Kwani CCM ni kipi washawahi ku archive? Washawahi ku manage kipi wakafaulu?Habari Jf ,hivi watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata ,tutaweza kufanya kipi ?
Unahitaji Nguvu -Tanayo ya kutosha
Unahitaji Vifaa na mitambo/ mashine -Uwezo wa kununua tunao
Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo -Uwezo huo tunao
Wateja-wapo wa kutosha
Tunashindwa wapi kuendesha hii bandari ya Dar es Salaam?
je tuataweza endedha biashara ya ndege ?treni ,viwanda na nchi kwa ujumla ?
Kwamba hawajawahi fanya cha maana ?πππKwani CCM ni kipi washawahi ku archive? Washawahi ku manage kipi wakafaulu?
AiseeWote ni wagonjwa wa akili. Matendo yao ni ushahidi tosha.
Mkuu c ndio nimeomba reference za uendeshaji ambao wame achieve au kupiga hatua kubwa!!Kwamba hawajawahi fanya cha maana ?πππ
Hakuna hata kitu kimoja, yan hawawezi hata kitu kimoja, sijawah kuwadharau CCM kama kipindi hichi, alafu kwanini haya mambo yanafanywaga siri? Kwanini wasiwe wanatangaza na maspika ili watanzania wote wakisikia wajue linaloendelea wajue wafanyaje? Mbona kipindi cha kampeni kila kitu wanakisema hadharani, nimeyachukia sana majitu ya ccm na huu muungano ni hopeless kabisa bora tubaki wenyewe... HAPA BILA KATIBA MPYA HATUTOBOI...Kwani CCM ni kipi washawahi ku archive? Washawahi ku manage kipi wakafaulu?
Kamwe haiwezekan kuweka mikataba wazi maan kuna some interest humo, cz kama ni mikataba yenye maslahi kwa Taifa always wangekua wanaweka wazi!!Hakuna hata kitu kimoja, yan hawawezi hata kitu kimoja, sijawah kuwadharau CCM kama kipindi hichi, alafu kwanini haya mambo yanafanywaga siri? Kwanini wasiwe wanatangaza na maspika ili watanzania wote wakisikia wajue linaloendelea wajue wafanyaje? Mbona kipindi cha kampeni kila kitu wanakisema hadharani, nimeyachukia sana majitu ya ccm na huu muungano ni hopeless kabisa bora tubaki wenyewe... HAPA BILA KATIBA MPYA HATUTOBOI...
Now you're talking, wezi hawa viongozi... Mwanangu bila katiba mpya hatutoboi... Yan haiwezekaniKamwe haiwezekan kuweka mikataba wazi maan kuna some interest humo, cz kama ni mikataba yenye maslahi kwa Taifa always wangekua wanaweka wazi!!
Kama tumeshindwa kuiendesha na kuisimamia bandari yetu basi hakuna haja kuendelea kununua ndege za kibiashara. Nani atazisimamia?Habari JF,
Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?
Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?
Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?
DaaaWote ni wagonjwa wa akili. Matendo yao ni ushahidi tosha.
ππππKama tumeshindwa kuiendesha na kuisimamia bandari yetu basi hakuna haja kuendelea kununua ndege za kibiashara. Nani atazisimamia?
Mimi naona hata liinchi lote tulibinafsishe uarabuni.
Ni ukwel usiopingika! Hata wao wanajua that's why hawataki kusikia wimbo wa katiba mpya yaan ni chukizo kwao!! Ingawa hakuna kisicho na mwisho.Now you're talking, wezi hawa viongozi... Mwanangu bila katiba mpya hatutoboi... Yan haiwezekani
Kuendesha bandari kwa tija katika dunia ya sasa anahitajika mtu mwenye taaluma ya uchumi na uzoefu wa uendeshaji wa biashara za kimataifa.Habari JF,
Hivi Watanzania tunashindwa kuendesha kitu ambacho hakituhitaji tuweke mtaji tutengeneze au tuuze vitu kisha tufanye hesabu ya faida tuliyopata, tutaweza kufanya kipi?
Unahitaji nguvu, tunayo ya kutosha. Unahitaji Vifaa na mitambo/mashine, uwezo wa kununua tunao. Unahitaji uweke utaaribu wa kusafirisha na kupokea mizigo, uwezo huo tunao, wateja wapo wa kutosha, tunashindwa wapi kuendesha hii Bandari ya Dar es Salaam?
Je, tutaweza endesha biashara ya ndege, treni, viwanda na nchi kwa ujumla?
Yeah kweli aiseee daaahNi ukwel usiopingika! Hata wao wanajua that's why hawataki kusikia wimbo wa katiba mpya yaan ni chukizo kwao!! Ingawa hakuna kisicho na mwisho.
HakikaWatu wanaifilisi nchi halafu wanajificha kwenye kivuli cha zile timu pacha za mitaa ya kariakoo na maujinga mengineyo!!