Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

You are one of the millions who go hungry everyday, pole sana.

Next time Unapokuja hapa uje ukiwa umeshiba kwanza kwani hujui mtu ukiwa na njaa akili hupungua?!!.----- domo lako chafu kwa matusi kama kinyeo cha nguruwe.
What do u expect from a shitty brain.Mtu amezoea kula kinyesi.Je umeshapata kiamsha kinyesi???
 
Muanzisha mada yupo hapo manzese mwalimu wa sekondari inglishi Midiam..anajifanya mjita aonekane mtanzania...anaamka na sis analala na sis..magu kamkaba basi hasira zoote anamalizia jamiiforum...tumpuuze
Hahaha. Eti mimi ni mwalimu wa Inglishi hapo Manzese secondary?
 
Polisi wa Kenya wapo hivyo hata kwa Wakenya wa kawaida. Wao wanapenda hongo. Hawakukukamata kwa sababu wewe ni Mtanzania. Walikukamata kwa sababu walikuwa wanataka hongo.
 
What do u expect from a shitty brain.Mtu amezoea kula kinyesi.Je umeshapata kiamsha kinyesi???


Mtu gani huyo amezoea kula kinyesi???, au ni wewe unayekula kinyesi kwa kukosa chakula???

It is obvious the one who goes without food is the one who eats kinyesi. Poleni sana citizens of Njaaland.
 
Sababu wakenya wengi wanapanda sana sifa na kujifanya wanakijua kiingereza kuliko hata malkia Elizabeth mwenye lugha yake.
 
Sorry to say this but many Tanzanians here seems to have zero exposure,negligible education and are very ignorant na bado wanapiga kelele!!!
Sasa hapa ndio tuseme nani ana Chuki na Mwenzie? Mkenya au Mtz, Lack of Exposure for a Tanzanian then how is it your business as a Kenyan ?
 
ukute hapo na wewe unahisi unajiweza kichwani [emoji3][emoji3][emoji3]
 
The cazer of the infamous geza kiti-mtu meat processing plant in subawanga has been taken ill to an disclosed chumba(house made of mud) normally owned by witch hunters.
 
Mtu gani huyo amezoea kula kinyesi???, au ni wewe unayekula kinyesi kwa kukosa chakula???

It is obvious the one who goes without food is the one who eats kinyesi. Poleni sana citizens of Njaaland.
U are full shit.Just go and shit bro
 
Wewe una wivu na Kenya maana unajua fika kwamba Kenya inaicharaza TZ kwenye uchumi bila huruma.
Kama uchumi wa nchi upo juu na wa watu upo chini kuna faida gani[emoji2210][emoji2210][emoji2210]maana ukilinganisha kwetu na kwenu slum dwellers kwenu wapo wng sana kuliko kwetu
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Ina maana na nyie mmeishakua Mabeberu mpaka tuwachukie?
 
Amefanya kukujibu tu swali lako ulilomuuliza.....
 
Kenyans are too proud jishusheni kidogo ili mpate kukubalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…