toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Upuuz wa kiwango cha lami kudadekiWatu wanaifilisi nchi halafu wanajificha kwenye kivuli cha zile timu pacha za mitaa ya kariakoo na maujinga mengineyo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuz wa kiwango cha lami kudadekiWatu wanaifilisi nchi halafu wanajificha kwenye kivuli cha zile timu pacha za mitaa ya kariakoo na maujinga mengineyo!!
ha ha ha ha, unataka kuniambia msamaha wa kodi bwerereeWatu wanaifilisi nchi halafu wanajificha kwenye kivuli cha zile timu pacha za mitaa ya kariakoo na maujinga mengineyo!!
watanzania hatuko serious.Hii bandari hata kagame aliwahi kuomba kuiendesha, ndo ujue bongolala hawa wanaojiita watawala wana tatizo la msingi kwenye fikra.
Kazi zote Tanzania pamoja na nafasi za uongozi zingepatikana kwa kupima uwezo wa watu tungeweza. Wewe jiulize huyo mkuu wa TPA ni nani?? Alipatikana kwa vigezo vipi? Kabla ya hapo alikuwa na uzoefu gani kwenye masuala ya bandari na uongozi??
Utaambiwa ooh sijui usalama wanafanya upekuzi na kupendeza watu, ni mfumo wa kijinga ambao ni rahisi kuuchezea. Hauwezi kupata watu sahihi bila kuwa na mchakato wa wazi na wa haki.
Hakuna miujiza, ukiwa na mfumo mbovu wa kugawana vyeo kwa fadhila na kupenyeza majina ya watu hauwezi kufika popote. Hata waliopo kwenye hizo nafasi hawana ujasiri wa kufanya lolote la maana kwasababu muda wowote fadhila inaweza kuondolewa.
Wizi wapo vizuriKwani CCM ni kipi washawahi ku archive? Washawahi ku manage kipi wakafaulu?
WAzeya wa kitaa wanasema unakula mpaka mifupa 🤣🤣🤣🤣Wizi wapo vizuri
Wanaiba kura hadi rasilimali
Yeah unatafuna mpaka mahari.WAzeya wa kitaa wanasema unakula mpaka mifupa 🤣🤣🤣🤣
Bora tungeendelea kutawaliwa ?Hii bandari hata kagame aliwahi kuomba kuiendesha, ndo ujue bongolala hawa wanaojiita watawala wana tatizo la msingi kwenye fikra.
mwanaume yule, si unaona anavyowanyorosa kule misitu ya goma, afu kila uchao yupo US kupoza soo.Kudos Kagame... sio ntu wanchezonchezo na Ili kukazia akaja mwenyewe kusisitiza uharaka!! Sisi hamna kitu tunaeza fanikisha wenyewe kwa kiwango kutokana na ELIMU yetu ya hovyoooo!!
leo hadi mzee wa darasa la saba na yeye eti anatetea bandari iuzwe - mipovu kibao aiseee.CCM imejaa mazwazwa, machumia tumbo, malafi na manuka rushwa. Sidhani kama huko ccm kuna mtu msafi.
🤣🤣🤣mwanaume yule, si unaona anavyowanyorosa kule misitu ya goma, afu kila uchao yupo US kupoza soo.
Ajabuleo hadi mzee wa darasa la saba na yeye eti anatetea bandari iuzwe - mipovu kibao aiseee.
😆😆😆😆😆Wote ni wagonjwa wa akili. Matendo yao ni ushahidi tosha.