Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

Upendo ni tunda la hiyari..haliji kwa bahati mbaya na halipotei kwa bahati mbaya kuna kitu..
Ukilipoteza ni gharama kulirejesha ...
Watu wazima hawlazimishani kufuata staili ya maisha ila mmoja wao akiona staili ya mwenzake inamfaa ataifuata hata pasi na mivutano.
Unapomchokoza mwenzako akikasirika unaita majirani na wengine kuwa fulani amenitusi au kufanya vile bila kutathmin kwa nn mwenzako kajibu vile.
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.

Tatızo mna dharau ,majıvuno sana na kuona wenzenu sıo kıtu......na mnachukı na wıvu wa kutotaka Kuona Tz tukıendelea .....
 
Kwa kıfupı watanzanıa tuna upendo sana......Kenya hata ukıtaka kumuulıza mtu akuelekeze mahalı atakujıbu kwanı hapa nı kwa polıce??
 
Yaani miaka nenda miaka rudi unapata mwanaume na midevu yake hadi mgongoni anacheka cheka tu huku amejawa na chuki. Tena chuki za ovyo ovyo kupindukia. Wakenya huwa hatuishi kinafik hivyo. Inafaa wapange 'friendly' pale Namanga OSBP, au hata Sirari, ngumi na teke zitembezwe kutoka saa 5 hadi saa 6 usiku wa tarehe 31 Desemba 2020. [emoji1] Baada ya hapo watu wajiburudishe na kinachowafurahisha, kilevi, majani au my favourite, pussy! [emoji38] Kuelekea mwaka mpya watu washike adabu zao, wachape kazi na waache mambo ya kitoto. Live in the solution not in the problem, just like pingli-nywee . 😎 That now is the Kenyan way.
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.


Kwasababu ya ukabila wenu.
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Kwanza hamchukiwi na Watanzania. Hatutaki ku deal na watu wenye sifa na dharau basi. Mkijirekebisha Watanzania watawakaribisha bila tatizo. Pia ukiangalia vizuri Wakenya wanawafuatilia Watanzania zaidi na sijawahi kujua kwanini.
 
Hapana mkuu Kenya ndiyo mnaichukia Tanzania! Kwanza mnaleta ushindani kwenye mambo ya kipuuzi tu halafu huwa mnajisifia kwenye vitu ambavyo wala siyo vya msingi!
 
Watanzania wakikupenda au wakuchukie wewe Mkenya utapata hasara au faida gani ???
Watu ambao wako nje ya mipaka yako, tena hata huwajui kwanini wakukoseshe raha ???

Kenya na Tanzania ni majirani na wanashirikiana kwenye mambo mengi, hivyo tuseme haya yanatosha sana.
Hayo mengine ya kupendana au kuchukiana nadhani ni mtazamo wako wewe binafsi ambao hauna kichwa wala miguu.
 
Nyie mnapigwa na wake zenu,si ni kesi hii mnatutafutia!
 
Mkuu habari za siku
Umepotea sana
 
Hivi wewe leo umekula na kushiba??, njaa huko kwenu ni daily routine, mbaya zaidi ni pale njaa inapohamia kichwani kutoka tumboni.
Huyo ni Mtanzania mwenzako wacha kumbatiza Ukenya.
 
Folks.
Learn to differentiate types of ndaganyiass.The list is long add where necessary;

1.CCM miscreant.
2.CCM juhajithi.
3.CCM kack sucker's.
4.CCM Omba entrepreneur.
5.CCM Green cloth swampers or Bitch.
6.CCM Die-herders.

Etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…