Habari JF,
Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?
Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?
Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?
Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?
Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?
Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?