Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

You are one of the millions who go hungry everyday, pole sana.

Next time Unapokuja hapa uje ukiwa umeshiba kwanza kwani hujui mtu ukiwa na njaa akili hupungua?!!.----- domo lako chafu kwa matusi kama kinyeo cha nguruwe.
What do u expect from a shitty brain.Mtu amezoea kula kinyesi.Je umeshapata kiamsha kinyesi???
 
Muanzisha mada yupo hapo manzese mwalimu wa sekondari inglishi Midiam..anajifanya mjita aonekane mtanzania...anaamka na sis analala na sis..magu kamkaba basi hasira zoote anamalizia jamiiforum...tumpuuze
Hahaha. Eti mimi ni mwalimu wa Inglishi hapo Manzese secondary?
 
Usiwafiche mkuu. Ni kweli watanzania tunawachukia sana wakenya na sababu kuu ni tabia zao za kipumbavu. Wanavobaguana kwa makabila yao ndiyo wanatubagua pia na sisi. Wanabagua bidhaa zetu hasa bidhaa za madukani. Ukikutwa na bidhaa ya Tanzania dukani kwako umefilisiwa.

Magufuri hakuanza kuwazibia risiki kwa maksud bali analipa ubaya wanaotufanyia. Iko siku moja niko baa na bapa (konyagi) langu wakaja askari na kunikamata na wakanilaza mahabusu kwa kosa la kupatikana na bidhaa ya Tz nchini kenya. Nilijitetea kuwa konyagi hiyo nilikuwa nayo 1 na niliinywa Tz ikabakia nusu nikaingia nayo kenya ikiwa nusu lakini wajinga hawakunielewa. Keaho yake wakanivuta elfu5 kenyan money. Wajinga sana hao.

Pia wanatuchukia kwa kuzuia madini yetu yasiingie nchini mwao kinyamela. Mali yetu kuilinda wao wanachukia. Wametuibia sana hao nyang'au.
Polisi wa Kenya wapo hivyo hata kwa Wakenya wa kawaida. Wao wanapenda hongo. Hawakukukamata kwa sababu wewe ni Mtanzania. Walikukamata kwa sababu walikuwa wanataka hongo.
 
What do u expect from a shitty brain.Mtu amezoea kula kinyesi.Je umeshapata kiamsha kinyesi???


Mtu gani huyo amezoea kula kinyesi???, au ni wewe unayekula kinyesi kwa kukosa chakula???

It is obvious the one who goes without food is the one who eats kinyesi. Poleni sana citizens of Njaaland.
 
Sababu wakenya wengi wanapanda sana sifa na kujifanya wanakijua kiingereza kuliko hata malkia Elizabeth mwenye lugha yake.
 
Sorry to say this but many Tanzanians here seems to have zero exposure,negligible education and are very ignorant na bado wanapiga kelele!!!
Sasa hapa ndio tuseme nani ana Chuki na Mwenzie? Mkenya au Mtz, Lack of Exposure for a Tanzanian then how is it your business as a Kenyan ?
 
Siichukii Kenya kabisa

Kenya,Ghana na South Africa are all the nations Tanzanians really want to be ila ndio hatuwezi so far sababu ya vichaa tulio nao kwenye uongozi

Sababu ya hilo nadhani maCCM roho inawauma mpaka wanakua na resentment

Kitu kingine eleweni,wanaoichukia Kenya ni maCCM pekee yake,na wala sio Watanzania wote

Ni maCCM tu
ukute hapo na wewe unahisi unajiweza kichwani [emoji3][emoji3][emoji3]
 
The cazer of the infamous geza kiti-mtu meat processing plant in subawanga has been taken ill to an disclosed chumba(house made of mud) normally owned by witch hunters.
 
Mtu gani huyo amezoea kula kinyesi???, au ni wewe unayekula kinyesi kwa kukosa chakula???

It is obvious the one who goes without food is the one who eats kinyesi. Poleni sana citizens of Njaaland.
U are full shit.Just go and shit bro
Screenshot_20201018-151827_1603186959605.jpg
 
Wewe una wivu na Kenya maana unajua fika kwamba Kenya inaicharaza TZ kwenye uchumi bila huruma.
Kama uchumi wa nchi upo juu na wa watu upo chini kuna faida gani[emoji2210][emoji2210][emoji2210]maana ukilinganisha kwetu na kwenu slum dwellers kwenu wapo wng sana kuliko kwetu
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Ina maana na nyie mmeishakua Mabeberu mpaka tuwachukie?
 
Lakini hapa tunafanya mjadala tu. Sasa wewe unasoma comment ya mtu kisha unakasirika. Kwenye huu uzi kuna Watanzania wengi wameongea matope kuhusu Kenya lakini sijakasirika. Kila mtu ana maoni yake. Mimi yangu ni kuwa hamna haja ya uhasimu kati ya nchi hizi mbili. Take it easy na uwache kuwa na mafeelings. This is just a discussion, don't take it personally.
Amefanya kukujibu tu swali lako ulilomuuliza.....
 
Ngoja nianze Mombasa hataki kuitwa kenya yaani anataka ajitenge kabisa na kenya. Wenyewe wa nakwambia pwani si kenya..... Naendelea. Kenya imefukuzwa Somalia na wasomali wameweka vikosi vya jeshi mpakani. Kenya ina ugomvi na uganda wanagombea visiwa na sasa hivi wanagombea biashara ya maziwa. Wakenya wamefukuzwa South Sudan . Ndege ya Kenya imetunguliwa huko Ethiopia. Hawa wote niliowataja ni jirani zako wamekuzunguka. Malizana na hawa kwanza then urudi kwa Tanzania. Pia kumbuka hapo uarabuni UAE Mkenya hatakiwi kabisa kupewa visa. Ukinipa haya majibu halafu niambie Tanzania kagombana na jirani gani. Tatizo lenu una ujuaji wa kijinga na wa shamba
Kenyans are too proud jishusheni kidogo ili mpate kukubalika
 
Back
Top Bottom