Watanzania kama hatuwezi kuendesha Bandari ni kipi tunaweza? Huko CCM kuna shida gani?

Watanzania kama hatuwezi kuendesha Bandari ni kipi tunaweza? Huko CCM kuna shida gani?

ina maana Serikali ya CCM inataka shortcut, tuliwashauri kama wanataka complete shortcut basi tuwaite Waingeleza watutawale tena. Ni nini maana na Uhuru kama bandari tu inatushinda ndugu zangu?
 
Hii bandari hata kagame aliwahi kuomba kuiendesha, ndo ujue bongolala hawa wanaojiita watawala wana tatizo la msingi kwenye fikra.
 
Kudos Kagame... sio ntu wanchezonchezo na Ili kukazia akaja mwenyewe kusisitiza uharaka!! Sisi hamna kitu tunaeza fanikisha wenyewe kwa kiwango kutokana na ELIMU yetu ya hovyoooo!!
Sasahv mavi-ongozi wa elimu wanatisha walimu watoto wafaulu bila kutizama mchakato wa elimu yenyewe!!! Tutaenda kuwa na taifa la vijana wenyevyeti LAKINI wavivu,goigoi hata kufikiria tuu acha kazi na ubunifu...
Tz ni yakuhurumia sana tunadhani tutaendelea kwa kuchagua-chagua watu huku tukiifumbia ELIMU MACHO. Nonsense kabisa
 
Mbona unasema watanzania! Sema wanaCCM ili dawa iingie vizuri.
 
Hii bandari hata kagame aliwahi kuomba kuiendesha, ndo ujue bongolala hawa wanaojiita watawala wana tatizo la msingi kwenye fikra.
watanzania hatuko serious.
 
Hakika, huu ndio ukweli wenyewe
Kazi zote Tanzania pamoja na nafasi za uongozi zingepatikana kwa kupima uwezo wa watu tungeweza. Wewe jiulize huyo mkuu wa TPA ni nani?? Alipatikana kwa vigezo vipi? Kabla ya hapo alikuwa na uzoefu gani kwenye masuala ya bandari na uongozi??

Utaambiwa ooh sijui usalama wanafanya upekuzi na kupendeza watu, ni mfumo wa kijinga ambao ni rahisi kuuchezea. Hauwezi kupata watu sahihi bila kuwa na mchakato wa wazi na wa haki.

Hakuna miujiza, ukiwa na mfumo mbovu wa kugawana vyeo kwa fadhila na kupenyeza majina ya watu hauwezi kufika popote. Hata waliopo kwenye hizo nafasi hawana ujasiri wa kufanya lolote la maana kwasababu muda wowote fadhila inaweza kuondolewa.
 
CCM imejaa mazwazwa, machumia tumbo, malafi na manuka rushwa. Sidhani kama huko ccm kuna mtu msafi.
 
Kudos Kagame... sio ntu wanchezonchezo na Ili kukazia akaja mwenyewe kusisitiza uharaka!! Sisi hamna kitu tunaeza fanikisha wenyewe kwa kiwango kutokana na ELIMU yetu ya hovyoooo!!
mwanaume yule, si unaona anavyowanyorosa kule misitu ya goma, afu kila uchao yupo US kupoza soo.
 
CCM imejaa mazwazwa, machumia tumbo, malafi na manuka rushwa. Sidhani kama huko ccm kuna mtu msafi.
leo hadi mzee wa darasa la saba na yeye eti anatetea bandari iuzwe - mipovu kibao aiseee.
 
Walokole wanataka Bandari auziwe Mwizrael ili kelele zao ziishe.
 
Back
Top Bottom