Watanzania mjifunze kukataa Ujinga. Hayati Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho. Kuhusu watekaji na wauaji, CCM na CHADEMA wahojiwe

Utakuwa umezaliwa mwaka juzi ndugu yangu, unamjua Kolimba wewe? Unamjua Mwangosi wewe? Unamjua Dr. Ulimboka wewe, sidhani kama unawajua hawa ndugu na majanga waliyopitia kabla kijiti hakijamfikia JPM.
Nipo hapa tangia Jambo Forums.
Wewe unamjua Hanga? Nipo tangia kipindi cha Nyerere.
Kesi ya Dr Ulimboka unaifananisha na Ben saa nane?
 

..hata Magufuli aliuwawa na wenzake wa Ccm.

..Na baada ya kuwa wameshamuua wakavujisha taarifa kwa wapinzani.
 
Mwaka 2006 nilikuwa nnashangaa saana nilipokuwa nikiona kwenye TV maelf ya raia wa Dr congo wakipigana kuwatetea viongoz wao rais J Kabila na mpinzan wake J Bemba.Nilkuwa nnajiulza hiv hao raia kwanin wapigane wenyew kwa wenyew!?je hawawez kuwaza kwa pamoja kwamba hao viongoz ni nan mwenye makosa ili wampuuze au kumshughulikia!? Sas saiv sishangai tena maana japokuwa kwetu hatuna machafuko kama DRC lakin naona akili ni zilezile sema misingi yetu ya ulinz(JWTZ) ni imara saana,Mungu ibariki tz ibariki JWTZ na watz og wasio mashabiki wa watu kwa mahaba upofu.
 

..Raisi Magufuli aliuwawa na Freeman Mbowe.

..mwili wake ukifunguliwa mtaona matundu ya risasi.

..Mbowe amemuua kwa mikono yake mwenyewe.
 
Utakuwa umezaliwa mwaka juzi ndugu yangu, unamjua Kolimba wewe? Unamjua Mwangosi wewe? Unamjua Dr. Ulimboka wewe, sidhani kama unawajua hawa ndugu na majanga waliyopitia kabla kijiti hakijamfikia JPM.
Kuna kubenea na tindikali
 
Nchimbi ni nani wakuzuia jeshi la polisi kumuhoji Mnyika kisa wamepanga kukutana kanisani, kutoa matamko yao.
 
Sema ndugu yangu nawe utumie akili hata kidogo basi.

Aliyewaondoa Walinzi wa serikali pale Dodoma siku Lissu anashambuliwa nani? Mbowe?

Aliyeng'oa CCTV baada ya tukio nani? Mbowe?

Wahusika wanaotajwa na Sativa kuhusika kumteka na kujaribu kumuua kwanini hawakamatwi? Anazuia nani? Mbowe?

Kama logic ndogo hizi unashindwa kuzielewa, utaelewa kweli Simultaneous Equation?
 
Sijui kama unajua unachosema au kumaanisha hapa. Bila Magufuli tunsingekuwa na watekaji na wauaji wakatili kama akina Bashiti na sasa mama yenu na genge lake.
 
Kuwe na walinzi Dodoma au wasiwepo hiyo sio hoja ya msingi,

Huwezi kuwa nuisance wakati serikali inafanya fujo za renegotiation ya mkataba. Either unakubali njia zao au laah.

Lissu alistahili kilichompata kwa ujinga wake at the time, hakukuwa na namna nyingine; mungu wake ni mkubwa yupo hai leo.

Acheni huo ujinga wa kuaminishana unaweza ingilia national security matters ukaachwa, Lissu was a nuisance at the time,
 
Ingekuwa chadema inahusika.
Chura kiziwi asingeficha ripoti ya mzee kibao.
Na kama chadema inahusika basi tujue hatuna vyombo vya ulinzi na usalama.vibomolewe tuanze upya.hatuko salama.
 

..Na Magufuli naye alikuwa national nuisance wenzake wakaamua kumuua. Hapo vipi?!
 
..Na Magufuli naye alikuwa national nuisance wenzake wakaamua kumuua. Hapo vipi?!
Tofauti ya mimi na wewe ni kutokuwa emetional kwenye maswala ya kitaifa.

Magufuli hakuwa na uhalali wa kuzuia chanjo ya COVID hata ningekuwa mimi kwa masikitiko makubwa ningempa sindano yake ya milele.

Na Lissu pia alistahili pia alichopata,

Ukishaelewa siasa, you can’t be emotional on national matters.

Wewe bado kichwa chako kimejaa utoto,

Magufuli bila ya ujinga wake wa COVID ndio alikuwa mkombozi wa watanzania; na Lissu ni limbukeni.

Ni mpuuzi tu ndio anaweza jiaminisha vingine zaidi ya kuukubali ukweli Lissu ni kwa Sasa siasa żako ni pandepikizi la mabeberu hafai hata kwa nafasi ya ubunge maana ni lobbysty wa kutetea maslahi ya wengine,

It’s just a shitty country kama Trump anavyoziita.

Ukishaelewa dunia na nchi zinavyoongozwa na necessary skills to execute those tasks, hata huyo Magufuli ni uzalendo tu na kazi yake ingekuwa ngumu,

Nchi ni maskini kwa sababu ya akili ndogo za wenye nafasi na watu wenye kujali maslahi, mengine kukuelezea ni kujitafutia matatizo na maisha yetu,

You are just so shallow, uelewi kilichokuwepo kabla ya Magufuli na kilichorudi kwa nguvu kubwa baada ya kutoka kwa Magufuli.

Ignorance is a bliss

Umekazana Magufuli sijui Samia hivi unadhani hao watu kwa nafasi zao wanaweza amuru kweli kuuawa kwa watu maskini,

You are so shallow

Kuna mambo hata mimi napambana nayo as a diaspora let it go it’s not your battle. But then unasoma ujinga wa watu kama nyie daah, you think it’s easy.
 

..
..nikikuita mjinga anayejiamini nitakuwa nimekosea?
 
..

..nikikuita mjinga anayejiamini nitakuwa nimekosea?
Sana kwa sababu nina uhakika una mengi hujui ya kinachoendelea Tanzania.

Vinginevyo uwezi kuwa poyoyo wa kumuongelea Magufuli vibaya hivyo kama unajua siasa za Tanzania.

Mdomo koma, CCM hoyee.

Kwanini nimekupaka kwa sababu mimi na wewe sote tunakerwa na umaskini wa Tanzania.

Tofauti ni uelewa wa siasa za Tanzania, japo wewe ni mkongwe Iła kwa sasa uelewa wako ni mdogo on what is going on, in ground politics.

Vinginevyo ungejua usingethubutu kumtukana Magufuli. If you are in the political circles za kupata habari zao ya mambo wanayofanya.

Ni taahira tu anaeweza mtukana Magufuli au kudhani raisi Samia anaweza amuru watu wachukue maisha ya watu.

Jiongeze. Kwangu ni muda kuangalia Lakers v timberwolves.

Siasa za Tanzania kama ni mtu wa kuona maskini wanapiganiwa hazitaki ushabiki wa kichama.
 
Tofautisha peponi na mbagala. Peponi aingii muuaji.
Kuna njia mbili za kuingia peponi kwa sisi wa imani
ya Kikristo
  1. Njia ya kwanza ya kuingia peponi ni kupitia kuokolewa, tunaokolewa kwa neema tuu na sio kwa matendo. Hata matendo yako yawe mabaya vipi, neema ya kuokolewa ikikushukia unaingia peponi.
  2. Njia ya pili ni kupitia hukumu, unahukumiwa kwa kutumia mzani wa mema yako na mabaya yako, mema yakizidi maovu unaingia peponi.
  3. JPM hakuwa malaika, ana mema yake na mabaya yake, mema yameyazidi mabaya hivyo ametinga peponi
  4. Sasa hivi tunavyozungumza, yuko zake peponi kwa Baba yake yuko na Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
 
Hebu muda mwingine tutumie akili zetu sawa sawa, basi tukubaliane na mawazo yako kwamba Chadema ndio wanauana na kutokana halafu tujiulize haya maswali:

1. Chadema wana nguvu gani ya kufanya mambo haya na polisi washindwe kufanya lolote mpaka saa hii, huyo Mbowe alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi akawekwa ndani , wameshindwa je kujua kama ndio yeye anafanya njama za kuteka na kuua wenzake?

2. Hivi kweli serikali ikubali kuchafuliwa mpaka nje ya nchi kwa mambo ambayo haihusiki nayo ikae kimya? mbona suala la Lissu Chadema waliomba wapelelezi kutoka nje, serikali ilikataa na hakuna lolote lililofanyika mpaka leo?

3. Hayo mambo ya kutokana na kuuana yameanza nyakati zipi kwa kiasi kikubwa na mpaka leo yanaendelezwa, hao wapinzani wana nguvu gani ya kufanya hayo? tumeona huko mbeya na na Songwe wakikamatwa kama kuku na kula virungu juu sababu za kufanya mikutano tu, je wangehusika na utekaji na mauaji wangeachwa??

Tutumie akili zetu sawa sawa kufikiri na kuchambua mambo
 
Mabaya yake unayajua? mpaka useme mema yamezidi mabaya?
 
Mabaya yake unayajua? mpaka useme mema yamezidi mabaya?
Hakuna binadamu yeyoten anayeyajua mema au mabaya ya mtu mwingine isipokuwa YEYE Pekee!.

Kwenye ya mtu, unahukumiwa sio kwa matendo tuu, hata kwa mawazo, maneno na matendo.

Ukimuona mwanamke mrembo, ukamtamani, yule jamaa akasimama, unakuwa ni tayari umeitenda ile dhambi, siku yako ya hukumu, dhambi hiyo inaingia kwenye heyasabu yako!.

Sambamba na mema, ukiwaza kutenda mema, hata kama huna huo uwezo, kisha huo wema wewe uliouwaza ukaja kutendeka, wewe unapata thawabu ya wema huo unaingizwa kwenye hesabu yako na unakuingiza peponi ndio maana ni rahisi kwa masikini kuingia peponi kuliko matajiri, ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!.
tajiri kuingia peponi ni
P
 
Mtu atahukumiwa kwa matendo yake, sio mawazo ni matendo, na kama hujui matendo ya mtu, uhakika wa kusema ameenda peponi umeutoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…