Ngoja wakukule na trakoooMimi ni Mtanzania na Sii Chukii Kenya, Wakenya nawapenda sana.
Vitendo dhidi ya maneno mkuuWatz walishaacha izo mambo za kubandika stika za nchi zingine au hata kuvaa culture za nchi zingine, cku hz wanabandika na kuvaa culture za Tz tu, waliobaki ni wachache ambao wengi wao bado hawajitambui.
Nakupa home work tembea mijini na barabarani angalia stika au culture wanazovaa watz kwa ss zen njoo unipe mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine Tanzania ndio inaendeshwa na Wahindi na Waarabu lakini sio Kenya.Kitu kingine kinacho nikela wakenya mnasema mna uchumi mkubwa ukweli ni kwamba wanondesha Uchumi na nyanja zote kwa East Africa ni wahindi na waarabu watu weusi tuna long way to go hii ni kwa ichi zote Tz, Kenya & UG
Nitajie Top 5 billionaire ya hapo kenyaPengine Tanzania ndio inaendeshwa na Wahindi na Waarabu lakini sio Kenya.
Yah kama hv, yn cku hz kuvaa culture ya Tz ndo ujanja, kwakweli Watz tuko vzr kwa ss [emoji122][emoji122]Vitendo dhidi ya maneno mkuuView attachment 1663600
Ww tony huwezi kunifundisha mm kiswahili, huwa tunakichezea tunavyotaka na sisi ndio huwa tunaongeza misamiati mipya kwenye lugha yetu pendwa.Halafu neno "hujuagi" sio kiswahili sanifu.
Naona haya Majina kama sio ya kibantu.. Ina prove my theory hata Kenya wahindi bado wana control Uchumi
kuna mwingine nimemwona yuko mombasa,anajiita msanii wa bongo[emoji38][emoji38].Yah kama hv, yn cku hz kuvaa culture ya Tz ndo ujanja, kwakweli Watz tuko vzr kwa ss [emoji122][emoji122]
I an from Kilimanjaro, not a CCM and i hate Kenya with passion. Mnajikuta wajuaji sana. I have seen them in our office. Kiufupi nimeanza kuamini ni kweli mnataka kuua uchumi wetu. Its a sad story. Munajazana na kupeana mishahara mikubwa.Personally I have lot of friends and relatives within Arusha and Kilimanjaro sina chuki na Tz ila sema those few low IQ ccm sycophants ndio wamejaa na chuki dhidi ya Kenya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeongea kwa upole, mahindi ya ugali yameisha nini
[emoji23][emoji23][emoji23] wanajikuta viburi ila jiwe amewanyoosha. Simpendi jiwe ila alinifurahisha sana. Hawana hamu naye. Yaan wenyewe wakaanza kulegeza. Wanaleta usela eti. Spana zikaja mpk wakakimbia.actually fahari ni mmoja hapo.
na anafahamika,huyu mwingine ni fahari wa upepo.
Nam! Eti wewe umenza kuamini ni ukweli?I an from Kilimanjaro, not a CCM and i hate Kenya with passion. Mnajikuta wajuaji sana. I have seen them in our office. Kiufupi nimeanza kuamini ni kweli mnataka kuua uchumi wetu. Its a sad story. Munajazana na kupeana mishahara mikubwa.
Mami yako...Nam! Eti wewe umenza kuamini ni ukweli?
You a not sad, you a pathetic and who gave a **** wether you from kilimanjaro?
You are still a ndaganyiass lala.
Proves you not listening to caliphate speeches on people's tour around the country.
Pole sana Mami.I recommend u take some chill pillI an from Kilimanjaro, not a CCM and i hate Kenya with passion. Mnajikuta wajuaji sana. I have seen them in our office. Kiufupi nimeanza kuamini ni kweli mnataka kuua uchumi wetu. Its a sad story. Munajazana na kupeana mishahara mikubwa.
Nop. Am not taking. Everything has fallen back to its place mulivyotolewa. We are good now. Ujuaji ndo hugharimu kila kituPole sana Mami.I recommend u take some chill pill
Bora umepatikan wa kwenda nae SawaNop. Am not taking. Everything has fallen back to its place mulivyotolewa. We are good now. Ujuaji ndo hugharimu kila kitu
Hiyo takataka huwa tunaenda nayo sawa wala haina shida mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bora umepatikan wa kwenda nae Sawa
Huyo Mwanamke mwenzako ana mdomo mchafu sana sijaona humu [emoji23][emoji23][emoji23]