Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hujaelezea how hakuwa mbaya in detailsSio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu
Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.
The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Zaidi umesifia huku ukisahau matukio haya yaliongezeka zaidi kipindi chake, watu walianza ku disappear kipindi chake, hakujua?
Yeye ndio aliwaonyesha ccm kuna njia zaidi ya moja kupata madaraka , ukiona kwenye kura mambo hayaendi FORCE FORCE FORCE
On the otherside alikuwa mwana maendeleo mzuri sana.
No matter how mtu aliiuwa mzuri lakini alikuwa na madudu yake, mabaya yake.
Just like mazuri yanavyoatangazwa na mabaya pia yatangazwe