Tuache na usingizi wetu...hatuongei sana muda ndio msema kweli.Mkuu wa Kenya unajichosha tu bure Watanzania akili zao zimelazwa.. hadi watakapoamka ni sleeping giant... yaani kama uneishi sana Tanzania akili hubaki nziiii ila ukisafisha macho nje ya nchi ndio utatambua kuishi Tanzania ni sawa na kuishi chooni tu kila kitu ni hovyo... East Africa nimetembea Kenya na Uganda safi japo wao hawajaridhika big up kwa majirani zetu. .. Tanzania ni hovyo kabisa
Sisi tunajenga ya kisasa zaidi sio huo uchafu WA 60's.Naona kwenye video hii hapa chini kwamba hakuna usafiri kabisa wa treni kutoka Dar kwenda mikoani, sasa kila siku mnaanzisha nyuzi JF za jinsi mnazindua reli za SGR kila mahali, ingekua poa muhakikishe na hii iliyopo inahudumia kwanza.
Muwekeze kwenye madaraja ya juu kama Kenya
Daraja za Kenya
Mkuu wa Kenya unajichosha tu bure Watanzania akili zao zimelazwa.. hadi watakapoamka ni sleeping giant... yaani kama uneishi sana Tanzania akili hubaki nziiii ila ukisafisha macho nje ya nchi ndio utatambua kuishi Tanzania ni sawa na kuishi chooni tu kila kitu ni hovyo... East Africa nimetembea Kenya na Uganda safi japo wao hawajaridhika big up kwa majirani zetu. .. Tanzania ni hovyo kabisa
Ukisikia Tanzania inakua kwa kasi kiuchumi bhasi ujue tumekodi foreigners toka nje ili wauendeshe uchumi wetu ...Mkuu wa Kenya unajichosha tu bure Watanzania akili zao zimelazwa.. hadi watakapoamka ni sleeping giant... yaani kama uneishi sana Tanzania akili hubaki nziiii ila ukisafisha macho nje ya nchi ndio utatambua kuishi Tanzania ni sawa na kuishi chooni tu kila kitu ni hovyo... East Africa nimetembea Kenya na Uganda safi japo wao hawajaridhika big up kwa majirani zetu. .. Tanzania ni hovyo kabisa
Huko tunachimba mahandaki
Usitufanye wajinga. Hili handaki linaelekea kwenye aridhi ya Uhuru Kenyatta. Wakenya mnaliwa tu. You are sychologicaly stack
Tena ukitoka hapo unaparana na daraja Lenye urefu wa 120mHuko tunachimba mahandaki
achana na huyu- Aridhi ni nini
- sychologicaly stack - ndio mnyama yupi
Kiswahili haukijui, Kingereza pia kimekupiga chenga, hivi nani aliwaroga?
hehehe,jamaa wamekazana na uziduzi ghushi 😀Naona kwenye video hii hapa chini kwamba hakuna usafiri kabisa wa treni kutoka Dar kwenda mikoani, sasa kila siku mnaanzisha nyuzi JF za jinsi mnazindua reli za SGR kila mahali, ingekua poa muhakikishe na hii iliyopo inahudumia kwanza.
Muwekeze kwenye madaraja ya juu kama Kenya
Daraja za Kenya
What? Uziduzi? Ndo nini?hehehe,jamaa wamekazana na uziduzi ghushi 😀
Ukisikia Tanzania inakua kwa kasi kiuchumi bhasi ujue tumekodi foreigners toka nje ili wauendeshe uchumi wetu ...
Ukisikia Tanzania inatoa wajasiriamali wakubwa ..bhasi jua tumewatoa nje ya nchi ili waje watuwakilishe
Ukisikia barabara zetu ,madaraja na miundombinu mingine inaendelea kukua bhasi jua tumewakodi watu wa nje waje wafikiri kwa ajili yetu na watutengenezee bureee
Ukiona miji yetu inaendelea bhasi jua tumewaita viongozi na wafanyabiashara wa nje ili waje kuendesha miji yetu
Ukisikia kilimo , utalii ,uchukuzi unakua bhasi jua tuliwaita waganda waje kufikiria badala yetu na kupanga mipango yote ...
si kwa msuto huu jirani- Aridhi ni nini
- sychologicaly stack - ndio mnyama yupi
Kiswahili haukijui, Kingereza pia kimekupiga chenga, hivi nani aliwaroga?