Mjue km akina nani, mbna ya yule mhindi wa voda hamkuomba muwekewe hapa JF.leta CV yake acha upuuzi ...tujue ana skills gan rare hapa Tz ?
LOLacha umama, Coca-cola kwanza ipo chini ya CCBA (Cocacola Bevarage Africa) makao yake makuu yapo SA ambao wanamilikiwa na Coca-cola wenyewe from Atlanta USA, CCBA inamatawi mengi sana across Africa ikiwemo NBL na nyinginezo hapo kwenu, na zote zinareport SA sio Nairobi . Wengine wote wanao produce coca hao tunawaita bottlers ambao wananunua tu patent rights za production, huku kwetu kuna Bonite bottlers na Nyanza bottlers, hawa hawana HQ nchi yoyote yani ni franchisers tu. Sasa usijishebedue eti nyie ndo HQ, mxiuuu.
Hapo kwenu Kenya,Bob collymore,aliyekuwa CEO wa safaricom alikuwa Mkenya?Alipokufa,Mzungu akachukua nafasi,Tanzanians have no capacity to run such organisation
Uhamiaji unasimamiwa na JMT sio SMZ.Kwa nini usilifungue mada kadhaa kuhusu hilo, wasaidizi wa Rais H. Mwinyi wataupata ujumbe. Kumbuka wakati ameteuliwa kuwa mgombea alisema amejifunza jinsi ya kuongoza kwa kumuona Rais Magufuli anavyofanya, na kwa jinsi nilivyomuona akifuatilia mambo, ni dhahri alimaanisha.
Tanzania is one of the poorest countries on the face of the planet.... be humble.
Kwa taarifa yako HQ ya kampuni ya Coca Cola ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya Kati ipo jijini Nairobi.
Issue sio wivu, leta CV hapa ili nasisi tujue kama hii gov ilimuinea au laMjue km akina nani, mbna ya yule mhindi wa voda hamkuomba muwekewe hapa jf..
Yani mnaonyeshe wivu mchana kweupe kabisa[emoji23][emoji23]tena wakijinga..si heri uwe na wivu wa kike tu
Usitupangie sisi ni nchi huru. Mnatuletea majasusi wa kuuwa makampuni yetu kama mlivyomleta kioko akaja kuuwa precisionair, hatukubali.Inapaswa itolewe tamko rasmi kutokea kwa serikali kwamba Wakenya hawaruhusiwi tena kusimamia hayo makampuni
Mbna ya yule mhindi hamkuulizia CV[emoji23][emoji23][emoji23]Issue sio wivu, leta CV hapa ili nasisi tujue kama hii gov ilimuinea au la
Kazi za tanzania tena unajiskia we mwehu, unajua maana ya kamnpuni ya kimataifa au unafikiria hyo ni ATCL[emoji23][emoji23]Sasa kama HQ ipo huko mnalilia nini kuja TZ.. Mnataka HQ iwe Kenya na kazi za TZ wafanye wakenya? Waambie hayo makampuni they may as well move the plant huko kama hawawezi kufuata taratibu zetu, it's that simple.
Kenya Blacklisted in Dubai's Traveller List
The statement also pointed out 11 other countries that had been affected by this decision.www.kenyans.co.ke
Jiwe na genge lake wana xenophobia kali sana dhidi ya wakenya. Hadi imefikia hatua ya kuzipangia kampuni za kibinafsi, tena za kimataifa, kuhusu masuala ya uteuzi wa waajiriwa wao. Ila nilijifunza kutoka kwa ile sakata ya Vodacom na mkenya Sylvia Mulinge kwamba kwa Tz ya sasa ni baraka kubwa sana kwa wanaonyimwa vibali baada ya kuteuliwa. Maanake mmisri aliyechukua nafasi hiyo Vodacom alifunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi muda mfupi tu baada ya kuanza kazi. Alafu baadaye tena Vodacom wakajipata matatani walipohusishwa na mikakati ya CCM ya kuinyanyasa upinzani kabla na wakati wa uchaguzi. Mwisho wa siku chuki zao zinawaumiza wao wenyewe, sio wakenya. Kwasababu maamuzi yao ya kibaguzi yanawatia hofu wawekezaji na kampuni kama hizo za kimataifa na yanashusha 'investor confidence' kwa nchi ya Tz.
Do you even know how to write a CV.?
endeleeni na hiyo attitude, and you will always remain Poor.
umeitishwa CV unaanza upolisi.
weka CV hapa ili apewe kazi mukuze uchumi[emoji23][emoji23][emoji23].
Shida utapata kuwa mwenye anaitisha CV hajui hata venye structure ya CV enyewe inafaa ifanane
Kazi za tanzania tena unajiskia we mwehu, unajua maana ya kamnpuni ya kimataifa au unafikiria hyo ni ATCL[emoji23][emoji23]
Akili za kibongo ndivyo zilivyo hata sikulaumu[emoji23][emoji23][emoji23]Ndo tushagoma sasa hata mlie vipi [emoji1787] hawataki wanaweza ondoa it's that simple. Hii ndo TZ hatunyenyekei mizungu or anyone in that matter. Mliona tulivyofanya KQ hadi mkaomba poo, coca cola and the likes will receive the same treatment. Endelea kupiga kelele hapa uone kama tutalegeza [emoji1787]
Mama yupo na dili zake yule wala sio mpiga ramli km wamama zenu hko tzhuu ujuaji ndio ulifanya dada yenu akarudi kulea watoto.
unawezakuta aliitishwa akajibu vodacom ndio wa kusema.
Mama yupo na dili zake yule wala sio mpiga ramli km wamama zenu hko tz