..Na Magufuli naye alikuwa national nuisance wenzake wakaamua kumuua. Hapo vipi?!
Tofauti ya mimi na wewe ni kutokuwa emetional kwenye maswala ya kitaifa.
Magufuli hakuwa na uhalali wa kuzuia chanjo ya COVID hata ningekuwa mimi kwa masikitiko makubwa ningempa sindano yake ya milele.
Na Lissu pia alistahili pia alichopata,
Ukishaelewa siasa, you can’t be emotional on national matters.
Wewe bado kichwa chako kimejaa utoto,
Magufuli bila ya ujinga wake wa COVID ndio alikuwa mkombozi wa watanzania; na Lissu ni limbukeni.
Ni mpuuzi tu ndio anaweza jiaminisha vingine zaidi ya kuukubali ukweli Lissu ni kwa Sasa siasa żako ni pandepikizi la mabeberu hafai hata kwa nafasi ya ubunge maana ni lobbysty wa kutetea maslahi ya wengine,
It’s just a shitty country kama Trump anavyoziita.
Ukishaelewa dunia na nchi zinavyoongozwa na necessary skills to execute those tasks, hata huyo Magufuli ni uzalendo tu na kazi yake ingekuwa ngumu,
Nchi ni maskini kwa sababu ya akili ndogo za wenye nafasi na watu wenye kujali maslahi, mengine kukuelezea ni kujitafutia matatizo na maisha yetu,
You are just so shallow, uelewi kilichokuwepo kabla ya Magufuli na kilichorudi kwa nguvu kubwa baada ya kutoka kwa Magufuli.
Ignorance is a bliss
Umekazana Magufuli sijui Samia hivi unadhani hao watu kwa nafasi zao wanaweza amuru kweli kuuawa kwa watu maskini,
You are so shallow
Kuna mambo hata mimi napambana nayo as a diaspora let it go it’s not your battle. But then unasoma ujinga wa watu kama nyie daah, you think it’s easy.