Watanzania matatizo yenu hayatamalizwa na Hayati Magufuli. Hatujadili tena mstakabili wa nchi yetu!

Watanzania matatizo yenu hayatamalizwa na Hayati Magufuli. Hatujadili tena mstakabili wa nchi yetu!

Hiyo miradi uchwara bila kutumia Akili anakata miti mil200 na nchi inakosa mvua mabwawa yanakauka umeme unakatika kuchagua watu wapumbavu wenye low IQ lazima tusote mtu mjinga Kama Magufuli alikuwa hatumii Akili katika maamuzi alikuwa anatafuta umaarufu wa kijinga ndo maana sisi watu wenye Akili tuliwaambia huyu mjinga Hana mwendo ataingiza nchi katika Matatizo ya kiuchumi .
Unanini wewe! Umewahi kufanya nini juu ya nchi hii zaidi sana labda kuwa chawa!

Tunaongelea mambo mhimu, nchi inamadeni mengine yamewiva na hakuna pesa ya kuyalipa mpaka tukope tena ndo tulipe! Wewe unaongea tuu bila hata ushahidi wa madai yako
 
Hiyo miradi uchwara bila kutumia Akili anakata miti mil200 na nchi inakosa mvua mabwawa yanakauka umeme unakatika kuchagua watu wapumbavu wenye low IQ lazima tusote mtu mjinga Kama Magufuli alikuwa hatumii Akili katika maamuzi alikuwa anatafuta umaarufu wa kijinga ndo maana sisi watu wenye Akili tuliwaambia huyu mjinga Hana mwendo ataingiza nchi katika Matatizo ya kiuchumi .
Kwani tunategemea vyanzo vya maji pekee kwenye ku-generate umeme?

Huu mgao tulionao sasa hivi, katikati ya kipindi cha mvua za masika nchini, unasababishwa na nini?

Mpaka sasa mwaka wa pili; mmeshapanda miti mingapi ku-compensate hiyo million mbili iliyokatwa na Magufuli?
 
Ten good years start with a single beautiful day. It has been two years already. Tell us, in a nutshell; what have you guys done to lay a foundation for full economic revival at the end of the next eight years?

Mkuu nchi kujengwa upya is not about single day hapa ni Africa tunaishi kwa Mnyonyoro Sasa Magufuli kakata mnyonyoro wa uchumi vijana wasomi wenye Akili kawageuza wamekuwa wamachinga na wengine bodaboda

Nguvu Kazi ya watu smart upstairs wameishia kuwa bodaboda na Mama ntilie

Huku akiwaita wanyonge so tunabidi kutumia miaka kumi kujenga nchi upya huyu Magufuli hawezi kukumbukwa Hana Jambo la maana alilowafanyia Watanzania yaani eti msomi wa masters anakuwa muuza matunda ya kutembeza Upumbavu mtupu
 
Daah!

Sasa nashindwa namna ya kuelezea jinsi isivyo kawaida kwa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu Tanzania hayati John Pombe Magufuli!

Huyu alikuwa ni kiongozi wa aina gani?

Ni miaka miwili sasa bado hajatoka midomoni mwetu, tena kila uchwao jina lake linakuwa linavutia zaidi kwa watu kutoa hoja za kumhusu na kujadili kuhusu yeye iwe kwa mabaya ama kwa mazuri

Naona ni kama tumekwama na hatufanyi tena mijadala kuhusu ustawi wa nchi badala yake ni jina JPM!

Tuna matatizo mengi kiasi cha kuzidi hata wakati wa yeye akiwa Raisi, lakini ni kama hatuoni shida hizo!

Tuna matatizo ya chakula, mvua kutokunyesha kwa wakati, umeme kukatikatika na kama si kukosekana kabisa, tuna wafanya biashara wengi wameanguka kibiashara shida ikiwa ni TRA

Tunamadeni kama nchi na mengine yameiva na hatuna uwezo wa kuyalipa mpaka tukakope tena ndo tuyalipe!

Huduma mbovu kwenye sector za kiserikali, tunawatoto wako shule miaka saba lakini hawajui hata kuandika majina yao na wengine wako secondary lakini hawajui chochote

Tunaupungufu wa walimu, madaktari, manesi n.k

Kama nchi tutakabiliana vipi na njaa inayotokana na ukosefu wa mvua kwa mwaka huu, mifugo yetu itaishije kwenye ukame ujao, watu wetu vipi,

Badala ya kuongelea mambo ya mhimu, wasomi wetu ndio wanaongoza mijadala isiyo na tija

Sifahamu, labda ndio sehemu ya wao kufichia udhaifu wao?

Ni lini tutaacha mijadara ya kipuuzi na kuanza kudili na mambo mhimu ya maendeleo kwa nchi yetu?

Si wapinzani wala chama tawala! Wote tunakutanishwa hapa kumwongelea mtu asiyekuwa nasi!

Nchi za watu weusi iko siri iliyojificha ndani yetu ambapo kuijua kwake, ni hadi wazungu wahame kwenye hii sayari!
Hakika Umenena !!
 
This is Africa shithole country kuharibu it just simple kuliko ku-rebuild Magufuli ndo hayupo na kaacha Matatizo katika nchi yetu
Kaacha matatizo kwa hiyo yaendelee mpaka lini?

2 hayo matatizo unaweza kuyataja hapa ambayo hayawezi kubadilika kwa kipindi kifupi?
Mpaka yachukue miaka kumi?

Kwa kukusaidia tatizo moja kubwa ambalo huyo kiongozi wako alili liingia mwenyewe ni tozo
Hili lina umiz watu kwa kiwango kikubwa sana.
Fikilia kama tozo kila mwezi inakusanya bilioni thelasini na zaidi wakati hakuna vyanzo vipya vya kurudisha pesa mtaani unategemea nini?
Toka hizi tozo zilipopitishwa hali ya biashara ilibadilika ma kuwa mbaya mpaka leo.

Fikilia kwenye wilaya au kijiji kuna watumiaji wa simu wanaokatwa hizo tozo kila mwezi kisha hakuna mradi au wafanyakazi walio ongezwa na pesa yao inatoka kila mwezi unadhani hao watu watakuwa sawa?
Uchumi wa watu unaanguka kulingana na sera uliyopo kwa sasa.
 
Kwani tunategemea vyanzo vya maji pekee kwenye ku-generate umeme?

Huu mgao tulionao sasa hivi, katikati ya kipindi cha mvua za masika nchini, unasababishwa na nini?

Mpaka sasa mwaka wa pili; mmeshapanda miti mingapi ku-compensate hiyo million mbili iliyokatwa na Magufuli?
You don't suppose to blame someone else than Magufuli
 
Mkuu nchi kujengwa upya is not about single day hapa ni Africa tunaishi kwa Mnyonyoro Sasa Magufuli kakata mnyonyoro wa uchumi vijana wasomi wenye Akili kawageuza wamekuwa wamachinga na wengine bodaboda

Nguvu Kazi ya watu smart upstairs wameishia kuwa bodaboda na Mama ntilie

Huku akiwaita wanyonge so tunabidi kutumia miaka kumi kujenga nchi upya huyu Magufuli hawezi kukumbukwa Hana Jambo la maana alilowafanyia Watanzania yaani eti msomi wa masters anakuwa muuza matunda ya kutembeza Upumbavu mtupu
Kwanza; Magufuli hakuwa msomi wa Master's degree, alikuwa ni PhD holder.

Pili; hao vijana aliowaweka kwenye informal sector ya bodaboda, matching guys, mama ntilie, n.k. mmewakwamuaje?

Kama Magufuli hana jambo la maana alilotufanyia Watanzania, tuelezeni nyie kwa hii miaka miwili mmetufanyia nini cha maana tofauti na kutuibia.
 
Kaacha matatizo kwa hiyo yaendelee mpaka lini?

2 hayo matatizo unaweza kuyataja hapa ambayo hayawezi kubadilika kwa kipindi kifupi?
Mpaka yachukue miaka kumi?

Kwa kukusaidia tatizo moja kubwa ambalo huyo kiongozi wako alili liingia mwenyewe ni tozo
Hili lina umiz watu kwa kiwango kikubwa sana.
Fikilia kama tozo kila mwezi inakusanya bilioni thelasini na zaidi wakati hakuna vyanzo vipya vya kurudisha pesa mtaani unategemea nini?
Toka hizi tozo zilipopitishwa hali ya biashara ilibadilika ma kuwa mbaya mpaka leo.

Fikilia kwenye wilaya au kijiji kuna watumiaji wa simu wanaokatwa hizo tozo kila mwezi kisha hakuna mradi au wafanyakazi walio ongezwa na pesa yao inatoka kila mwezi unadhani hao watu watakuwa sawa?
Uchumi wa watu unaanguka kulingana na sera uliyopo kwa sasa.
Watu wanabidi kulipa Kodi ili Serikali ipate mapato tatizo la watu kushindwa kulipa Kodi limesababisha na ugumu wa Maisha na kuwa na ukosefu wa Ajira ambao kwa asilimia kubwa imesababishwa na Magufuli

Sera zake zote za viwanda hajajenga hata kiwanda kimoja
 
Kwanza; Magufuli hakuwa msomi wa Master's degree alikuwa ni PhD holder.

Pili; hao vijana aliowaweka kwenye informal sector ya bodaboda, matching guys, mama ntilie, n.k. mmewakwamuaje?

Kama Magufuli hana jambo la maana alilotufanyia Watanzania, tuelezeni nyie kwa hii miaka miwili mmetufanyia nini cha maana tofauti na kutuibia.
Atakwambia tatizo ni magufuli!
 
zile chanjo waliambiwa ni mbovu wakabisha,saiv zimeanza leta matatizo ya akili ndo hao wanatusumbia hapa jukwaan
 
Kwanza; Magufuli hakuwa msomi wa Master's degree, alikuwa ni PhD holder.

Pili; hao vijana aliowaweka kwenye informal sector ya bodaboda, matching guys, mama ntilie, n.k. mmewakwamuaje?

Kama Magufuli hana jambo la maana alilotufanyia Watanzania, tuelezeni nyie kwa hii miaka miwili mmetufanyia nini cha maana tofauti na kutuibia.
Mkuu huwezi kuwa na akili ya ubunifu ukakubali kuwatesa wananchi watoto wa masikini waliosoma kwa shida eti wawe bodaboda na Mama ntilie kwa makusudi mbona kikwete aliweza kuhakikisha vijana wanapata Ajira sectors binafsi na Serikalini Sasa hii Mika miwili Mama anapambana japo Hali mbaya maana Magufuli kaharibu kila kitu . Tunabidi kufunga mkanda Ni Kama tumetoka katika vita
 
Watu wanabidi kulipa Kodi ili Serikali ipate mapato tatizo la watu kushindwa kulipa Kodi limesababisha na ugumu wa Maisha na kuwa na ukosefu wa Ajira ambao kwa asilimia kubwa imesababishwa na Magufuli

Sera zake zote za viwanda hajajenga hata kiwanda kimoja
Unaishi Tanzania kweli wewe!

Nchi nzima ilianza kutumia nguzo za zege kwenye mtandao wa umeme! Kabla hakukuwa na hizo nguzo za zege

Badala yake tulikuwa tukionekana tunaagiza nguzo kutoka SA kumbe zinatoka mafinga tu pale

Tuanzie hapa tu kwanza, hivyo viwanda vya nguzo nani kazijenga chini ya utawala wake?
 
Why should we blame someone who is long gone instead of you, a bunch of helpless thieves!!?
Hakuna wizi serikalini ni Kwamba wanao lalamika ni watu wachache mliokuwa mnafaidika na mfumo wa kuishi kwa kuua watu na kutukana opponents wenu wa kisiasa na mkawa mnalipwa pesa za bure

Mtu makini anayetegemea jasho lake hawezi kumsifu Magufuli maana Kama nimesoma kwa shida then unanifanya kuwa Mama ntile maana lengo lako unataka kuniua kikakili na kimwil
 
Back
Top Bottom