Watanzania matatizo yenu hayatamalizwa na Hayati Magufuli. Hatujadili tena mstakabili wa nchi yetu!

Acha kuaibisha walimu wenzako we kilaza
Mkiambiwa ukweli mnakimbilia matusi hamna hoja zaidi ya matusi

Tutazidi kufunua ukweli ili nyie wapumbavu ambao ndo mpo wengi muweze Kupata mwanga na msiishi kwa mazoea mnalalamika Maisha Magumu wakati nchi kaharibu Magufuli
 
Kwanza mada ya uzi huu ni kuondoa mijadala isiyosaidia nchi

Pili, wewe ni mwathilika wa utawala wa JPM kama siyo ulikuwa cheti feki, basi ulitumbuliwa na ama ulikuwa mnufaika wa watumishi hewa na ama fisadi

Magufuli waweza kumsema lakini si haya usemayo wewe! Umejaa chuki tupu
 
Ndio mmepambanaje? Tueleze.
 
Aisee, we jamaa unasikitisha. 😂
 
Mkiambiwa ukweli mnakimbilia matusi hamna hoja zaidi ya matusi

Tutazidi kufunua ukweli ili nyie wapumbavu ambao ndo mpo wengi muweze Kupata mwanga na msiishi kwa mazoea mnalalamika Maisha Magumu wakati nchi kaharibu Magufuli
Alieshauri walimu mpewe vishkwambi alaaniwe!
 
Ni kawaida kwa kiongozi aliyefia madarakani kuzungumziwa sana.

Hususan kama kiongozi mwenyewe alikuwa controversial.

Huyu ni rais aliyeongoza zaidi ya watu milioni sitini, kwa umwamba sana, akaleta mpasuko nchini.

Unataka asahaulike kama mbwa aliyekufa barabarani bila kujulikana kwao wapi?

Unawashangaa Watanzania, na mimi nakushangaa unavyowashangaa Watanzania.
 
Kwa kuwa ameongoza nchi vibaya, mnaonaje mkaacha kuzungumzia mana hakuleta faida.?
 
Mwisho wake ni nini?
 
Kwa kuwa ameongoza nchi vibaya, mnaonaje mkaacha kuzungumzia mana hakuleta faida.?
Hata viongozi walioongoza nchi vibaya wanazungumziwa, ili mabaya waliyoyafanya yajulikane, yakataliwe, yasirudiwe.

Ndiyo maana kila mwaka kuna vitabu vipya vinaandikwa, vya Hitler, vya Idi Amin.

Watu wajifunze.

Chuki yako dhidi ya Magufuli isikufanye ukoseshe watu nafasi ya kujifunza kutokana na maisha yake.

Kama humpendi Magufuli kwa sababu ya mabaya aliyoyafanya, chukua mazungumzo yoyote kuhusu Magufuli kama nafasi ya kumulika mabaya yake.

Usikataze watu kumuongelea.

That is censorship.

Ukikataza watu kumuongelea Magufuli na wewe utakuwa unaendeleza u Magufuli.

Utakuwa mfuasi wake ambaye hukumpenda kwa sababu hukuwa wewe kwenye kiti tu, lakini ulitamani kuwa kama yeye.

Let people talk maan, after all, kama hupendi mazungumzo hayo si unayaruka tu, kwani lazima uchangie kila mazungumzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…