MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Naona kwenye video hii hapa chini kwamba hakuna usafiri kabisa wa treni kutoka Dar kwenda mikoani, sasa kila siku mnaanzisha nyuzi JF za jinsi mnazindua reli za SGR kila mahali, ingekua poa muhakikishe na hii iliyopo inahudumia kwanza.
Muwekeze kwenye madaraja ya juu kama Kenya
Daraja za Kenya
Muwekeze kwenye madaraja ya juu kama Kenya
Daraja za Kenya