtwara na kila mahali yote yametengenezwa na Ponda.
Ngoja wenzao wanyooshwe kwanza
 
Back
Top Bottom