Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ukamkuta wapi ?Wanasema ni heri kuamini kuna Mungu ambaye sijui asila yake kuliko kuto amini alafu ukamkuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukamkuta wapi ?Wanasema ni heri kuamini kuna Mungu ambaye sijui asila yake kuliko kuto amini alafu ukamkuta
Sawa nashukuru kwa kunishauri niendelee kuwa kundoo, swala la kwanini muumini unaitwa kondoo . Tunaamini ya kwamba pakiwepo kondoo lazima pawepo na mchungaji anaye waongoza kondoo kwenda pale wanapo weza kupata huduma muhimu,kama vile mahala pa kula kulala na sehemu salama pasipo kuliwa na wanyama wakali.Wewe kama umesomewa walaka na majitu yaliosomea elimu ya kuchezea akili za binadamu.huwezi kuwa na hoja chanya ya kuleta changamoto ya kuleta maendeleo.
Wewe endelea kua kondoo...inatosha.
Pia, jiulize kwanini muumini unaitwa kondoo?
Kondoo ni mnyama mjinga..kokote unakompeleka yeye anafuata tu bila ya kupinga.hivyo usitumbue we mkwama.Sawa nashukuru kwa kunishauri niendelee kuwa kundoo, swala la kwanini muumini unaitwa kondoo . Tunaamini ya kwamba pakiwepo kondoo lazima pawepo na mchungaji anaye waongoza kondoo kwenda pale wanapo weza kupata huduma muhimu,kama vile mahala pa kula kulala na sehemu salama pasipo kuliwa na wanyama wakali.
Naomba nijibu swali hili ili nijue kama unaweza kuelewa maana ya hofu ya Mungu na uzalendo.Uzalendo na hofu ya Mungu havikai pamoja.
Uzalendo ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Kuua wengine, kuibia nchi nyigine, kusema uongo kwa ajili ya taifa lako,
Vitu kama hivyo havifanywi na yeyote mwenye hofu ya Mungu.
Pasipokukujibu, nami naomba nikuulize. Je, dini ndiyo hofu ya Mungu?Naomba nijibu swali hili ili nijue kama unaweza kuelewa maana ya hofu ya Mungu na uzalendo.
Dini na siasa. je, vinapaswa kwenda pamoja ?
Nilikuwa sifahamu kama kuna wazaramo wanaitwa MkwamaKondoo ni mnyama mjinga..kokote unakompeleka yeye anafuata tu bila ya kupinga.hivyo usitumbue we mkwama.
Mzaramo wa wapi we mshamba.
Msingi wa imani ni dini,pasipo imani hakuna hofu ya Mungu. Je,kwani tunapoteuliwa kwa vyeo vya kisiasa tunashika biblia ama quran takatifu huku tukisema ee Mungu nisaidiePasipokukujibu, nami naomba nikuulize. Je, dini ndiyo hofu ya Mungu?
Jibu baki nalo. Swako lako umejijibu pia.
Unapaswa kutubu kwa kauli yako hii mkuuPasipokukujibu, nami naomba nikuulize. Je, dini ndiyo hofu ya Mungu?
Jibu baki nalo. Swako lako umejijibu pia.
Je,unaamini ni njaa mkuuPanapo njaa sahau hayo
Mimi siasa yangu nafanya kupitia sanduku la kupiga kura,tofauti na huko ni kusikiliza hoja za wanasiasa na kuja kufanya maamuzi kupitia sanduku la kura.Hakuna jazba hapa kusema hupendi siasa kwa mtu aliye balehe ni ujinga na upumbavu uliokomaa siihitaji kujazia zaidi, inatosha.
Vipi kuhusu hizi link.Uzalendo na hofu ya Mungu havikai pamoja.
Uzalendo ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yako. Kuua wengine, kuibia nchi nyigine, kusema uongo kwa ajili ya taifa lako,
Vitu kama hivyo havifanywi na yeyote mwenye hofu ya Mungu.
Inaondoa utuJe,unaamini ni njaa mkuu
Mkuu Emmanuel Mkwama , hili la uadilifu na uwajibikaji wa viongozi wa umma, niliisha shauri sana humu tangu kitambo mfano mzuri ni mabandiko haya matatuMkuu Pascal mayalla heshma yako,maoni yako ni yapi ili kuweza kutibu swala zima la uadilifu na kuwajibika kwa viongozi wa umma?
Kuhusu nini mkuuUmeandika nini hichi?